Picha: Hii imekaaje?

Picha: Hii imekaaje?

Status
Not open for further replies.
tundu lissu mbona simwoni au ile kesi imemchanganya!
 
Uko sawa sana ndugu,watu wanakimbilia kulaumu tuu...hehehe sisi wengine u layman wa masuala ya ulinzi unatusumbua.Baada ya kuuliza kwanza naona humu mtu anamuita mlinzi limbukeni.Sitaki kuhusisha siasa hapa ila wanaobeza naweza kuwatambua
hadi hapa kwa sisi akili kubwaz tushakuelewa tayari umeingiza siasa
 
Walikuwa wanafanya Usafi? maana hilo shati ndio lile la kufanyia usafi...
 
1473199219368.png

kaziza watu kama zilivyo........
 
Hao ndio zao! . Jamaa alipaswa akiishasalimiwa auachie mkono hivyo ikambidi jamaa wa usalama aingilie kati kuuzuia mkono ili kuwaachanisha!.

Pasco
Sasa kaka Pasco ingelikuwa Obama au Kenyatta huyu usalama angelifanya hivyo? Kwa maoni yako kuna ubaya gani hapo Taslima kuuzuwia mkono wa Magufuli?
 
Hao ndio zao! . Jamaa alipaswa akiishasalimiwa auachie mkono hivyo ikambidi jamaa wa usalama aingilie kati kuuzuia mkono ili kuwaachanisha!.

Pasco
Hata na mh Raisi inabidi apate ushauri wa kukeep distance kwani amezidi kujichanganya utadhani bado ni Waziri. Aangalie clips jinsi baba wa Taifa alivyokuwa hatabiriki jinsi ya ku mingle na watu. Nafasi yake Kiukweli watanzania tusi iunder estimate. Yeye mwenyewe ajue inabidi awe mwana usalama Namba moja.mfano ni Jamaa alomkuta mtaani akamwabia njoo tupige picha binafsi sijaikubali kwani dunia imebadirika.
 
Halafu huyo Mzee anayesalimiana na Mh. Rais, ni kigogo wa chama cha CUF mwanasheria nguli Twaha Issa Taslima ambaye alikuwa ni Mjumbe wa Kamati ya Uongozi ya CUF baada ya Prof. Lipumba ''kujiuzulu''.

Hapo Mh. Rais katika shughuli nzima alikuwa amezungukwa na wanasiasa wa vyama vya upinzani waliochaguliwa na wananchi wa jiji la Dar-es-Salaam ndiyo maana rangi ya njano na kijani leo hazikuwepo hivyo salamu na kushikana mkono ni ishara ya kukubali uwepo wa ''wenye jiji''.
Wewe ni mchochezi....
 
Sijui protocol za usalama lakini naona hii si nidhamu. Angalieni mkono wa huyo jamaa wa usalama.

View attachment 394980

Ulivyomshika mtu anayesalimiana na Rais.

Wadau mna maoni gani? Hii imetokea leo.

Nadhani na hapa chini Bon angechelewa kidogo jamaa angeenda kumshika mkono aachie mkono wa Rais. Sio kwa jicho hilo analomkata aisee.

View attachment 394999 View attachment 394980

anatafuta ukuu Wa wilaya/mkoa maana ndo staili iliyopo Sasa hivi
 
Huyo mlinzi ni limbukeni.... Wamwache Rais ajitanue
mkuu huyo syo limbukeni anachofanya ni moja ya majukumu ya kazi yake so chochote kitakachomtokea rais yy atawajibijA kwA namna moja au nyngine
 
Watanzania bhana, mtu unajifanya 'ujuaji' hata kwenye fani za watu. Na haya 'mahaba' ya kisiasa ndiyo yanawafanya kuwa mapunguani kabisa kichwani, mmekuwa vihiyo wa kupinga kila jambo.

Haya hebu ona picha hii hapa, alafu sema sasa:

View attachment 395161

Acheni kupayuka na kuropoka ropoka kwenye fani za watu. Ulinzi wa Rais ni profession kabisa yenye codes na ethics zake. Hawafanyi kwa kubahatisha.

-Kaveli-
Wasamehe elimu ya usalama Wa Raising hawana
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom