babu M
JF-Expert Member
- Mar 4, 2010
- 5,222
- 3,176
Hapa inaonekana Magufuli ndio ali initiate handshakes na sio hao wanafunzi na ilikuwa planned.Sasa hapa si angekula makofi mengi,au usalàma walijisahau
View attachment 395200
Hapa inaonekana Magufuli ndio ali initiate handshakes na sio hao wanafunzi na ilikuwa planned.Sasa hapa si angekula makofi mengi,au usalàma walijisahau
View attachment 395200
Kwa vile ni mdada usishangae kutomuona!, atakuwa kwenye.....yule mdada mlinzi wa mtukufu simuoni hapo au ana leave
hadi hapa kwa sisi akili kubwaz tushakuelewa tayari umeingiza siasaUko sawa sana ndugu,watu wanakimbilia kulaumu tuu...hehehe sisi wengine u layman wa masuala ya ulinzi unatusumbua.Baada ya kuuliza kwanza naona humu mtu anamuita mlinzi limbukeni.Sitaki kuhusisha siasa hapa ila wanaobeza naweza kuwatambua
Kagame ni trusted being asinge zuiliwa, hata akikutana na mimi, niko trusted na huwa tunabonga kilugha! .Jee angekuwa kashikana na swahiba Kagame nae angeingilia kati kuwaachanisha? Nahitaji tuu kufahamu maana sie wengine wageni!
Kwa vile ni mdada usishangae kutomuona!, atakuwa kwenye.....
Wadada samahanini lakini ukweli ndio huo! .
Pasco
Aiseeeh ts unfair kabsa.yan mkono mmoja kwa mtu mzma vle?akat 8yrs teen kashkwa na watu watatu.. hoja za waliomsema Mlinzi wa rais imepata jibu
Nafikir Diameter mkuuHapa kwetu wanatumia nini?![]()
Sasa kaka Pasco ingelikuwa Obama au Kenyatta huyu usalama angelifanya hivyo? Kwa maoni yako kuna ubaya gani hapo Taslima kuuzuwia mkono wa Magufuli?Hao ndio zao! . Jamaa alipaswa akiishasalimiwa auachie mkono hivyo ikambidi jamaa wa usalama aingilie kati kuuzuia mkono ili kuwaachanisha!.
Pasco
HahahahahahaHao ndio zao! . Jamaa alipaswa akiishasalimiwa auachie mkono hivyo ikambidi jamaa wa usalama aingilie kati kuuzuia mkono ili kuwaachanisha!.
Pasco
Hata na mh Raisi inabidi apate ushauri wa kukeep distance kwani amezidi kujichanganya utadhani bado ni Waziri. Aangalie clips jinsi baba wa Taifa alivyokuwa hatabiriki jinsi ya ku mingle na watu. Nafasi yake Kiukweli watanzania tusi iunder estimate. Yeye mwenyewe ajue inabidi awe mwana usalama Namba moja.mfano ni Jamaa alomkuta mtaani akamwabia njoo tupige picha binafsi sijaikubali kwani dunia imebadirika.Hao ndio zao! . Jamaa alipaswa akiishasalimiwa auachie mkono hivyo ikambidi jamaa wa usalama aingilie kati kuuzuia mkono ili kuwaachanisha!.
Pasco
Wewe ni mchochezi....Halafu huyo Mzee anayesalimiana na Mh. Rais, ni kigogo wa chama cha CUF mwanasheria nguli Twaha Issa Taslima ambaye alikuwa ni Mjumbe wa Kamati ya Uongozi ya CUF baada ya Prof. Lipumba ''kujiuzulu''.
Hapo Mh. Rais katika shughuli nzima alikuwa amezungukwa na wanasiasa wa vyama vya upinzani waliochaguliwa na wananchi wa jiji la Dar-es-Salaam ndiyo maana rangi ya njano na kijani leo hazikuwepo hivyo salamu na kushikana mkono ni ishara ya kukubali uwepo wa ''wenye jiji''.
Sijui protocol za usalama lakini naona hii si nidhamu. Angalieni mkono wa huyo jamaa wa usalama.
View attachment 394980
Ulivyomshika mtu anayesalimiana na Rais.
Wadau mna maoni gani? Hii imetokea leo.
Nadhani na hapa chini Bon angechelewa kidogo jamaa angeenda kumshika mkono aachie mkono wa Rais. Sio kwa jicho hilo analomkata aisee.
View attachment 394999 View attachment 394980
samahani mkuu,ahahahaWewe acha kufananisha robot na vitu vya ajabuuuu
Ulitaka uyaone wapi kwanza?Sasa Pasco kama Rais bado alikuwa anateta jambo na muhusika inakuwaje?Haya mambo sijaona sehemu nyingine
mkuu huyo syo limbukeni anachofanya ni moja ya majukumu ya kazi yake so chochote kitakachomtokea rais yy atawajibijA kwA namna moja au nyngineHuyo mlinzi ni limbukeni.... Wamwache Rais ajitanue
Wasamehe elimu ya usalama Wa Raising hawanaWatanzania bhana, mtu unajifanya 'ujuaji' hata kwenye fani za watu. Na haya 'mahaba' ya kisiasa ndiyo yanawafanya kuwa mapunguani kabisa kichwani, mmekuwa vihiyo wa kupinga kila jambo.
Haya hebu ona picha hii hapa, alafu sema sasa:
View attachment 395161
Acheni kupayuka na kuropoka ropoka kwenye fani za watu. Ulinzi wa Rais ni profession kabisa yenye codes na ethics zake. Hawafanyi kwa kubahatisha.
-Kaveli-