Picha: Haya ndio magari ya msafara wa Paul Makonda

Tumekuwa tukiona Mhe. Paul Makonda akiingia na Toroli, Bulldozer, Baiskeli n.k kwenye ziara zake mikoa tofauti nchini.

Je ulishawahi kujiuliza ni jinsi gani msafara wa magari wa Makonda unavyoonekana akiwa anaelekea kwenye ziara zake huko mikoani.?

Hapa nimekuletea picha tofauti za muonekano wa magari ya msafara wa Paul Makonda.

View attachment 2887296

View attachment 2887297

View attachment 2887298

View attachment 2887299

View attachment 2887300

View attachment 2887301

📸 WasafiMedia
Written by Mjanja M1
eehee Kwan wanasema tatizo liko upande gan au ni gubu tu 🐒
 
Hivi chama kipo tangu enz na enz...kishindwe kuwa na magar kama hayo....roho ya kimasikin ni mbaya sana...ni laana...ukomboz wa kiuchumi unaanza na wewe mwenyewe...
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Nchi hii ili kuepuka stress.
Moja, Jizime Data au..
Pili, Usitarajie ikafanyie lolote zuri.

Just Fight for the best, Expect for the worst. Unachotakiwa uwe na uhakika nacho ni disappointments tuu, by then hautakua surprised na lolote.
Otherwise utake actions.
Maelezo yako yanaendana na hii piacha..
1705811460696.jpg
 
Bashite is such an imposing figure with a fresh impetus for a modernized smear campaign.

When it comes to gutter politics and political subversion, he's CCM's most stood-out and decorated storm trooper.
Even haters are in shadow not to come to light come if you debate be a man
 
Wadau wa UCHUMI wa KATI ambao NCHI yetu imo ninaomba kufahamishwa KIUCHUMI Umuhimu wa MISAFARA ya Bw.MAKONDA kuwa na idadi kubwa ya MAGARI zaidi ya 30.Je UMUHIMU wa kuwa na MAGARI mengi ktk Misafara ina faida gani kwa WANANCHI MASIKINI wa NCHI hii Wanaohangaika na MLO mmoja wa SIKU?
Je Bw.MAKONDA angetumia Magari 10 Asingefanikisha huo UENEZI wake?
Hebu VIONGOZI WETU kuweni WAZALENDO kwa MALI ZA UMMA waoneeni HURUMA wananchi wanaohangaika kuzitafuta KODI ambazo badala ya KUWALETEA MAENDELEO zinawaletea UFUJAJI wa KODI zao kwa KINA MAKONDA na WENZAKE kusafiri kama WAFALME kwa KUSINDIKIZWA na MAGARI 30
CCM mnatukosea sana WANANCHI Masikini wa NCHI HII.

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
 
Yote ni magari ya chama!

Ila hilo li landrover nimelilubali
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Wadau wa UCHUMI wa KATI ambao NCHI yetu imo ninaomba kufahamishwa KIUCHUMI Umuhimu wa MISAFARA ya Bw.MAKONDA kuwa na idadi kubwa ya MAGARI zaidi ya 30.Je UMUHIMU wa kuwa na MAGARI mengi ktk Misafara ina faida gani kwa WANANCHI MASIKINI wa NCHI hii Wanaohangaika na MLO mmoja wa SIKU?
Je Bw.MAKONDA angetumia Magari 10 Asingefanikisha huo UENEZI wake?
Hebu VIONGOZI WETU kuweni WAZALENDO kwa MALI ZA UMMA waoneeni HURUMA wananchi wanaohangaika kuzitafuta KODI ambazo badala ya KUWALETEA MAENDELEO zinawaletea UFUJAJI wa KODI zao kwa KINA MAKONDA na WENZAKE kusafiri kama WAFALME kwa KUSINDIKIZWA na MAGARI 30
CCM mnatukosea sana WANANCHI Masikini wa NCHI HII.

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
Achaa kubana,hao CCM wakizunguka kila Mkoa na pesa ndiyo inazunguka hapo Mkowani hadi inaenda chini kwa Wananchi!!
 
Pesa zenu anajengea mwenyekiti wa kudumu ndio maana mnashangaa gari za CCM.
 
Mwenez atafutiwe magari kuendana na hadhi yake na ugumu wa kazi anayoifanya.Tunatambua mchango wake katika taifa tumpe sapoti.
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Tumekuwa tukiona Mhe. Paul Makonda akiingia na Toroli, Bulldozer, Baiskeli n.k kwenye ziara zake mikoa tofauti nchini.

Je ulishawahi kujiuliza ni jinsi gani msafara wa magari wa Makonda unavyoonekana akiwa anaelekea kwenye ziara zake huko mikoani.?

Hapa nimekuletea picha tofauti za muonekano wa magari ya msafara wa Paul Makonda.

View attachment 2887296

View attachment 2887297

View attachment 2887298

View attachment 2887299

View attachment 2887300

View attachment 2887301

WasafiMedia
Written by Mjanja M1
Na wewe uko ofisi ya uenezi? Mnatangaza chama chenu.

Sent from my moto g 5G (2022) using JamiiForums mobile app
 
Kuna member mmoja aliwahi kusema ukifuatilia siasa na mambo ya Tanzania halafu ukaendelea kuwa comfortable bila ya stress unaweza kuishi jehanamu bila shida yoyote.

kwa hio ukifuatilia sana issue za siasa lazima uwe isivyo kawaida.
Duhh! Jehanamu tena? Nimecheka sana,,,,🤣🤣
 
Back
Top Bottom