Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 85,952
- 146,218
Wewe hujui kusoma kwa ufahamu.Umejuaje kua namba zina mwanzo?
Halafu unani troll.
Stay off my dick.
Wewe hujui kusoma kwa ufahamu.Umejuaje kua namba zina mwanzo?
Kwani wapi nimesema hazina?kwanini unafikiri hazina?
U mean ur tiny d**k , see you are such dumb person,Wewe hujui kusoma kwa ufahamu.
Halafu unani troll.
Stay off my dick.
If you can't even believe in existence of supernatural power (GOD),Kwani wapi nimesema hazina?
Nimekuuliza kwa nini unafikiri namba zina mwanzo?
Hujajibu.
Unaweza kufikiri kimantiki na kujua kwamba mtu akikuuliza swali "Kwa nini unafikiri namba zina mwanzo?" Hajakuambia namba hazina mwanzo, whethet anafikiri hivyo au hafikiri hivyo?
Hapo awali wakati unatafuta uthibitisho wa Mungu wa kundi la YUPO ulitoa mfano wa ugonjwa na dawa,ulijuaje kwamba mfano ule ulinganifu wake unaendana na kile ambacho hukupewa uthibitisho bado,ulitumia vigezo/kigezo gani kufananisha mfano ule na kile angali bado hakijathibitisha?ilibidi tukielewe kwanza kwa upana baada ya uthibitisho halafu ndo tuweze fanya ulinganifu.ulijuaje mfano wako una match na kile ambacho hakijathibishwa uhalisia wake bado?Kwa nini unafikiri namba zina mwanzo?
Straight to ignore list.U mean ur tiny d**k , see you are such dumb person,
Yan uwaga nasikia kubwa jinga wapo today i have just witnessed one.
Pathetic atheist unae kalili philosophy na vtabu na kujiona very bright!
Dunderhead idiot.
Naona umerudi na NukesIf you can't even believe in existence of supernatural power (GOD),
Can you even understand the Quantum entanglement?
Can you even instill the way electron behave as wave and particle?
If you thought that you are a great thinker, let be known today you are arguing with one!
Cowardly declaring my victory right?Straight to ignore list.
Sina muda na trolls.
Hata hiyo ni philosophy, na wewe pia unajifurahisha ili ujione kuwa mjuaji wakati ni zezeta?







Oh you are another pathetic atheist right?Naona umerudi na Nukes
Tell me what do you know about GOD?Naona umerudi na Nukes
jioga wewe.Straight to ignore list.
Hakuna maisha nje ya uhai. Kifo ndo mwisho wa kila kitu.Fikra na mawazo yangu ningali hai huchagiza kuyatambua, kuyaelewa na kuuliza mazingira yangu ningali hai.Fikra na mawazo hupata majibu sahihi au kutopata kutokana na fikra na mawazo yaliyo ndani ya uhai wangu.
Majibu ya fikra na mawazo yangu hutokana na tafiti halisi katika mazingira yangu pamoja na majumuisho ya watu ambao wamefanya tafiti halisi zinazo endana na fikra na mawazo yangu.
Fikra na mawazo yangu huenda mbali nje ya mazingira ya uhai wangu na kuuliza maswali mengi ambapo majibu yake huwa hayana hitimisho maana nje ya uhai hakuna tafiti wala mawazo ya mtu fulani ambaye amewahi leta shuhuda nje ya uhai kutokana na fumbo lililopo.
Kwanini utumie "yupo" na si "lipo" ama "kipo" ama "yapo" umejuaje Mungu anasifa ya YUPO na sio haya mengineyo,huyu wa YUPO uliyemleta hapa nani anaweza thibitisha zaidi yako wewe binafsi,na umesema HAYUPO kwanini isiwe HAKIPO,HAYAPO ama HALIPO unataka nani akuthibitishie na umeleta hiyo sifa mwenyewe bwana kiranga we si ndo "unamjua" kwa kuleta neno YUPO






nomaaa sanaaaaa.