Barabara ya Morogoro eneo la Jangwani yafungwa kutokana na Mafuriko

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
84,004
142,028
Maji yamejaa Jangwani na kusababisha barabara kufungwa

Tumia njia Mbadala



Njia ya Jangwani, Barabara ya Dar es Salaam - Morogoro imefugwa muda huu kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha katika Jiji la Dar es Salaam.

Wasafiri wanashauriwa kutumia usafiri mbadala ikiwemo daladala mpaka Morocco kwa wale wanaotokea Posta kwenda Kimara.

Kwa wasafiri wanaoelekea Posta kutoka Kimara, wameshauriwa kuchukua mabasi ya DART mpaka Morocco ambapo wanaweza kuchukua usafiri mbadala ikiwemo daladala mpaka Posta, Kariakooo na sehemu nyingine za Jiji.
 
Maji yamejaa Jangwani na kusababisha barabara kufungwa

Tumia njia Mbadala

View attachment 2811348

Njia ya Jangwani, Barabara ya Dar es Salaam - Morogoro imefugwa muda huu kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha katika Jiji la Dar es Salaam.

Wasafiri wanashauriwa kutumia usafiri mbadala ikiwemo daladala mpaka Morocco kwa wale wanaotokea Posta kwenda Kimara.

Kwa wasafiri wanaoelekea Posta kutoka Kimara, wameshauriwa kuchukua mabasi ya DART mpaka Morocco ambapo wanaweza kuchukua usafiri mbadala ikiwemo daladala mpaka Posta, Kariakooo na sehemu nyingine za Jiji.
Kuna RC alisema wanajenga daraja la sentimita 300 hapo jangwani
 
Back
Top Bottom