Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 65,812
- 156,950
MKuu leo nilikuwa naangalia miamala ya nyuma ilivyokuwa imeshiba hadi najisikia hasira😂Mbaya zaidi unajikuta wajiuliza ukirudisha frame...utafanya issue gani??
Ndo Mwanzo wa kuingia kwenye madeni