Watanzania wa DSM poleni sana na Mvua hizi zinazoendelea. ni maafa hasa sehemu ambazo si za kilimo, huku kwetu zinanyesha pia tunajishauri tukapande nini maana msinu umepita
nngu007Jamaa yangu vipi huyu Dada uliyemchukua picha akibebwa ilikuweje abebwe ba kundi zima na mkoba bila kulowana.
du siku nyimgine ma Photographer muwe mnasaidia hata kuokoa baada ya kupiga picha
![]()
![]()
![]()
Hata hii si ya mwaka huu maana naikumbuka tunayo humuhumu JFHizi picha za huyo binti na huyo kijana ni za zamani kama sikosei ni mwaka uliopita, mleta mada kafanya kuxipandishia tu hapa..
Yaani"Mvua na inyeshe tu, kuna watu wanameamua kuwa samaki na Hawataki kuondoka mabondeni
Acha ujinga wako mwehu wewe kwani ccm ndiyo iliwaambia wajenge bondeni watu wanaumia unaleta siasa mpuuzi kweli wewe.kinachosikitisha makosa haya yaliyofanyika jangwani yanaendelea kufanyika mbezi, kimara na ubungo wananchi kujenga kwenye mikondo ya mito like there is no city planner
hii mbaya sana
ni madhara ya kuendelea kuweka CCM madarakani