Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
Angalauu wewe umeongea/umeuliza swali la maana.....ngoja tusubiri majibuKwa kuwa Dr. Slaa alikuwa Padre hivyo alipata sakramenti ya upadrisho. Pia najua kwamba kwa taratibu za kanisa katoliki ukishapata sacrament ya upadirisho (ahadi) huwezi kupata sakramenti ya ndoa; kwa Dr. itakuwaje akifunga ndoa kanisa katoliki atapata sakrament ya ndoa?