Marekani haina haki kulipiza kisasi kwa kuuliwa askari wake watatu. Watakutana na wasichokitarajia

Webabu

JF-Expert Member
Apr 29, 2010
7,169
10,899
1706588647458.png

Sergeant William Jerome Rivers, 46, Specialist Kennedy Ladon Sanders, 24 and Specialist Breonna Alexsondria Moffett, 23

Hao hapo juu ndio askari watatu wa Marekani waliokufa kwenye shambulio la Droni huko Jordan na ambao Pentagon imeazimia kulipiza kisasi kikubwa kutokana na vifo vyao.

Makundi kadhaa ya kihafidhina yamekuwa yakimshinikiza raisi Biden achukue hatua kali kulipiza kisasi ili tukio kama hilo lisijirudiea tena.

Nchi inayotajwa kuwa lengo la ulipizwaji kisasi hicho ni Iran na Lebanon waliko Hizbullah na sababu ni kuwa droni iliyotumika ni ile aina ya shahed inayotengenezwa Iran kama inazotumia Urusi katika vita na Ukraine ambazo huwa wanazinunua kutoka Iran.

Hapo inaonekana Marekani inatafuta sababu kuanzisha vita vingine vibaya mashariki ya kati huku vita vya Gaza hata havijamalizika.

Kuonekana kwa droni zilizotengenezwa Iran kutumika katika shambulio hilo ni kisingizio cha ovyo cha kuanzishia vita.Silaha za Marekani zimekuwa zikitumika dunia nzima kuua watu kwa maelfu.Jee wote hao ni halali kupelelka mashambulizi yao Marekani kwa sababu hiyo.

Huko Urusi,sasa wanapata hasara kubwa na kutokea kwa vifo kutokana na silaha kali zaidi ya droni zinazopelekewa Ukraine kutoka Marekani.Kwanini Urusi haijaingia vitani moja kwa moja kwa kujua silaha hizo zinatokea Marekani.

Mpiganaji mzuri ni yule anayepigana kutetea haki yake na baada ya kuwa na uhakika na anayemchokoza
Ukishindwa kujua kwa uhakika anayekuchokoza basi ukiingia vitani huwa unaelekea kufedheheka
 
Ina haki ya kujilinda na kuwadhibiti magaidi dhidi ya ngome na maslahi popote ulimwenguni kutoka huko huko walipo magaidi kabla hawajaleta madhara, uharibifu au vifo vya wasio na hatia duniani 🐒
 
Basi tusubiri tuone jinsi Marekani ,taifa kubwa linavyozama kwenye bahari ya mahsariki ya kati.
Mashariki ya kati ni eneo la makaburi ya falme zote zilizopeleka chokochoko kule.

History inaonyesha hakuna aliyewai kushinda kuanzia kina alexander the great.

Naomba uzima na ubongo wenye utashi Ili niweze kushuhudia kipindi hiki labda kutakua na mabadiliko.
 
View attachment 2887952
Sergeant William Jerome Rivers, 46, Specialist Kennedy Ladon Sanders, 24 and Specialist Breonna Alexsondria Moffett, 23

Hao hapo juu ndio askari watatu wa Marekani waliokufa kwenye shambulio la Droni huko Jordan na ambao Pentagon imeazimia kulipiza kisasi kikubwa kutokana na vifo vyao.

Makundi kadhaa ya kihafidhina yamekuwa yakimshinikiza raisi Biden achukue hatua kali kulipiza kisasi ili tukio kama hilo lisijirudiea tena.

Nchi inayotajwa kuwa lengo la ulipizwaji kisasi hicho ni Iran na Lebanon waliko Hizbullah na sababu ni kuwa droni iliyotumika ni ile aina ya shahed inayotengenezwa Iran kama inazotumia Urusi katika vita na Ukraine ambazo huwa wanazinunua kutoka Iran.

Hapo inaonekana Marekani inatafuta sababu kuanzisha vita vingine vibaya mashariki ya kati huku vita vya Gaza hata havijamalizika.

Kuonekana kwa droni zilizotengenezwa Iran kutumika katika shambulio hilo ni kisingizio cha ovyo cha kuanzishia vita.Silaha za Marekani zimekuwa zikitumika dunia nzima kuua watu kwa maelfu.Jee wote hao ni halali kupelelka mashambulizi yao Marekani kwa sababu hiyo.

Huko Urusi,sasa wanapata hasara kubwa na kutokea kwa vifo kutokana na silaha kali zaidi ya droni zinazopelekewa Ukraine kutoka Marekani.Kwanini Urusi haijaingia vitani moja kwa moja kwa kujua silaha hizo zinatokea Marekani.

Mpiganaji mzuri ni yule anayepigana kutetea haki yake na baada ya kuwa na uhakika na anayemchokoza
Ukishindwa kujua kwa uhakika anayekuchokoza basi ukiingia vitani huwa unaelekea kufedheheka
WEnzako hawa hapa wanaenda kuonja joto ya jiwe wewe uko buza unatangaza kiama

View: https://twitter.com/Osint613/status/1752408192913387662?t=fuw8j8WmKi9-Hj52aCHk-A&s=19
 
View attachment 2887952
Sergeant William Jerome Rivers, 46, Specialist Kennedy Ladon Sanders, 24 and Specialist Breonna Alexsondria Moffett, 23

Hao hapo juu ndio askari watatu wa Marekani waliokufa kwenye shambulio la Droni huko Jordan na ambao Pentagon imeazimia kulipiza kisasi kikubwa kutokana na vifo vyao.

Makundi kadhaa ya kihafidhina yamekuwa yakimshinikiza raisi Biden achukue hatua kali kulipiza kisasi ili tukio kama hilo lisijirudiea tena.

Nchi inayotajwa kuwa lengo la ulipizwaji kisasi hicho ni Iran na Lebanon waliko Hizbullah na sababu ni kuwa droni iliyotumika ni ile aina ya shahed inayotengenezwa Iran kama inazotumia Urusi katika vita na Ukraine ambazo huwa wanazinunua kutoka Iran.

Hapo inaonekana Marekani inatafuta sababu kuanzisha vita vingine vibaya mashariki ya kati huku vita vya Gaza hata havijamalizika.

Kuonekana kwa droni zilizotengenezwa Iran kutumika katika shambulio hilo ni kisingizio cha ovyo cha kuanzishia vita.Silaha za Marekani zimekuwa zikitumika dunia nzima kuua watu kwa maelfu.Jee wote hao ni halali kupelelka mashambulizi yao Marekani kwa sababu hiyo.

Huko Urusi,sasa wanapata hasara kubwa na kutokea kwa vifo kutokana na silaha kali zaidi ya droni zinazopelekewa Ukraine kutoka Marekani.Kwanini Urusi haijaingia vitani moja kwa moja kwa kujua silaha hizo zinatokea Marekani.

Mpiganaji mzuri ni yule anayepigana kutetea haki yake na baada ya kuwa na uhakika na anayemchokoza
Ukishindwa kujua kwa uhakika anayekuchokoza basi ukiingia vitani huwa unaelekea kufedheheka
Acha woga, Iran si anajifanya yeye ndo yeye.
 
USA hawezi fanya chochote kwa Iran, hao askari ndoa ivo, nchi makini kijeshi isingeweza kuruhusu yale mauaji ya askari wake kule Afghanistan kipindi kile USA anatoka Afghanistan, Rais alikuwa George Bush na Trump, tukio hilo la kuuwawa kwa wanajeshi wa USA, kama ingetokea kwa Rusia au Israel isingechukua muda bila kutoa jibu la kikatili kwa maadui, USA ana fedha na silaha lakini uthubutu na mbinu za kijeshi duniani tuna nchi 3, Israel, Rudia na Iran.
 
Back
Top Bottom