Philosophy is a disease for both theists and atheists

Philosophy is a disease for both theists and atheists

Huyu ni mwanafunzi wa falsafa

Ni kawaida darasa la falsafa kuwafanya wanafunzi wajinga wajidharirishe kwa wenzio na kuutafuta ukweli ndani ya illusion aliyomo.

Na mwalimu wako hasipokuja kukufundisha matumizi ya falsafa kutafuta logic,ujinga, ukweli, uongo, nature na kinachokuja au kilichojificha utakuwa hopeless man.
 
You are contradicting yourself.

Leave philosophy and logic alone. Use something else that is alogical to criticize logic and philosophy.

Right now you are saying philosophy is a disease, using philosophy and logic.

You are the disease.
Acha kuwa mjinga bana unakera sasa,nirudie kukuelewesha mara ngapi ngapi rudi kwenye post za nyuma soma uelewe naona sasa kama unajifanya mwehu,nimesema hivi KATIKA KUMTAFUTA HUYO MUNGU WENU MNAOSHINDANA KWENYE MAJUKWA MPAKA LEO -----KWA KUTUMIA PHILOSOPHY HAMJAPATA JIBU -----KWA MAANA HIYO MMEUGUA UGONJWA WA FALSAFA AMBAO NI KAMA CANCER INAWALA TARATIBU ----KWA HIYO MADA HUSIKA KUHUSU KUMTAFUTA MUNGU sijui na KUTHIBITISHA TU---,NI HILO BASI---- sina shida na philosophy every human is a philosopher
 
Huyu ni mwanafunzi wa falsafa

Ni kawaida darasa la falsafa kuwafanya wanafunzi wajinga wajidharirishe kwa wenzio na kuutafuta ukweli ndani ya illusion aliyomo.

Na mwalimu wako hasipokuja kukufundisha matumizi ya falsafa kutafuta logic,ujinga, ukweli, uongo, nature na kinachokuja au kilichojificha utakuwa hopeless man.
Hivi ukijamba mwenzio akacheka kwenye falsafa hii tunaiweka wapi?
 
Kutokana na fumbo pande zote mbili haziwezi kwenda mbali zaidi kwa kutafuta majibu ambayo fumbo hilo huwa kikwazo kutengeneza fikra sahihi kutokana na ukomo uliopo ambao hauwezi kupata majibu sahihi.

Hii hupelekea pande mbili kutokuona haja ya kuamini mawazo na fikara sahihi ambazo kila pande huamini kile kilichopo kutokana mazingira ya mawazo ambayo yamejengwa katika misingi ya kila pande kuukubali ukweli au kutokubali kulingana na ukomo wa fikra na mawazo juu ya uwepo wa fumbo.

Sio rahisi kwa pande moja kukubali hoja za pande nyingine maana kila pande huona hoja na mawazo yatolewayo na pande nyingine hayana mashiko kutokana na fumbo ambalo kila pande haina uthibitisho wa kuwepo au kutokuwepo kwa kitu husika.

Kila pande hutengeneza hoja za kimsingi ambazo huaminiwa na wafuasi wa pande husika ambapo hupingwa na kuleta mjadala mkubwa kwa pande nyingine ambayo hutumia mawazo na fikra zilezile kuuliza maswali ambayo huwa na majibu mengine hayana .Hii hupelekea mjadala mkubwa baina ya pande hizo mbili kwa kupingwa hoja zitolewazo na kila pande.

Hitimisho hutolewa na kila pande ingawa hupingwa pia na pande nyingine maana mawazo na fikra hukumbwa na fumbo.
Ndio timu mbili duniani zinazosifika kwa Kujaza uzi kwenye forums mbalimbali,ndo timu ambazo hutafuta jibu ya kile kilicho nje ya fikra kwa kutumia hizo hizo fikra,ndo maana nawaambia kifaa wanachokitumia ni ugonjwa Usha waasiri nawameshaugua hivyo wamekubali kufa na maradhi bila kuyatibu,wameshauriwa watumie kifaa kingine salama ambacho kitawaletea hitimisho kuweza kulifumbua fumbo wamegoma wanadai ni bora wabaki wagonjwa ipo siku watapona bila tiba basi nikathibitisha bila mashaka kuwa ni wagonjwa.
 
