RICH GANG LIFESTYLE
JF-Expert Member
- Jul 17, 2016
- 256
- 192
Acha usalama wa taifa wafanye kazi yao
Wewe ulicholeta hapa jukwaani chenye kutukwamua kiuchumi kiko wapiHivi watanzania Nani katuloga ? Eti na wewe ni great thinker. picha ulioleta inatukwamuaje vijana kiuchumi?
Acheni ubwege, tuna mambo mengi ya kufanya na si huu upuuzi
Hukioni?Wewe ulicholeta hapa jukwaani chenye kutukwamua kiuchumi kiko wapi
Tatizo hata upige kwa nguvu mkono wa jamaa kwa jinsi alivomshikiria Rais imara kuna hatari ya kumtengua mkono Rais pia au akayumba hata kuanguka..Huwezi ukaung'ang'ania mkono wa Rais usije kumdhuru. Tena nadhani walimheshimu huyo jamaa manake nijuavyo jamaa hupiga mkono wa mtu na kumuachia maumivu makali huku wanaondoka na Rais.
Hapo jamaa hata hawaonekani nadikiri walitambua kuwa maRaisi wawili wamekutana..
sidhani kama uko sahihi.![]()
Peleka ujinga wako huko! Reference yako ni kwa nchi ipi iliyoendelea?Hiyo kitu hairuhusiwi ku hold/kumshika kiogozi wa juu kwa mda hiyo ipo popote pale duniani!
Kuna wengine wanatumia njia hiyo kumdhuru rais,
Hawa Jamaa wanajua sana majukumu yao hawabahatishi na rais hawezi kuhoji
Ulishasema hujui, ulipaswa kutuliaSijui protocol za usalama lakini naona hii si nidhamu. Angalieni mkono wa huyo jamaa wa usalama.
View attachment 394980
Ulivyomshika mtu anayesalimiana na Rais.
Wadau mna maoni gani? Hii imetokea leo.
Nadhani na hapa chini Bon angechelewa kidogo jamaa angeenda kumshika mkono aachie mkono wa Rais. Sio kwa jicho hilo analomkata aisee.
View attachment 394999 View attachment 394980
Weka hata picha!
Watu wanapinga hata profession za watu!Hiyo kitu hairuhusiwi ku hold/kumshika kiogozi wa juu kwa mda hiyo ipo popote pale duniani!
Kuna wengine wanatumia njia hiyo kumdhuru rais,
Hawa Jamaa wanajua sana majukumu yao hawabahatishi na rais hawezi kuhoji
Mkuu, ndo kazi yake huyo, usalama! So hakuna cha ajabu hapoSijui protocol za usalama lakini naona hii si nidhamu. Angalieni mkono wa huyo jamaa wa usalama.
View attachment 394980
Ulivyomshika mtu anayesalimiana na Rais.
Wadau mna maoni gani? Hii imetokea leo.
Nadhani na hapa chini Bon angechelewa kidogo jamaa angeenda kumshika mkono aachie mkono wa Rais. Sio kwa jicho hilo analomkata aisee.
View attachment 394999 View attachment 394980
Hivi watanzania Nani katuloga ? Eti na wewe ni great thinker. picha ulioleta inatukwamuaje vijana kiuchumi?
Acheni ubwege, tuna mambo mengi ya kufanya na si huu upuuzi

Siasa majunguKwahiyo kila thread humu inawakwamua watu kiuchumi???![]()
![]()
![]()
![]()
Mpendwa....Lazima uyo raia alihold sana mkono wa mpendwa ndiyo maana jamaa akamuachanisha