Picha: Hii imekaaje?

Picha: Hii imekaaje?

Status
Not open for further replies.
Asante mkuu kwa maelezo yaliyojaa hekima.....

Kuna muda huwa nafikiri kuwa kuna watu wana shida vichwani mwao....
Yaani watu wanajifanya wanajua kila kitu hata vile ambavyo hawana taaluma nazo.....
Ndio maana hii ikaitwa JF,kuna watu wa aina mbalimbali!Hata hao usalama wengine ni member humu!Hii ni sehemu ya kuelimishaña na sio kuishia kusema "wanajua wenye taaluma zao"!
Kuna watu wanataaluma and yet they make mistakes!Pamoja na taaluma lakini huwezi kumuondolea mtu asili yake kuhoji na kuangalia mambo kutokana na uelewa wake wa asili alionao!
 
Hao mameya wa CDM si walitoa tamko la kutohudhuria shughuli zote zitakazomhusisha rais jijini DSM baada ya ile ya ufunguzi wa Daraja la Kigamboni kisa wanadhalilishwa na kuhujumiwa?

Imekuaje tena?
Hebu lilete hilo tamko? Naamini litakuwepo kwenye Library ya JF!
 
Hili jukwaa limekuzidi uwezo,JF imevamiwa!


Wewe ni kihiyo wa next level. Mlinzi anafanya majukumu yake kikazi afu wewe unaleta political critique zako uchwara hapa!!

Hivi wewe kwa akili zako unaamini kabisa kwamba huyo 'usalama' alikurupuka tu kuushika huo mkono eeh? au ana chuki binafsi kwa huyo mtu eeh? teh teh teh.

Hivi unadhani hapo kwenye eneo hilo, ni huyo jamaa pekeeake aliyeshikana mkono na Rais? kwanini iwe yeye pekee ndo azuiwe mkono, unajua mlinzi ali-sense alert gani security-wise? unajua mazingira yalikuwaje hapo kwa muda huo?

Mimi nilikudharau right away jinsi tu nilivyosoma hiyo sentensi yako ya kwanza kabisa ulivyoandika bandiko hili, nakunukuu:
'' Sijui protocol za usalama lakini naona hii si nidhamu...''. Umekiri kabisa kwamba protokali za usalama huzijuwi, then unaasema kwamba huyo mwana-usalama amekosea na hajafanya nidhamu mbele ya Rais. Kitu hukijuwi kabisa hata kidogo, afu umekomaa kukosoa. Una akili timamu wewe?

Tanzania haiishi maajabu. Mkulima wa magimbi huko Uyole, anamkosoa na kumfundisha kazi mwana-usalama wa Rais namna ya kufanya usalama! 😀😀

-Kaveli-
 
Hebu lilete hilo tamko? Naamini litakuwepo kwenye Library ya JF!

Tafuta heading yenye haya maneno:

CHADEMA yapiga marufuku Mameya kuhudhuria mikutano ya viongozi.

Ililipotiwa 27th July 2016.
 
Huyu ni Obama kabebwa na mwananchi wake kwa furaha wala hakuna tatizo. Wa kwetu hata kushikwa mkono!
13502086_1712543128995374_303833818511209608_n.jpg
Hahahaha jaman hapa JF mtaniua..hata sijui mnatoa wapi hivi vihoja
 
Ndio maana hii ikaitwa JF,kuna watu wa aina mbalimbali!Hata hao usalama wengine ni member humu!Hii ni sehemu ya kuelimishaña na sio kuishia kusema "wanajua wenye taaluma zao"!
Kuna watu wanataaluma and yet they make mistakes!Pamoja na taaluma lakini huwezi kumuondolea mtu asili yake kuhoji na kuangalia mambo kutokana na uelewa wake wa asili alionao!

Nakubaliana na maelezo yako....kuhoji na kudadisi ni hulka ya wanadamu lakini kudadisi huko kuwe katika hali ya kutaka kufahamu mambo zaidi hasa kwenye mambo ambayo huna ufahamu nayo........
Sasa kinachoshangaza na ndivyo ilivyo kwa sisi Watanzania ni kuwa kudadisi kwetu na kuhoji ni kama vile mtu anazodoa kwani ni kama vile anarekebisha habari baada ya kuuliza......!!
 
Wewe ni kihiyo wa next level. Mlinzi anafanya majukumu yake kikazi afu wewe unaleta political critique zako uchwara hapa!!

Hivi wewe kwa akili zako unaamini kabisa kwamba huyo 'usalama' alikurupuka tu kuushika huo mkono eeh? au ana chuki binafsi kwa huyo mtu eeh? teh teh teh.

Hivi unadhani hapo kwenye eneo hilo, ni huyo jamaa pekeeake aliyeshikana mkono na Rais? kwanini iwe yeye pekee ndo azuiwe mkono, unajua mlinzi ali-sense alert gani security-wise? unajua mazingira yalikuwaje hapo kwa muda huo?

Mimi nilikudharau right away jinsi tu nilivyosoma hiyo sentensi yako ya kwanza kabisa ulivyoandika bandiko hili, nakunukuu:
'' Sijui protocol za usalama lakini naona hii si nidhamu...''. Umekiri kabisa kwamba protokali za usalama huzijuwi, then unaasema kwamba huyo mwana-usalama amekosea na hajafanya nidhamu mbele ya Rais. Kitu hukijuwi kabisa hata kidogo, afu umekomaa kukosoa. Una akili timamu wewe?