Acha kuwa mjinga bana unakera sasa,nirudie kukuelewesha mara ngapi ngapi rudi kwenye post za nyuma soma uelewe naona sasa kama unajifanya mwehu,nimesema hivi KATIKA KUMTAFUTA HUYO MUNGU WENU MNAOSHINDANA KWENYE MAJUKWA MPAKA LEO -----KWA KUTUMIA PHILOSOPHY HAMJAPATA JIBU -----KWA MAANA HIYO MMEUGUA UGONJWA WA FALSAFA AMBAO NI KAMA CANCER INAWALA TARATIBU ----KWA HIYO MADA HUSIKA KUHUSU KUMTAFUTA MUNGU sijui na KUTHIBITISHA TU---,NI HILO BASI---- sina shida na philosophy every human is a philosopher
Hujathibitisha Mungu yupo.

Huwezi kuthibitisha Mungu yupo.

Kwa sababu hayupo.

Habari ya kuwapo kwake ni jambo la imani tu, si jambo la uhalisia nje ya imani.

Kama unabisha, thibitisha Mungu huyo yupo.
 
Hujathibitisha Mungu yupo.

Huwezi kuthibitisha Mungu yupo.

Kwa sababu hayupo.

Habari ya kuwapo kwake ni jambo la imani tu, si jambo la uhalisia nje ya imani.

Kama unabisha, thibitisha Mungu huyo yupo.
Unamaanisha nini maana ya Mungu?
 
Unamaanisha nini maana ya Mungu?
Kwani wewe umekuwa unaenda on and on kuhusu Mungu unamaanisha nini?

Mimi nimekuwa nikimdefine Mungu karibu kwenye kila post, wewe unajua kusoma?

Au hutumii logic kusoma, unataka ku "know" ninachoandika bila kusoma?

Unakuja kuniuliza namaanisha Mungu ni nini post ya 187? Really?
 
It has to look that way because the Mind cant accept, it needs courage,am not judgemental but you are too afraid
How can you be alogical and illogical and know afraid from not afraid?
 
Mungu ni muweza ya yote mema,mabaya,wadhambi,watakatifu,amani,vita,ukweli,uwongo vyote vyake,ni mjuzi wa vyote vibaya na vizuri,ana upendo wote ndo maana ukitaka kua we ua,ukitaka kubaka we baka ukiona haifai acha,its balance,the law of universe inasema what you sow is what you reap,so kama uliwekeza kwenye negativity utaexperience the same fate ili kubalance after rebirth kama utawekeza kwenye positivity same applies ,halafu God is not an entity is nothingness you cant prove nothingness though nothingness exists,without nothingness there is no somethingness.

Yes God is totality am not here to argue or to goldpaint that crust of your mind am here to share just an experience not convince any of it because it all here now,it is just present,is your decission whether to see it or not,Majibu yote nshakupa ila una penda spining because always ego doesnt want to die it wants to to live it hence depends in time ndo maana unazunguka zunguka tu hapa unaremba maneno badala ya kuelewa nini nacho share.
Hujathibitisha Mungu yupo.

Kusema tu Mungu ni hivi vile, unaweza kusema chochote.

Thibitisha Mungu yupo, usiseme tu.
 
Tatizo Mungu wa hizi dini za duniani zinazotumia philosophy na logic kumdefine huyu Mungu,kwa kumfikiria katika kichwa kuwa a certain kind of imagination,hii idea ambao imekuwa constructed kwenye minds inawatesa sana theists na atheists,kwasababu you seek to find an illusion in a future hence arguing,mimi huko siko ,mimi i dont need future,goals,ambitions,plans,purpose,leveling up because am just herenow,am at eternity,timeless,present,am only living,i feel the presence of the ultimate now i dont seek,because the source of my origin is within and without when they collide,my source of creation is just of NO MIND STATE i feel ,i dont imagine,how can i prove what i feel ,just be you and you can feel the same
Hata hiyo ni philosophy.

