Mkuu, sasa uelewa wangu mdogo kivipi tena ndugu?!! wewe si unasema kwamba huyo mlinzi wa Rais alichofanya sio nidhamu. Nami nimesema sawa. Na nikashauri tu kuwa yawezekana wewe 'unajua' zaidi hayo majukumu yake, so ukamkumbushe ili next time asirudie tena huo 'utovu wa nidhamu' kwa rais anapo-shake hands with people. Hapo kosa langu nini mkuu?
Au ndo 'unawashwa' sana huko kunako 'kitengo' eeh. Pengine yawezekana unajibu comment zangu huku 'umechora 7' 🙂🙂
maana between your lines nimegundua hata huelewi unapinga nini, huelewi unatetea nini.
Au ndo unaleta ligi za 'kiduwanzi' ili ujaze uzi eeeh. Najua tu kesho kukicha mada hii utaipeleka kwenye kijiwe cha kahawa 😀
-Kaveli-