Zikomo Songea
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 670
- 582
Kwani rais hajui kama akishasalimiana na mtu anatakiwa kuachia mkono? Pia sidhani kama ni sahihi kumwacha kila raia kushikana mkono na rais. Waachiwe wenye uelewa wa kiprotokali za kiusalama tu!
Skiza nikuambie,watu wa usalama wa taifa wanajua kwanini kiongozi au viongozi wanaposalimiana kwa kushikana mikono walinzi wanakuwa makini mno,fuatilia picha nyingi alafu angalia macho au mikono ya walinzi utagundu.Sijui protocol za usalama lakini naona hii si nidhamu!Angalieni mkono wa huyo jamaa wa usalama!View attachment 394980 ulivyomshika mtu anayesalimiana na Rais!
Wadau mna maoni gani?Hii imetokea leo
Nadhani na hapa chini Bon angechelewa kidogo jamaa angeenda kumshika mkono aachie mkono wa Rais!Sio kwa jicho hilo analomkata aisee
View attachment 394999 View attachment 394980
Uko sawa sana ndugu,watu wanakimbilia kulaumu tuu...hehehe sisi wengine u layman wa masuala ya ulinzi unatusumbua.Baada ya kuuliza kwanza naona humu mtu anamuita mlinzi limbukeni.Sitaki kuhusisha siasa hapa ila wanaobeza naweza kuwatambuaHiyo kitu hairuhusiwi ku hold/kumshika kiogozi wa juu kwa mda hiyo ipo popote pale duniani!
Kuna wengine wanatumia njia hiyo kumdhuru rais,
Hawa Jamaa wanajua sana majukumu yao hawabahatishi na rais hawezi kuhoji
kama hujaona sehemu nyingine basi jua umechelewa ndo uingie google sasa wkati umefika ujueSasa Pasco kama Rais bado alikuwa anateta jambo na muhusika inakuwaje?Haya mambo sijaona sehemu nyingine
Mtu huyo hakuwa amekaguliwa kabla ya kufika radius ambayo Rais atapita?Uko sawa sana ndugu,watu wanakimbilia kulaumu tuu...hehehe sisi wengine u layman wa masuala ya ulinzi unatusumbua.Baada ya kuuliza kwanza naona humu mtu anamuita mlinzi limbukeni.Sitaki kuhusisha siasa hapa ila wanaobeza naweza kuwatambua
Weka hata picha!Skiza nikuambie,watu wa usalama wa taifa wanajua kwanini kiongozi au viongozi wanaposalimiana kwa kushikana mikono walinzi wanakuwa makini mno,fuatilia picha nyingi alafu angalia macho au mikono ya walinzi utagundu.
hata kama amekaguliwa au la ila dhamira ya mtu huwezi kuikagua sababu ipo moyoni kwake.Sijui ni swali umeniuliza au hyo question mark imekaa bahati mbaya?hahahaMtu huyo hakuwa amekaguliwa kabla ya kufika radius ambayo Rais atapita?
tafuta we si mtu mzima.Weka hata picha!