PICHA: Athari za mvua jijini Dar es Salaam

PICHA: Athari za mvua jijini Dar es Salaam

Jamaa anafanya kazi ya kuvusha watu kwa 'mapatano' ☔️.
 
ImageUploadedByJamiiForums1397377244.855921.jpg
 
Well said, (watu wanajenga mabondeni) ni watu ndio tatizo, mtu kabisa na akili zake anaenda kusimamisha nyumba katikati ya njia ya maji, mvua kama hii anaigeukia serikali, tukubali tu tunajenga ovyo, angali hii picha mji wetu huu
View attachment 151027
Kama wewe ndio maji ungepita wapi hapo?

kweli haya ni majanga kila kona tatizo halafu hamna planing ya jiji ndo mana mambo yanatokea utafikiri hakuna viongoz na maji yanakosa pa kupta
 
Nyumba zinajengwa Holela !
Kila mwenye nyumba hata wasiokuwa Mabondeni Wanajenga Maukuta makubwa kuzuia chochoro au sijui ndiyo Ulinzi
na huo ndio ulinzi wa maji pia Hayana pa kupita!
Bahari inahitaji Maji yangepita hayo yakenda Baharini tu !
Amri sasa itoke Tazama mwelekeo wa Maji bomoa nyumba na kuta zote zinazozuia maji kwenda Baharini !
Hilo limekaaje Watawala ?
Kama wanaweza kubomoa vibanda vya biashara karibu na barabara ya magari, wanashindwa nini kubomoa kuta na nyumba zilizojengwa katika barabara ya kupita maji ?
 
Watanzania wa DSM poleni sana na Mvua hizi zinazoendelea. ni maafa hasa sehemu ambazo si za kilimo, huku kwetu zinanyesha pia tunajishauri tukapande nini maana msinu umepita

nngu007Jamaa yangu vipi huyu Dada uliyemchukua picha akibebwa ilikuweje abebwe ba kundi zima na mkoba bila kulowana.
du siku nyimgine ma Photographer muwe mnasaidia hata kuokoa baada ya kupiga picha

majanga+3.jpg

majanga+1.jpg

majanga+2.jpg
 
Kuna mto unaotenganisha mitaa hapa yaani ni majanga ndg zangu wa huku hakuna kwenda huku
 

Attachments

  • 20140413_154221.jpg
    20140413_154221.jpg
    319.3 KB · Views: 211
  • 20140413_154159.jpg
    20140413_154159.jpg
    297.5 KB · Views: 186
  • 20140413_154211.jpg
    20140413_154211.jpg
    358.8 KB · Views: 182
Poleni sasa nafikiri jeshi inabidi liokoe jahazi
 
umeandika kwa kuvizia, tatizo nnini?
tulia utupe habari kwa ukamilifu.
 
Kuna mto unaotenganisha mitaa hapa yaani ni majanga ndg zangu wa huku hakuna kwenda huku
Mkuu uliandikia chooni nini? Unaandika kitu ambacho kinawaacha wasomaji na maswali kibao.
 
Tokana na mvua zinazoendelea kunyesha maeneo mbali mbali ya Dar es Salaam, zimepelekea uharibufu wa barabara na mazingira.

Haya ni maeneo ya jiji la Dar es Salaam yaliyoathirika na mvua inayoendelea kunyesha na kusababisha usumbufu mkubwa kwa wakazi hasa wanaoishi bondeni au kwenye mkondo wa maji mfano mito.




attachment.php


attachment.php


Aprili 12, 2014

picha zingine ni za zaman, mfano hiyo ya kijana aliyembeba mdada ipo jukwaa la photo tangu mwaka jana,. Tuache mzaha kwenye majanga yanayonyemelea roho za watu na mali zao kama hay
 
Back
Top Bottom