Tanzania haiishi maajabu. Mkulima wa magimbi huko Uyole, anamkosoa na kumfundisha kazi mwana-usalama wa Rais namna ya kufanya usalama! 😀😀

-Kaveli-
Ntakujibu kwasababu umepunguza utoto!Unauliza maswali kulingana na hisia zako,hiyo ni picha tu lakini niliona video pia!Hao watu ni distinguished guests ambao walikuwa pale kwa mwaliko Mwalimu na Bwana Twaha alikuwa mstari wa mbele katika viti vya jukwaa la waalikwa!It was expected kwamba Rais angeenda kuwapa mikono waalikwa hao,Mara nyingi rais akimaliza hotuba huwa anapita kwa wageni walio line ya mbele jukwaa maalum kuwapa mikono,ntakuweke video za mifano hapa!
Concern yangu ni kuwa tayari usalama walijua Rais atasalimiana na Bwana Twaha kwasababu huyu ndie wakili na aliyetetea madai yao kwa miaka
mingi,na Rais alikuwa pale kuwahakikishia kuwa malalamiko yao yamesikika na serikali itawasaidia!
It was expected Twaha atapeana mkono na Rais,ndio maana akawekwa jukwaa maalum mstari wa mbele ili Rais akipita kuwapa mikono naye awe miongoni mwao!Itakuwa ni fedheha kama usalama haikuwakagua na kuhakikisha hakuna kitu chenye kudhuru katika eneo ambalo Rais angepita kutoa mkono!Naamini walijiridhisha na hilo,ndio maana wakamruhusu Rais kupeana mikono nao!Sasa what harm ambayo imezuiliwa kwa kumshika mkono?Je,kama angekuwa na nia mbaya,angeshindwa kuitekeleza kwasababu tu ya kushikwa mkono mmoja?
 
Ntakujibu kwasababu umepunguza utoto!Unauliza maswali kulingana na hisia zako,hiyo ni picha tu lakini niliona video pia!Hao watu ni distinguished guests ambao walikuwa pale kwa mwaliko Mwalimu na Bwana Twaha alikuwa mstari wa mbele katika viti vya jukwaa la waalikwa!It was expected kwamba Rais angeenda kuwapa mikono waalikwa hao,Mara nyingi rais akimaliza hotuba huwa anapita kwa wageni walio line ya mbele jukwaa maalum kuwapa mikono,ntakuweke video za mifano hapa!
Concern yangu ni kuwa tayari usalama walijua Rais atasalimiana na Bwana Twaha kwasababu huyu ndie wakili na aliyetetea madai yao kwa miaka
mingi,na Rais alikuwa pale kuwahakikishia kuwa malalamiko yao yamesikika na serikali itawasaidia!
It was expected Twaha atapeana mkono na Rais,ndio maana akawekwa jukwaa maalum mstari wa mbele ili Rais akipita kuwapa mikono naye awe miongoni mwao!Itakuwa ni fedheha kama usalama haikuwakagua na kuhakikisha hakuna kitu chenye kudhuru katika eneo ambalo Rais angepita kutoa mkono!Naamini walijiridhisha na hilo,ndio maana wakamruhusu Rais kupeana mikono nao!Sasa what harm ambayo imezuiliwa kwa kumshika mkono?Je,kama angekuwa na nia mbaya,angeshindwa kuitekeleza kwasababu tu ya kushikwa mkono mmoja?


Crap !

-Kaveli-
 
Nakubaliana na maelezo yako....kuhoji na kudadisi ni hulka ya wanadamu lakini kudadisi huko kuwe katika hali ya kutaka kufahamu mambo zaidi hasa kwenye mambo ambayo huna ufahamu nayo........
Sasa kinachoshangaza na ndivyo ilivyo kwa sisi Watanzania ni kuwa kudadisi kwetu na kuhoji ni kama vile mtu anazodoa kwani ni kama vile anarekebisha habari baada ya kuuliza......!!
Ndio maana nimehoji lakini pia nimesema kwa mtizamo wangu sio heshima kwa mgeni mualikwa aliyekaguliwa kufanyiwa hivyo akisalimiana na Rais!
 
Hyo jmaa nimemshika sura pureee alifnya vivyo hivyo hta kwa yule jamaa aliyeambiw njo tupige picha
 
Kiuhalisia, Mh. Rais akimshika mtu mkono, na anasalimia nae, haitakiwa usalama autoe mkono wa mtu huyo... sbb Mh. Rais anamsalimia.. nafikiri labda huyo usalama hajaelezwa vizuri ni wakati gani wa kuzuia mkono wa mtu kumpa Rais... ikiwa mtu ndio anamfuata Rais hapo lazima awahi kuuzuia.. ila ikiwa Mh. Rais kamfuata na kumpa mkono haitakiwi usalama autoe mkono wa mtu... hii ni sio picha nzuri...!! Inaleta taswira kama hajui kazi yake vema..
 
Ndio maana maalim alikatalia mikono yake alijua wanausalama wangeleta za kuleta
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom