PICHA: Athari za mvua jijini Dar es Salaam

Tarehe 23 February 2014, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadik, alisema serikali kwa sasa haitakuwa na msaada wowote kwa wakazi waishio mabondeni endapo watakumbwa na mafuriko katika kipindi hiki cha mvua. Aliyasema hayo jana wakati akizungumza na NIPASHE baada ya kutaka kufahamu hatua zinazochukuliwa na serikali kuhusiana na watu wanaoendelea kuishi mabondeni katika wakati huu mvua zikiendelea kumiminika. Alisema lengo la serikali la kuwatoa wakazi wa mabondeni lilikuwa ni kwa usalama wao lakini wahusika wamekimbilia mahakamani. Aliongeza kuwa kinachotakiwa sasa ni kumuomba Mungu kusitokee mafuriko kwa sababu hawawezi kuingilia uamuzi wa Mahakama. “Serikali iliamua kuwatoa wakazi wa mabondeni kwa usalama wao wenyewe, lakini wakaamua kukimbilia mahakamani. Kwa hiyo hakuna msaada wowote endapo itatokea hatari ya mafuriko,” alisema na kuongeza: “Mimi kwa sasa naomba Mungu tu mafuriko yasitokee kwa sababu yakitokea itakuwa ni hatari.”

Source: Home

My take, Mwenyezi Mungu hajapokea mapombi ya mkuu wa Mkoa na mafuriko yametokea. Sasa mlioko mabondeni kazi ni kwenu, jiokoeni, au mukafute kesi jumatatu mapema halafu mumupelekee nakala Mkuu wa Mkoa ili abadili uamuzi!!!
 
Msiba wakujitakia hauna kilio kama wamegoma wenyewe watasaidiwaje?

Ni kama ajali tu hii usilete dharau...Watoto wamefariki kwa kushindwa kuvuka mito iliyofurika, wengine nyumba zimeingia maji kwa sababu ya miferej kushindwa kupitisha maji, madaraja yamevunjika nk.hapo wamejitakia vp.inawezena ww una akili ndogo sana au dharau sana lkn si vyema ukaionyesha wazi baki nayo tu moyoni ipo siku itakusaidia
 
Waamshwe mara ngap? ..hizi sikumbili peke yake adabu! Waache wajilie huko ddm maana saa hizi hata habar za mjini hawazitaki ..
Chezea noti
 
Wakiamka watazuia isinyeshe?

Wakiamka itakuwa kama ulaya, miundombinu yote itakuwa imara kwani wataogopa gharama na maafa. Na watawaajibisha wanaosimamia ujenzi.
We subiri si Dar imeshakuwa Zanzibar ya pili? Kufika sharti upande boat mtu. Waliokuja mapumziko kutoka Dom watarudi kwa ndege. Tutasikia mengi na kuona mengi.

image.jpg
 

Attachments

  • image.jpg
    image.jpg
    44.4 KB · Views: 254
Mda mwengine nafsi inanisuta kuilaumu serikali kwa mambo kama haya, inahusikaje?
 
Mda mwengine nafsi inanisuta kuilaumu serikali kwa mambo kama haya, inahusikaje?

Kamwe serikali huwa haikwepi lawama...mathalani jaribu kupita katikati ya jiji la Dar es Salaam uone namna barabara zilivyogeuka mito...

Hakuna drainage system inayofaa kama si hazikujengwa kabisa.
Zile zilizojengwa hazikusanifikiwa kukabili mvua za kiwango kikubwa kama hizi za sasa kiasi kwamba mji haupitiki kwa sisi tuendao kwa miguu...

Kuna nchi mvua zinanyesha zaidi ya hizi na bado wanatolerate kwani miundombinu imesanifiwa kukabili majanga kama haya...

Hadi sasa kwa Dar es Salaam pekee kuna madaraja kadhaa yashasombwa na maji...

Jana nilikuwa maeneo ya Chanika, kuna mahali maji yalikuwa yanapita juu ya daraja kiasi kwamba njia haionekani kabisa.
Sasa utanielewesha vipi kuwa aliyejenga hilo daraja alifanya kazi yake ipasavyo?
Maana kazi ya daraja ni kuhakikisha maji yote yanapita chini na si juu...
 
Ni kama ajali tu hii usilete dharau...Watoto wamefariki kwa kushindwa kuvuka mito iliyofurika, wengine nyumba zimeingia maji kwa sababu ya miferej kushindwa kupitisha maji, madaraja yamevunjika nk.hapo wamejitakia vp.inawezena ww una akili ndogo sana au dharau sana lkn si vyema ukaionyesha wazi baki nayo tu moyoni ipo siku itakusaidia

Kama ajali kwa maeneo kafhaa ya dar na ambayo hayakuwa na tahadhari ilo liko wazi sikatai.

Ila we unajenga jangwani au bonde la msimbazi mara nyingi umeonywa na kupewa sehemu mbadala ya kuishi ila hutaki kisa ni porini kisa ni city centre na wengine wanahojiwa cofidently wsnasema mvua zenyewe za msimu tu so kukaa nondeni sio ishu.. Hivi huyo mtu unamsaifiaje labda watu wamehamishwa tangu enzi za makamba lakini hadi leo hawataki kuhama wasaidiwaje sasa si kujitakia huko...
 
watu8 sikatai yote hayo ila nikweli Tanzania pekee ndio tunaathika na mvua? Mambo mengine hayakwepeki mkuu hii mvua ni kubwa sana, siku nne non stop
 
Last edited by a moderator:
Kuhusu Usafi Mkuu wa Mkoa - Dar Alitoa Maagizo nakuhaidi kumchukulia hatua yeyote yule atakae kwenda Kinyume !!
Ngoja tuone na Hili la SLUMS/Ujenzi holela usababishao Haya Mafuliko Atasema/Atachukua hatua gani !!
Poleni Wote mliopatwa na Matatizo ya Mafuriko !!
 
watu8 sikatai yote hayo ila nikweli Tanzania pekee ndio tunaathika na mvua? Mambo mengine hayakwepeki mkuu hii mvua ni kubwa sana, siku nne non stop

tatizo sio mvua Dar ina poor infrastuctures almost jiji zma mfano kama sinza hamna mitaro ya kupitisha maji hapo lazma mvua ilete madhara watu wanajenga mabondeni unategemea nin kuna sehemu mvua inanyesha mwezi na madhara hayaonekani miundo mbinu yenyewe haina standards unategemea nin
 
Last edited by a moderator:
tatizo sio mvua Dar ina poor infrastuctures almost jiji zma mfano kama sinza hamna mitaro ya kupitisha maji hapo lazma mvua ilete madhara watu wanajenga mabondeni unategemea nin kuna sehemu mvua inanyesha mwezi na madhara hayaonekani miundo mbinu yenyewe haina standards unategemea nin

Well said, (watu wanajenga mabondeni) ni watu ndio tatizo, mtu kabisa na akili zake anaenda kusimamisha nyumba katikati ya njia ya maji, mvua kama hii anaigeukia serikali, tukubali tu tunajenga ovyo, angali hii picha mji wetu huu
1397372816203.jpg
Kama wewe ndio maji ungepita wapi hapo?
 
Kamwe serikali huwa haikwepi lawama...mathalani jaribu kupita katikati ya jiji la Dar es Salaam uone namna barabara zilivyogeuka mito...

Hakuna drainage system inayofaa kama si hazikujengwa kabisa.
Zile zilizojengwa hazikusanifikiwa kukabili mvua za kiwango kikubwa kama hizi za sasa kiasi kwamba mji haupitiki kwa sisi tuendao kwa miguu...

Kuna nchi mvua zinanyesha zaidi ya hizi na bado wanatolerate kwani miundombinu imesanifiwa kukabili majanga kama haya...

Hadi sasa kwa Dar es Salaam pekee kuna madaraja kadhaa yashasombwa na maji...

Jana nilikuwa maeneo ya Chanika, kuna mahali maji yalikuwa yanapita juu ya daraja kiasi kwamba njia haionekani kabisa.
Sasa utanielewesha vipi kuwa aliyejenga hilo daraja alifanya kazi yake ipasavyo?
Maana kazi ya daraja ni kuhakikisha maji yote yanapita chini na si juu...

kaka watu8 hilo eneo jana limesomba daladala jioni,nilikuwa na jamaa zangu wametoka home walikuwa katika hiyo gari....
sasa huku kisarawe kuanzia pugu hadi vigama road imeharibika kwa maporomoko ya udongo
 
Last edited by a moderator:
Mda mwengine nafsi inanisuta kuilaumu serikali kwa mambo kama haya, inahusikaje?

infastructures mbovu na hawarekebishi mpaka wafe watu kwanza mikoa mengine mbona safi fikiria eti miaka hamsini ya kusheherekea ujinga
 
Watu wa huko sio wajasiriamali kabisa, sijaona mtu wa Dar anaongelea fursa ya ufugaji wa samaki.

Hapo ni kutupia vifaranga vya samaki then unasubiri mwezi mmoja kila dimbwi lina samaki wa kumwaga

Hasa kwa kuwa barabara kuingia dar hazipitiki so samaki nao hawatafika dar, tukitumia fursa kama ulivyoshauri italipa sana!
 
Back
Top Bottom