Kigogo
JF-Expert Member
- Dec 14, 2007
- 20,508
- 6,146
Zee zima...yani aibu kwelikweli.
kama ulivo wewe unaonyesha kwenye avatar ulivokomaa miguu..sasa miguu imekomaa namna hiyo sasa hapo nyia panda si ndo patakuwa kama njiwe la kuvunjia nazi..
Zee zima...yani aibu kwelikweli.
Naona sherehe zimeanza kwa nderemo
kesho ni kesho msema kweli ni mwongo
najua kesho mtafurika kwa sana kanisani
Zee zima...yani aibu kwelikweli.
Swali: hivi na yeye ataenda honeymoon?
Zee zima...yani aibu kwelikweli.
Baba kapata mama hureeeee
Kama tingatinga na kilango walienda, why not Dr?
Zee zima...yani aibu kwelikweli.
Umechukia ehh??Zee zima...yani aibu kwelikweli.
Umejilengesha kwake umemkosa umejileta JF na vipicha vya ushawishi umemkuta hamaindishi, kaa kimya basi unatuaibisha wanawake wenzio mbona unang'ang'ania hivyoo kizuka weye
Sent from my BlackBerry 9910 using JamiiForums
swali: Hivi na yeye ataenda honeymoon?
Zee zima...yani aibu kwelikweli.