(Picha)Harusi ya Dr. W. Slaa (21.7.2012)

(Picha)Harusi ya Dr. W. Slaa (21.7.2012)

Wale wazee wa kizungu mnaowalamba mavi je?
bora yeye anakutana na zee lenzake!

Sure kabisa mbona Jacob Zuma hatumsemi? Kwani yeye ana miaka mingapi? Tuache siasa, tuongelee ukweli with vivid examples.
 
Hivi kumbe hawa nao walienda kumbe!

hahaaaasasa yule mzee kaoa nini si anabanduliwa t mke daily..hahaa mzee wangu bana..hivi 2015 utagombea tena urais au ndo hutaki tena
 
Mkuu Yericko Nyerere ina maana padre Dr. Slaa aliasi na tayari alishavuliwa upadre na akaitema ile sakrament aliyoimeza.

Hapana mkuu Kimbuka, mimi naona ni heri aliomba kuacha. Si kwamba aliasi na akavuliwa bali yeye kwa dhamira yake aliona hawezi kuwa mmnafiki!!! Ni bora yeye aliyeondoka kuliko wale waliobaki ambao tunasikia katika magazeti wamelawiti, wamechukua wake za watu, waimba kwaya etc. Sasa kipi bora. Namsifu kwa uamuzi wa busara na waheshima mbele za mungu na wanadamu na ndiyo maana tangu ametoka na kuishi na Rose hadi wameachana hujasikia kaandikwa magazetini kwa uzinzi. Angekuwa mzinzi kwa siasa uchwara za tz kama alivyojisemea fidadi papa Rostam ungekuta ameandikwa sana kwa magazeti yetu. Acha aoe afe tumzike kwa kikristu na kwa heshima zote. He deserves.
 
kama ulivo wewe unaonyesha kwenye avatar ulivokomaa miguu..sasa miguu imekomaa namna hiyo sasa hapo nyia panda si ndo patakuwa kama njiwe la kuvunjia nazi..

Kigogo jamani inatosha kha
 
ushabiki wa yanga na simba bana? Haijalishi unaona sababu au hauoni, ni ushabiki tu.
 
Leonard Robert

Omugole namelemeta tetet
Hivi mbwenu yabeli sendoff....??

Akanana akanana kaile konaaaaa kaileeeeeee .......

ha ha ha baleke bagambe batelangane nke ebipapali..bachundikane nke ebitaijwile... Wenene namanya ekyoyamwendeile..
Sherehe safiiii..??
 
Last edited by a moderator:
Mods irekebisheni heading ya hii thread ili iwe ndio maalumu kwa kupeana yanayojiri juu ya Ndoa ya Mwanasia mashuhuri na Rais mtarajiwa wa Tz!

Ondoeni hilo neno PICHA ili isomeke "Harusi ya Dr. W. Slaa (21.7.2012)"
 
Malipo watayapata tu, Meli zitazama hadi wastuke watubu hii dhambi kubwa namana hii

nkwei aisee, hivi si unajua walimchokza Jesus kwa kuuchoma mwili wake? Mghoshi maipo nhapahapa duniani aisee.
 
Jibebee jiko lako wewe, sema tu waliokushauri usioe mapema wamekukosesha mengi, bigup!!!!!!!!!!!!!!!1
 
Back
Top Bottom