herikipaji
JF-Expert Member
- Aug 23, 2016
- 1,199
- 1,376
Usalama hawajui nia ya watu hao, hawajui wanafikiria nini nk.Then mzuie Rias asisogelee Raia!Mfano mkutano na waandishi wa habari,hakikisha waandishi hawajavaa viatu ili wasivitumie kumrushia Rais!
Kaka suala la ulinzi lazima determination ya aina ya threat ifanyike!Mfano kwa physical attack ambayo inaweza kudhuru kwa kuua kwa mcheza karatee,namna pekee ya kuizuia ni kutoruhusu Rais kuwa katika close range namna hiyo mpaka kupeana mkono!Let's be realistic,kwa mwanakaratee anayejua how to kill tukio la kumshika mkono haliwezi kumzuia kutimiza azma yake!Vp akiuachia mkono wa Rais then wewe ukauachia wa kwake ndipo akaamua kufanya attack,nani wa kumzuia?Ni fast and quick,man down!
Turudi kwenye uhalisia,hao waliopangwa kupeana mkono na Rais ni watu ambao usalama wanawajua,why the humiliation?Je,unaamini tukio la kushikwa mkono linaweza zuia physical attack?
Huezi kumzuia aliyejifunza na kufuzu mapigano kwa kumshika mikono pekee zipo mbinu nyingi za kufanya asisababishe madhara kuzuia hata nafasi ya kuanzisha attack asiipate nk.
Hata movement za mtu unazisoma na kujua sasa anajiandaa kuruka, kukimbia, kurusha kiatu nk.