Philosophy is a disease for both theists and atheists

Philosophy is a disease for both theists and atheists

Sioni anachoonyesha huyu mtu
Sioni anachopinga
Sioni kitu kipya kwake alichokileta
Anaikataa falsafa ila anatumia falsafa hiyo hiyo kujipinga.

Mkuu endelea kupiga misumari
Piga nondo mpaka akili yeye ni popoma wa Intelligence
Hutaweza kuona maana hakionekani
 
Sioni anachoonyesha huyu mtu
Sioni anachopinga
Sioni kitu kipya kwake alichokileta
Anaikataa falsafa ila anatumia falsafa hiyo hiyo kujipinga.

Mkuu endelea kupiga misumari
Piga nondo mpaka akili yeye ni popoma wa Intelligence
Nisaidieni kumueleza, maana pengine anaona kuwa ni mimi tu ninampinga kwa sababu zangu binafsi.

Ujue anachokiandika mimi nilikisoma sana miaka ya 1995-1999. Nilisoma sana esoteric philosophies na religions, especially Budhism. Kuna Budhist monk mmoja anaitwa Pannasekara alikuwa pale Buddhist Temple and Meditation Center Dar es salaam, alikuwa rafiki yangu sana. Wale jamaa walikuwa na library ina vitabu kibao vya Buddhism.

Basi nikawa nasoma sana. Hata nilivyoondoka Dar nikirudi likizo nilikuwa nakwenda kumuona.

So haya mambo si kwamba nayasikia leo kwake, nishayasoma sana kwenye Buddhism. Hata hiyo Satori anayoisema ni aina ya falsafa ya awakening ya Japanese Buddhism.


Sasa, anapopitia huyu, mimi nilipitia in the 1990's, tena bado kidogo tu niende kusomea kuwa Buddhist monk, ila nikaona contradictions zilizomo katika hizi falsafa, ikawa elimu tu nimepata kwamba hiki kitu kipo.

Mwenzangu ndiyo kaishia hapo.
 
Nitaelewa vipi wakati wewe hutaki logic na hapo hapo unatumia logic?

Contradictions all over the place.
Narudia kwa mara ya mwisho GOD is illogical kwakuwa logic ndo inatukutanisha inanipasa nitumie logic nikuoneshe the illogical,GOD is of no-mind state ili uweze kufeel the presence you have to clear the thoughts and remain with an empty mind maana mtu hawezi jitenga na mind na kwakuwa mind ime embold thoughts ambazo ndo hizi natumia kukuelewesha zinabidi ku dissapear ili logic ife tuhamie an opposite polarity of illogical which means empty,which means nothing ,ukiweza ku drop everything nakubaki null it means you dont think you just feel you just experience you just watch hence you will find the proof you are looking for if its subtle to you then is non of my business and that is my PROOF
 
Hii yako ndio posti ya hovyo kabisa ya kufungia mwaka.
Hii mada ni tamu sana, ujinga mwingi na uzandiki wa kifikra umeletwa na hizi Falsafa na Mantiki. Nakuunga mkono kwa maana hii, huu ni ugonjwa hatari sana.

Ukitaka kuwa mjinga na usiwe una fikiria mambo katika uhalisia wake soma Falsafa na Logic kama Elimu.

Nilisoma Falsafa na kadhalika nikasema Logic, sikupata humo zaidi ya kufikiri kama walivyofikiri waasisi wa fikra hizo.

Ubaya Falsafa iliingizwa mpaka kwenye dini. Kwenye Uislamu Ilmu Al Kalam (Inaingia humo Falsafa na Mantiki) zikapelekea watu kuharibu imani na kukengeuka. Waislamu walio ingiza Falsafa ujinga huu waliutoa kutoka kwa wasio kuwa Waislamu.

Ndiyo maana kwetu sisi kujifunza Falsafa ni haramu.
 
Hii yako ndio posti ya hovyo kabisa ya kufungia mwaka.
Hawa watu hawajui hata falsafa ni nini.

Hawajui hata kutumia maandishi yenye mpangilio wa lugha, sarufi, herufi, fonetiki, kunahitaji mantiki, na mantiki ni sehemu ya falsafa.

Hivyo, wanajishaua kuiponda falsafa, wakati hata katika kufanya hivyo, wanatumia falsafa bado.
 
kwanini unafikiri umekwepa hilo swali na ukaniuliza hili?
Nimekwepa swali gani?

Unaniuliza wimbo wa taifa una rangi gani?

Na mimi nakuuliza kwa nini unafikiri wimbo wa taifa una rangi?

Kisha wewe unaniuliza kwa nini nimekwepa hilo swali?

Nitakwepa vipi swali ambalo limeulizwa kwa ujinga unaolifanya kuwa halina jibu la moja kwa moja?

Hujajibu swali langu.

Kwa nini unafikiri namba zina mwanzo?
 
Nimekwepa swali gani?

Unaniuliza wimbo wa taifa una rangi gani?

Na mimi nakuuliza kwa nini unafikiri wimbo wa taifa una rangi?

Kisha wewe unaniuliza kwa nini nimekwepa hilo swali?

Nitakwepa vipi swali ambalo limeulizwa kwa ujinga unaolifanya kuwa halina jibu la moja kwa moja?

Hujajibu swali langu.

Kwa nini unafikiri namba zina mwanzo?
You see, ulivonicritise tu ktk ule uzi without even scrutinize my logics right from that moment i knew something was off

Now guess what, i was right umevurugwa uku ndo ukaja kule

The only problem is you thinking that you can emancipate ur unsophisticated ideas way better than others,

It doesn't have to be that way,
Just don't judge a human by it's ability to fly for he/she will live a whole life believing in impossibilities.

Sometimes you just have to swallow your pride,
 
Nimekwepa swali gani?

Unaniuliza wimbo wa taifa una rangi gani?

Na mimi nakuuliza kwa nini unafikiri wimbo wa taifa una rangi?

Kisha wewe unaniuliza kwa nini nimekwepa hilo swali?

Nitakwepa vipi swali ambalo limeulizwa kwa ujinga unaolifanya kuwa halina jibu?

Hujajibu swali langu.

Kwa nini unafikiri namba zina mwanzo?
1.Unaniuliza wimbo wa taifa una rangi gani?

2.Number inaanzia ngapi?

Kwa akili yako hizi sentensi mbili zinauwiano na mfano wa kijinga kabisa uliotoa?

Wimbo na rangi ni contradiction,Number zina sequence

Unaenda mwenge kumnunulia mtoto wako wa miaka miwili viatu,muuzaji anakuuliza mwanao anavaa number ngapi?utamjibu unauliza wimbo wa taifa una rangi gani?

Atakuambia sawa atakupa number 10,unamwambia hiki kikubwa nipe number 3 ,sasa kila mtu huwa anazaliwa na kupewa number kwa mtiririko kwa kadri anavyokuwa ,hapo kuna sequence kwa kadri mtu anavyokuwa kuna number zinatangulia na kuna number zinafuata


Number inaanzia ngapi?

Kama haina mwanzo ,unajibu number hazianzi na kama hazianzi ,mtiririko umetokea wapi?
 
1.Unaniuliza wimbo wa taifa una rangi gani?

2.Number inaanzia ngapi?

Kwa akili yako hizi sentensi mbili zinauwiano na mfano wa kijinga kabisa uliotoa?

Wimbo na rangi ni contradiction,Number zina sequence

Unaenda mwenge kumnunulia mtoto wako wa miaka miwili viatu,muuzaji anakuuliza mwanao anavaa number ngapi?utamjibu unauliza wimbo wa taifa una rangi gani?

Atakuambia sawa atakupa number 10,unamwambia hiki kikubwa nipe number 3 ,sasa kila mtu huwa anazaliwa na kupewa number kwa mtiririko kwa kadri anavyokuwa ,hapo kuna sequence kwa kadri mtu anavyokuwa kuna number zinatangulia na kuna number zinafuata


Number inaanzia ngapi?

Kama haina mwanzo ,unajibu number hazianzi na kama hazianzi ,mtiririko umetokea wapi?
Kwa nini unafikiri namba zina mwanzo?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom