Iran yashika meli ya Marekani jirani na Oman. Ni kulipiza kisasi dhidi ya ubabe wa US

Webabu

JF-Expert Member
Apr 29, 2010
7,180
10,902
iran imeendelea kurekeleza sera ya jino kwa jino dhidi ya Marekani kwa kuiteka meli iitwayo St Nicholas wakati ikiwa na shehena ya mafuta iliyopakia kwenye bandari ya Iraq kuelekea Ururuki.

Meli hiyo zamani ikiirwa Suez Rajan na ndiyo iliyotekwa na Marekani mwaka jana ambapo shehena ya mafuta jumla mapipa milioni moja kutoka Iran yalityokuwa yakipelekwa Uturuki yaliibwa na kushushwa nchini Marekani.

Askari wanamaji wa Iran waliingia kwenye meli hiyo na kuiamuru ielekee Iran japokuwa ilikuwa imezima mawasiliano ya utambulisho wake ili kujificha.

Televisheni ya Iran imekiri kufanyika kitendo hicho cha kulipiza kisasi .

Iran seizes tanker involved in dispute with US in Gulf of Oman

 
iran imeendelea kurekeleza sera ya jino kwa jino dhidi ya Marekani kwa kuiteka meli iitwayo St Nicholas wakati ikiwa na shehena ya mafuta iliyopakia kwenye bandari ya Iraq kuelekea Ururuki...
wazungu huanza kutengeneza mapicha kama haya hili muda unapofika mtu ale kisago cha usawa wake , hata Gadaf walimpamba hv hv na Sadam pia walimpamba hv hv ila baadae akaja tema bungo , ndan ya Iran kuna mvutano mkali kati wale wafuasi wa msimamo mkali wa kiislam na wale wanaopenda utawala wa kimokrasia usio na mlengo wa kidini , sasa ni swala la muda tu Iran anazid jiweka mbele kabisa ya macho ya watu kuwa yeye ndo mwamba
 
wazungu huanza kutengeneza mapicha kama haya hili muda unapofika mtu ale kisago cha usawa wake , hata Gadaf walimpamba hv hv na Sadam pia walimpamba hv hv ila baadae akaja tema bungo , ndan ya Iran kuna mvutano mkali kati wale wafuasi wa msimamo mkali wa kiislam na wale wanaopenda utawala wa kimokrasia usio na mlengo wa kidini , sasa ni swala la muda tu Iran anazid jiweka mbele kabisa ya macho ya watu kuwa yeye ndo mwamba
Ubabe wa Marekani huwa unajibiwa kisawasawa na Iran.
 
wazungu huanza kutengeneza mapicha kama haya hili muda unapofika mtu ale kisago cha usawa wake , hata Gadaf walimpamba hv hv na Sadam pia walimpamba hv hv ila baadae akaja tema bungo , ndan ya Iran kuna mvutano mkali kati wale wafuasi wa msimamo mkali wa kiislam na wale wanaopenda utawala wa kimokrasia usio na mlengo wa kidini , sasa ni swala la muda tu Iran anazid jiweka mbele kabisa ya macho ya watu kuwa yeye ndo mwamba
Tushawazoea
 
wazungu huanza kutengeneza mapicha kama haya hili muda unapofika mtu ale kisago cha usawa wake , hata Gadaf walimpamba hv hv na Sadam pia walimpamba hv hv ila baadae akaja tema bungo , ndan ya Iran kuna mvutano mkali kati wale wafuasi wa msimamo mkali wa kiislam na wale wanaopenda utawala wa kimokrasia usio na mlengo wa kidini , sasa ni swala la muda tu Iran anazid jiweka mbele kabisa ya macho ya watu kuwa yeye ndo mwamba
Tatizo Iran ni muhajemi sio muarabu.

Toka marekani iumbwe haijawahi kushinda dhidi ya muhajemi yeyote.

Toka 1979 USA inaitafuta Iran na haijaipata.

Kwani ni mara kwanza Iran kuteka meli ya USA?

Huyo sio muarabu kaka ni muhajemi.
 
wazungu huanza kutengeneza mapicha kama haya hili muda unapofika mtu ale kisago cha usawa wake , hata Gadaf walimpamba hv hv na Sadam pia walimpamba hv hv ila baadae akaja tema bungo , ndan ya Iran kuna mvutano mkali kati wale wafuasi wa msimamo mkali wa kiislam na wale wanaopenda utawala wa kimokrasia usio na mlengo wa kidini , sasa ni swala la muda tu Iran anazid jiweka mbele kabisa ya macho ya watu kuwa yeye ndo mwamba
Upo sahihi! Kuna kisago Cha Karne kinakuja!! Kobaz wajiandae kulia lia
 
Tatizo Iran ni muhajemi sio muarabu.
Toka marekani iumbwe haijawahi kushinda dhidi ya muhajemi yeyote.
Toka 1979 USA inaitafuta Iran na haijaipata.
Kwani ni mara kwanza Iran kuteka meli ya USA?
Huyo sio muarabu kaka ni muhajemi.
Muhajemi ni mtu gani mkuu,jitahidi kuepuka athari za lugha mama
 
wazungu huanza kutengeneza mapicha kama haya hili muda unapofika mtu ale kisago cha usawa wake , hata Gadaf walimpamba hv hv na Sadam pia walimpamba hv hv ila baadae akaja tema bungo , ndan ya Iran kuna mvutano mkali kati wale wafuasi wa msimamo mkali wa kiislam na wale wanaopenda utawala wa kimokrasia usio na mlengo wa kidini , sasa ni swala la muda tu Iran anazid jiweka mbele kabisa ya macho ya watu kuwa yeye ndo mwamba
Ilan kuna Democrasia ya kutosha, hakuna Ufarume
 
Back
Top Bottom