Thibitisha Mungu yupo, acha longolongo.
 
Wapi nimeiponda philosophy?mbona unakuwa mgumu kuelewa nimesema philosophy na logic haiwezi kuwapatia majibu midahalo ya theists na atheists kuhusu thibitisho lao la huyo Mungu wanaotaka sijui kumjua sijui kumwona thats non of my business,nimesema ukitumia philosophy na logic kupata a definite conclusion au solution za argumentation zenu philosophy haiwezi,hence ni kama cancer inawala watu taratibu na watapotea bila results,nikasema ukitaka kupata majibu lazima uingie kwenye uwanja wa illogical ambayo ni ngumu kwa mind ku bare maana kwenye majibu ni subtle,si kwamba naipinga no,nachosema majibu yenu mtaishia kujaza uzi hakuna hitimisho the only way is to go beyond logic na kwenda beyond mtu anona anaacha utashi na maarifa yake anaanza kujiona kama mjinga na akili inagoma maana inataka kuwa dominant


Sasa sijui kipi hamuelewi,my experience is simplicity not complexity,it doesnt need knowledge it just need courage,pain and innocence.
Ingia kwenye uwanja wa illogic usiandike kwa herufi, lugha, sarufi, internet, halafu tuthibitishie Mungu yupo humo.
 
Hujathibitisha Mungu yupo.

Huwezi kuthibitisha Mungu yupo.

Kwa sababu hayupo.

Habari ya kuwapo kwake ni jambo la imani tu, si jambo la uhalisia nje ya imani.

Kama unabisha, thibitisha Mungu huyo yupo.
Kwanini utumie "yupo" na si "lipo" ama "kipo" ama "yapo" umejuaje Mungu anasifa ya YUPO na sio haya mengineyo,huyu wa YUPO uliyemleta hapa nani anaweza thibitisha zaidi yako wewe binafsi,na umesema HAYUPO kwanini isiwe HAKIPO,HAYAPO ama HALIPO unataka nani akuthibitishie na umeleta hiyo sifa mwenyewe bwana kiranga we si ndo "unamjua" kwa kuleta neno YUPO
 
Kwanini utumie "yupo" na si "lipo" ama "kipo" ama "yapo" umejuaje Mungu anasifa ya YUPO na sio haya mengineyo,huyu wa YUPO uliyemleta hapa nani anaweza thibitisha zaidi yako wewe binafsi,na umesema HAYUPO kwanini isiwe HAKIPO,HAYAPO ama HALIPO unataka nani akuthibitishie na umeleta hiyo sifa mwenyewe bwana kiranga we si ndo "unamjua" kwa kuleta neno YUPO
Hujathibitisha chochote, yupo, lipo, kipo, hujathibitisha lolote.

Unatapatapa tu kwa uongo juu ya uongo.

Kama unabisha, thibitisha.
 
Kwani wewe umekuwa unaenda on and on kuhusu Mungu unamaanisha nini?

Mimi nimekuwa nikimdefine Mungu karibu kwenye kila post, wewe unajua kusoma?

Au hutumii logic kusoma, unataka ku "know" ninachoandika bila kusoma?

Unakuja kuniuliza namaanisha Mungu ni nini post ya 187? Really?
we si mzima
 
Hujathibitisha chochote, yupo, lipo, kipo, hujathibitisha lolote.

Unatapatapa tu kwa uongo juu ya uongo.

Kama unabisha, thibitisha.
jibu swali wewe ndo umeanzisha hii mada why umetumia YUPO at the first place
 
Hujathibitisha Mungu yupo.

Kusema tu Mungu ni hivi vile, unaweza kusema chochote.

Thibitisha Mungu yupo, usiseme tu.
Kwanini unapenda kutumia YUPO eti bwana kiranga na sio kipo au lipo tuanzie hapa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom