MBWA HARUKI
Senior Member
- Jul 3, 2012
- 142
- 39
zee zima...yani aibu kwelikweli.
muungwana atafurahia ndoa, ila malaya huona ndoa ni kitu kibaya, maandiko yanasema hata mbinguni malaika wanashangilia ndoa inapofanyika duniani...basi ndoa na iheshimiwe na watu wote! Umalaya wako peleka huko huko buguruni malapa!