CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,789
- 8,915
VICOBA ina histora ndefu sana, ikiwa ni wazo lilio anzia hasa India, miaka ya 80 mwishoni kwenye jamii ya watu masikini kule India ambao walikuwa wakati wa uchaguzi wanaomba omba pesa sana kwa wanasiasa ndio watu wakakaa chini na kubuni saving group.
Miaka ya 90 mwishoni ikaingia Afrika hasa West Africa kwenye nchi ya Niger, na baadae ikaenea hadi Tanzania miaka ya 2000.
VICOBA ukienda kwenye nchi tu za EAC kama Uganda, Kenya, Rwanda zina perform well sana, Zambia, Malawi, Zimbabwe, South Africa Botswana kote huko hakuna changamoto, West Africa Cameroon, Ghana, Nigeria kote huko hakuna Changamoto.
Shida iko Tanzania ambako ujanja ujanja ni mwingi sana, na VICOBA haitaki ujanja ujanja, kabisa. Kwa Tanzania VICOBA inaonekana haifai kabisa, na sababu kubwa ni Tamaaa na ujanja ujanja wa wanavikundi.
VICOBA ina misingi yake ambayo ni;
Hio misingi ikikiukwa tegemea Vilio vya kupigwa, na hapo ndio viongozi unakuta wanalala mbele na pesa sa wanakikundi, mara wachore ramani ya kuibiwa pesa yaani ilimuradi wapige pesa.
Kama Ndugu yako yuko au anataka kujiunga kwenye kikoba muulize maswahi haya;
1. Mnajuana wote? Mnafahamiana kwa tabia? Mnajya kila mmoja wenu anaishi wqpi na levo yake ya maisha ikoje?
Miaka ya 90 mwishoni ikaingia Afrika hasa West Africa kwenye nchi ya Niger, na baadae ikaenea hadi Tanzania miaka ya 2000.
VICOBA ukienda kwenye nchi tu za EAC kama Uganda, Kenya, Rwanda zina perform well sana, Zambia, Malawi, Zimbabwe, South Africa Botswana kote huko hakuna changamoto, West Africa Cameroon, Ghana, Nigeria kote huko hakuna Changamoto.
Shida iko Tanzania ambako ujanja ujanja ni mwingi sana, na VICOBA haitaki ujanja ujanja, kabisa. Kwa Tanzania VICOBA inaonekana haifai kabisa, na sababu kubwa ni Tamaaa na ujanja ujanja wa wanavikundi.
VICOBA ina misingi yake ambayo ni;
- Upendo kwa wana vikundi
- Uwazi
- Umoja
- Kuwa levo sawa ya maisha
- Wanachama wote kufahamiana, kujua tabia za kila mwana kikundi.
Hio misingi ikikiukwa tegemea Vilio vya kupigwa, na hapo ndio viongozi unakuta wanalala mbele na pesa sa wanakikundi, mara wachore ramani ya kuibiwa pesa yaani ilimuradi wapige pesa.
Kama Ndugu yako yuko au anataka kujiunga kwenye kikoba muulize maswahi haya;
1. Mnajuana wote? Mnafahamiana kwa tabia? Mnajya kila mmoja wenu anaishi wqpi na levo yake ya maisha ikoje?