Ramark
JF-Expert Member
- May 19, 2015
- 1,989
- 1,450
Huyu ni mwanafunzi wa falsafa
Ni kawaida darasa la falsafa kuwafanya wanafunzi wajinga wajidharirishe kwa wenzio na kuutafuta ukweli ndani ya illusion aliyomo.
Na mwalimu wako hasipokuja kukufundisha matumizi ya falsafa kutafuta logic,ujinga, ukweli, uongo, nature na kinachokuja au kilichojificha utakuwa hopeless man.
Ni kawaida darasa la falsafa kuwafanya wanafunzi wajinga wajidharirishe kwa wenzio na kuutafuta ukweli ndani ya illusion aliyomo.
Na mwalimu wako hasipokuja kukufundisha matumizi ya falsafa kutafuta logic,ujinga, ukweli, uongo, nature na kinachokuja au kilichojificha utakuwa hopeless man.