cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,159
- 181,303
Uongo mtupuuuuuu.Uwepo wa Mtoto anapokuwa tumboni anatumia uhai wa mama kuishi,anapoacha tumbo la mama uhai wa mama unatoweka anakufa anapita kwenye njia kwa maumivu ambayo ni makali na anatoka nje kwenye ulimwengu mwingine na kupokea pumzi yake ya kwanza ya uhai aanze kuhesabu siku ya kwanza katika kukikaribia kifo,yale maumivu huwezi kuyakumbuka maana hukumbuki ulivyozaliwa ilikuwaje anapokufa anarudisha ile pumzi ya kwanza ambayo ndo inabadilika kuitwa ya mwisho anapitia njia ileile kurudi alipotoka,kila kitu kinajigawa mwili mavumbuni,damu baharini,umeme juani,pumzi hewani,unajua yeye anenda wapi?
Sent using Jamii Forums mobile app