Pesa 8 zenye nguvu Afrika

Pesa 8 zenye nguvu Afrika

Kwacha nakataa kwani shilingi yetu ipo juu sana kuliko kwacha.Wana mpaka noti ya shilingi Elfu hamsuni .
Walichofanya ni kama sisi kwenye elfu moja tuandike 1 ,Alafu maandishi yasomeke elfu moja.au 10= Elfu kumi ,50 efu hamsini.

Mfano sasa hiyo Elfu kumi (10) kwacha nisawa na sh 2200 kwa Sasa au Leo hii.

Kwa kuiweka kwacha Uzi wako umekosa uhalisia ,wenyewe wanaomba poor kwetu na wanaielewa sana fedha yetu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwacha nakataa kwani shilingi yetu ipo juu sana kuliko kwacha.Wana mpaka noti ya shilingi laki moja .
Walichofanya ni kama sisi kwenye elfu moja tuandike 1 ,Alafu maandishi yasomeke elfu moja.au 10= Elfu kumi ,50 efu hamsini.

Mfano sasa hiyo Elfu kumi (10) kwacha nisawa na sh 2200 kwa Sasa au Leo hii.

Kwa kuiweka kwacha Uzi wako umekosa uhalisia ,wenyewe wanaomba poor kwetu na wanaielewa sana fedha yetu

Sent using Jamii Forums mobile app



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilienda kuzurura Moroko Machi, 2017 na thamani ilikuwa hiyo. Wanafanyeje hasa hadi fedha kuwa stable kwa muda mrefu?

Bazazi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna Nchi kwa upande wa fedha yake naikubali Kama Zambia. Sijui wametumia Effort gani kubadii kutoka Kuwa pesa ya thamani ya Chini mpaka ubora huo.
Maana Kwacha ilikuwa mara mia kabisa TZS.
Lakini toka akamate Nchi Lungu, Mambo yanaenda Mswano kwa Ustable wa Currency yao. Tanzania CCM ndiyo Shida.
Hebu soma huu uzi Kwacha ya Zambia ilikuwa dhaifu dhidi ya shilingi ya Tanzania. Imekuwaje kwa sasa Kwacha ipo juu sana zaidi ya shilingi yetu?

Unaweza pata la.kujifunza kuongeza elimu

Bazazi


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habar ndio hiyo
Screenshot_20191223-081435.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama KENYA haimo ni maajabu ya SENENE?
Ajabu ya mbuzi dume kunukia sambusa,Hivi nchi yenye uchumi mkubwa Afrika kama Kenya haimo? Hivi na Naija nayo olah au macho yangu?
 
Naona mabeberu mmeanza kupika taarifa zenu ili kudhoofisha nguvu za raisi wetu mtufukufu wa jamuhuri ya ndizi.

😂 Ww unataka usikie sifa tu, kinyume na hapo basi ni beberu, mahaba ya aina hiyo ni mabaya sana, basi pesa ya Tanzania ndio inaongoza duniani
 
"Kama Tz haipo kwenye list hiyo basi hizo ni taarifa za uongo zinazotolewa na mabeberu kudhohofisha maendeleo ya nchi yetu" JIWE
 
Hakuna Nchi kwa upande wa fedha yake naikubali Kama Zambia. Sijui wametumia Effort gani kubadii kutoka Kuwa pesa ya thamani ya Chini mpaka ubora huo.
Maana Kwacha ilikuwa mara mia kabisa TZS.
Lakini toka akamate Nchi Lungu, Mambo yanaenda Mswano kwa Ustable wa Currency yao. Tanzania CCM ndiyo Shida.
Kwacha ilianza na rate ya
1 USD = 5.2 ZMW mwaka 2013 baada ya kubadili hela (mahela yao ya zamani yalikuwa zaidi ya madafu)
Mpaka sasa miaka sita rate inasoma
1 USD =15....ZMK
Na inaendelea kuporomoka since then

Sent using Jamii Forums mobile app
 
3. Cedis ya Ghana
Ghana ni nchi pekee ya afrika magharibi ambayo ipo kweny nane bora ya nchi nane zenye pesa yenye nguvu afrika

1$ = 5.50 Ghana cedis
2245467_1576657112028.png

Usibabaike, hawa jamaa waliondoa sifuri nne mwaka 2007 (cedi 10,000 ikawa cedi 1)
6. Kwacha ya Zambia
Hii ni pesa ya Zambia ambayo ilichokua nafasi ya Paundi ya Zambia.
$ 1 = 11.98 kwacha
2245475_1576657205936.png


Hawa jamaa nao waliondoa sifuri tatu mwaka 2012 (kwacha 1000 ikawa kwacha1)
 
Hakuna Nchi kwa upande wa fedha yake naikubali Kama Zambia. Sijui wametumia Effort gani kubadii kutoka Kuwa pesa ya thamani ya Chini mpaka ubora huo.
Maana Kwacha ilikuwa mara mia kabisa TZS.
Lakini toka akamate Nchi Lungu, Mambo yanaenda Mswano kwa Ustable wa Currency yao. Tanzania CCM ndiyo Shida.
Mkuu kanuni za uchumi ni ajabu kidogo. Pesa kuwa na thamani kubwa kuilinganisha na dola sio kigezo iko vizuri. Jiulize kwanini Pesa ya Japan ina thamani "ndogo sana" kuilinganisha na hiyo ya Zambia! Jiulize kwanini China iliposhusha thamani ya pesa yake Marekani ililalamika!
 
Back
Top Bottom