Bome-e
JF-Expert Member
- Jan 3, 2014
- 17,187
- 26,209
- Thread starter
- #41
Umakini sawa,ila hilo la kumdaka mtu mkono hapanaSkiza nikuambie,watu wa usalama wa taifa wanajua kwanini kiongozi au viongozi wanaposalimiana kwa kushikana mikono walinzi wanakuwa makini mno,fuatilia picha nyingi alafu angalia macho au mikono ya walinzi utagundu.

