picha nilizopiga mwenyewe, mimi sio mtaalamu na kamera yangu ni simu yangu, il napenda kupiga na kupost picha katika forums mablimbali, hizi nilipiga wiki iliyopita kwa wale ambao wnaelewa photography wanaweza kunikosoa, katika maeneo mbalimbali katika picha hizi
asanteni
hizi hapa za mwaka jana
angalia mti katikati ya jiji ulivyotunzwa vizuri