PICHA: Athari za mvua jijini Dar es Salaam

PICHA: Athari za mvua jijini Dar es Salaam

Maombi yako kwa mungu awaguse watu yanatosha mkuu thinky


nimeumia moja ni nzuri sana na yule baba hana miezi 6kastaafu Loh
 
10152666_483787741720855_1880805955861029060_n.jpg
 
Mungu nusuru roho zao tu, lakini hili la wao kujenga mabondeni ni kukosa maarifa ambayo hata wewe umekataza. Maji yaendelee yakasombe na ile nyumba ya Mch. Lwakatare iliyoshindikana kuguswa na mkono wa sheria.
 
Poleni sana ndugu zetu. Ila hamia hata kwenye baraza ya mtu aliye juu maana roho ni bora kuliko mali.
 
Maybe serikali sikivu inaweza kuamka

mnakumbuka mabomu ya mbagala na Ukonga?

Mnakumbuka goofa kuuuwa watu mjini?

Ajali ya meli kwenda ZNZ?


mwishowe kilifanyika nini?


Acha mungu aendelee kumwaga hizi mvua tuuu maybe wanaweza kuamka hawa watawala wetu
 
CCM = Miundo mbinu mibovu. Mkiendelea kuichagua kamwe TZ haitakuwa na maendeleo ikiwa viongozi wenyewe ni recycled na wengi wao dizaini ya Mulugo.
 
WAPO WALIODAI TEN PERC
WAPO WA 50per

MH WAZIRI MAGUFULI NAMINI UMEONA USANII WA MAKANDARASI SIITAJI KUKUTAJIA KUTOKANA NA MVUA ZINAZOENDLEA

ZIPO ZA AINA TATU ZA UHARBIFU

MOJA ZILE ZINAZOJAA MAJI

MBILI ZILE ZILIZOARBIKA KABSA TENA NYINGITZIMETENGENEZA NA JAMAZETU


TATU

NTAKWAMBIA KESHO NAITAJI MAELEZO KWANZA MBONA USEMEI UHARBIFU HU MAJIMADOGO VILE
 
Mimi nimejichimbia ndani tangia juzi sijatoka kabisaa! wabongo poleni sana na maafa haya, nafikiri sasa ni wakati wa kuchukua hatua. Tafadhalini watu wanotaka kununua viwanja wasinunue wakati wa kiangazi au jua kwani kipindi cha mvua utaonyeshwa hali halisi ya kiwanja ulichokinunua. Pia serikali wasiuze viwanja kwa bei kubwa kwani watu wengi wanashindwa kununua na badala yake wananunua viwanja vilivyoko mabondeni.
 
kinachosikitisha makosa haya yaliyofanyika jangwani yanaendelea kufanyika mbezi, kimara na ubungo wananchi kujenga kwenye mikondo ya mito like there is no city planner

hii mbaya sana


ni madhara ya kuendelea kuweka CCM madarakani

Kuna jambo lilinistua nilivyoona majengo yakijengwa pale Jangwani na Kampuni ya Strabag, wanasahau kabisa pale ndo mkondo mkuu wa Dar, ambapo mito mingi hukutana pale na mto Msimbaz na kumwaga maji baharini. Kitendo cha kuweka obstructions pale na kusababisha mto kukosa kupumua kinaweza kuleta madhara makubwa!
 
\

unapojenga nyumba na kufanya specification ya sitting room , dinning room and bedding room this is your plan kama baba mwenye nyumba

hii inapaswa kutumika kwa viongozi wetu pia (city planner)
  1. shule wapi
  2. makazi ya watu wapi(high and low density)
  3. industrial area wapi
  4. market wapi
  5. play grounds wapi
  6. kanisa wapi na misikiti wapi

yote hapo juu yanatakiwa kuwa specified by the government through their city planners, Rafiki yangu mwenye uelewa wa mashaka kama kiwanja kinauzwa na mabalozi wa nyumba kumi kwanini kusiwe na shida
Hiyo number 2 ....... Ndio maana hakuna katika site plan ya jiji Jangwani inaonesha ni makazi ya watu. Na cku zote serikali imekuwa ikiwataka watu wa mabonde yasio makazi ya watu wahame. Acha walale kwenye mapaa ya nyumba, na inyeshe tu hata kwa siku 100 mfululizo
 
Watu wa huko sio wajasiriamali kabisa, sijaona mtu wa Dar anaongelea fursa ya ufugaji wa samaki.

Hapo ni kutupia vifaranga vya samaki then unasubiri mwezi mmoja kila dimbwi lina samaki wa kumwaga
 
Back
Top Bottom