mchovu wa fikra
JF-Expert Member
- Jul 16, 2016
- 335
- 396
HII KAZI KWELI NGUMU,MAANA INAONEKANA WAZI KUWA KUCHEKA HARAMU JINSI JAMAA ANAVYOONEKANA,HAKIKISHA HUNA BANDAMA NA UTAAJIRIWA.
Kwa sababu dhumuni lake lililkuwa ni kumsalimia ndio maana wameweza kushikana mikono lakini ingekuwa dhumuni lake ni kumdhuru angeweza kufanikiwa kama usalama wasingeshika mkono.Ukitumia fikra huru utaelewa,mkono ambao ameshikana na Rais anawezaje kurusha kofi?
Hao ndio zao! . Jamaa alipaswa akiishasalimiwa auachie mkono hivyo ikambidi jamaa wa usalama aingilie kati kuuzuia mkono ili kuwaachanisha!.
Pasco
Ndio kama wewe unavyotokwa mishipa kama unajua kila kitu!Kama hujui kwanin unapinga kwa nguvu zote hizo
Uelewa wako mdogo sana!Ushaanza maneno ya kwenye kanga,ngoja nikupuuzeHaya mkuu, umeshinda wewe. Ni kweli kabisa aiseee, huyo mlinzi wa Rais kachemka sana kufanya vile. Sio nidhamu. ni dharau kubwa sana kwa Rais. Hembu wamuache Rais ajitanue na kusalimiana na watu bhana.
Huyo mlinzi kaokotwa wapi huyo hajuwi 'protokali', alaaaa. hembu kamkumbushe aache hizo. sawa eeeh mkuu. 😀😀🙂
-Kaveli-
Kwa mtazamo wangu, jamaa alinyoosha mkono kumsalimia Magufuli na kulikuwa hakuna mpango wowote wa kusaliami, jamaa wa usalama akawa anajaribu kumzuia aidha kwa kutojua dhumuni la huyo mtu ni nini au kumwondolea rais usumbufu lakini kutoka na huungwana wa rais hakaamua kumsalimia wakati jamaa wa usalama hanazuia mkono.

Watanzania bhana, mtu unajifanya 'ujuaji' hata kwenye fani za watu. Na haya 'mahaba' ya kisiasa ndiyo yanawafanya kuwa mapunguani kabisa kichwani, mmekuwa vihiyo wa kupinga kila jambo.
Haya hebu ona picha hii hapa, alafu sema sasa:
View attachment 395161
Acheni kupayuka na kuropoka ropoka kwenye fani za watu. Ulinzi wa Rais ni profession kabisa yenye codes na ethics zake. Hawafanyi kwa kubahatisha.
-Kaveli-
Sasa hapa si angekula makofi mengi,au usalàma walijisahauKwa sababu dhumuni lake lililkuwa ni kumsalimia ndio maana wameweza kushikana mikono lakini ingekuwa dhumuni lake ni kumdhuru angeweza kufanikiwa kama usalama wasingeshika mkono.
Kiukweli pamoja na udhaifu wake rais amekata mirija ya wapiga dili wengi....hivyo Ulizi wake unatakiwa uwe wa Hali ya Juu.

Uelewa wako mdogo sana!Ushaanza maneno ya kwenye kanga,ngoja nikupuuze
Ukiiangalia picha hii uliyopost sasa unaona kabisa mazingira yake na ya watu walionyosha mikono yao si hatarishi sana kama yale ya msongamano wa karibu katika ile picha yenye hoja. Na huenda walipima hali na wakajiridhisha kuwa hali ni salama wakiendelea kusimama walipo. Ni mawazo tu.Hapa nadhani walijisahau eeeeh
View attachment 395204
Hao ndio zao! . Jamaa alipaswa akiishasalimiwa auachie mkono hivyo ikambidi jamaa wa usalama aingilie kati kuuzuia mkono ili kuwaachanisha!.
Pasco
Aisee umemaliza mjadala wote kwa picha yako husika. Yaani umejibu hoja kwa umahiri wa juu sana. Picha inaeleza yote.Nimekukubali ndugu yangu!
Du! Huo uandishi in Mungu pekee ajuaye![]()
![]()
Shukrani KaveliDunia hii ina mambo mengi. Mtu hawezi kujua kila kitu. JF imekuwa ni sehemu nzuri sana kuhabarishana.
Karibu mkuu.
-Kaveli-
Usifananishe US na TZUSA wanatumia radius!wamezipa majina hizo zones zao,kuna radius kama 6 kama nakumbuka vizuri kabla ya kufika kwa Rais!Mpaka unafika inner radius basi tayari wameshahahakisha kuwa wewe ni harmless