Pendekezo: Serikali iwe inawaongeza watumishi wake Tsh 100,000/ kila mwisho wa mwaka

Nsanzagee

JF-Expert Member
Jun 28, 2023
1,939
4,122
Wanajamvi na watanzania kwa ujumla, hasa wafanya kazi wa serikali!

Ninachokiañdika hapa, bila shaka ni hitaji la kila mfanyakazi,

Mimi nikiwa kama mkulima wa hapa nanjilinji, nimechoshwa na kukopwakopwa na wafanyakazi wa umma hasa mwishoni mwa mwaka

Mpaka naandika hivi, nimeanza kuwaonea huruma wafanya kazi wa serikali, maana kila inapofika mwisho wa mwaka, simu zinakuwa nyingi na kila mmoja akiomba mkopo kwa ajili ya kukimu mahitaji yake yanayokuwa yanalundikana kutokana na uhalisia wa mambo mwisho wa mwaka

Mshahara ni uleule, halafu unamlazimu kuugawa karibu mara nne kiasi ambacho haukidhi mahitaji hayo

Utakuta hapohapo kuna sikukuu mbili nazo ni mhimu kuzisherehekea kwa sababu ya umuhimu wake na maisha yetu yalivyo mafupi, haiwezekani kujinyima useme watoto wasile pilau!

Wakati huo huo, itabidi aweke salio lingine kwa ajili ya Ada za watoto na mahitaji yao ya lazima kuelekea shule kufunguliwa

Wakati huo huo tena, kuna kodi ya nyumba, na bila kisahau bajeti ya chakula cha mwezi huo!

Kwa sababu hiyo, ningependelea kuiomba serikali ione umhimu huo wa kila inapofika mwisho wa mwaka hasa mwezi wa December, serikali iwape wafanyakazi wake wote bonansi ya Tsh 100,000/ bila kujali vyeo na level ya elimu zao ili isaidie bajeti zinazotia ukichaa kwa mwezi huo! Hii itasaidia pia kwa wafanyakazi kuondokana na mikopo isiyo ya lazima


Tanzania ni ngombe wetu sote anayetupa maziwa, ni sisi kuamua maziwa hayo tuyanywe kwa namna gani
 
Wanajamvi na watanzania kwa ujumla, hasa wafanya kazi wa serikali!

Ninachokiañdika hapa, bila shaka ni hitaji la kila mfanyakazi,

Mimi nikiwa kama mkulima wa hapa nanjilinji, nimechoshwa na kukopwakopwa na wafanyakazi wa umma hasa mwishoni mwa mwaka

Mpaka naandika hivi, nimeanza kuwaonea huruma wafanya kazi wa serikali, maana kila inapofika mwisho wa mwaka, simu zinakuwa nyingi na kila mmoja akiomba mkopo kwa ajili ya kukimu mahitaji yake yanayokuwa yanalundikana kutokana na uhalisia wa mambo mwisho wa mwaka

Mshahara ni uleule, halafu unamlazimu kuugawa karibu mara nne kiasi ambacho haukidhi mahitaji hayo

Utakuta hapohapo kuna sikukuu mbili nazo ni mhimu kuzisherehekea kwa sababu ya umuhimu wake na maisha yetu yalivyo mafupi, haiwezekani kujinyima useme watoto wasile pilau!

Wakati huo huo, itabidi aweke salio lingine kwa ajili ya Ada za watoto na mahitaji yao ya lazima kuelekea shule kufunguliwa

Wakati huo huo tena, kuna kodi ya nyumba, na bila kisahau bajeti ya chakula cha mwezi huo!

Kwa sababu hiyo, ningependelea kuiomba serikali ione umhimu huo wa kila inapofika mwisho wa mwaka hasa mwezi wa December, serikali iwape wafanyakazi wake wote bonansi ya Tsh 100,000/ bila kujali vyeo na level ya elimu zao ili isaidie bajeti zinazotia ukichaa kwa mwezi huo! Hii itasaidia pia kwa wafanyakazi kuondokana na mikopo isiyo ya lazima


Tanzania ni ngombe wetu sote anayetupa maziwa, ni sisi kuamua maziwa hayo tuyanywe kwa namna gani
Itawezekana mi nikiwa Rais mkuu!!

Nchi Ina mahela mengi sana zinachezewa tu!
 
Mipango ndio matumizi, hata ukiongezewa vipi bado kama huna matumizi yasiyoeleweka bado utakuwa na mizinga na utachalala kama kawaida

Cha msingi ni kuzalisha zaidi ya matumizi yako, na kuwa na nidhamu ya kutunza, kuwekeza na kutumia vizuri kile unachopata

Kitu ambacho wengi tunafeli, unakuta chanzo hiko hiko kimoja kifanye yote na bado kuna
Wanajamvi na watanzania kwa ujumla, hasa wafanya kazi wa serikali!

Ninachokiañdika hapa, bila shaka ni hitaji la kila mfanyakazi,

Mimi nikiwa kama mkulima wa hapa nanjilinji, nimechoshwa na kukopwakopwa na wafanyakazi wa umma hasa mwishoni mwa mwaka

Mpaka naandika hivi, nimeanza kuwaonea huruma wafanya kazi wa serikali, maana kila inapofika mwisho wa mwaka, simu zinakuwa nyingi na kila mmoja akiomba mkopo kwa ajili ya kukimu mahitaji yake yanayokuwa yanalundikana kutokana na uhalisia wa mambo mwisho wa mwaka

Mshahara ni uleule, halafu unamlazimu kuugawa karibu mara nne kiasi ambacho haukidhi mahitaji hayo

Utakuta hapohapo kuna sikukuu mbili nazo ni mhimu kuzisherehekea kwa sababu ya umuhimu wake na maisha yetu yalivyo mafupi, haiwezekani kujinyima useme watoto wasile pilau!

Wakati huo huo, itabidi aweke salio lingine kwa ajili ya Ada za watoto na mahitaji yao ya lazima kuelekea shule kufunguliwa

Wakati huo huo tena, kuna kodi ya nyumba, na bila kisahau bajeti ya chakula cha mwezi huo!

Kwa sababu hiyo, ningependelea kuiomba serikali ione umhimu huo wa kila inapofika mwisho wa mwaka hasa mwezi wa December, serikali iwape wafanyakazi wake wote bonansi ya Tsh 100,000/ bila kujali vyeo na level ya elimu zao ili isaidie bajeti zinazotia ukichaa kwa mwezi huo! Hii itasaidia pia kwa wafanyakazi kuondokana na mikopo isiyo ya lazima


Tanzania ni ngombe wetu sote anayetupa maziwa, ni sisi kuamua maziwa hayo tuyanywe kwa namna gani

msururu wa michango na vizinga vya kutosha kutoka kwa ndugu, jamaa na marafiki
 
Wanajamvi na watanzania kwa ujumla, hasa wafanya kazi wa serikali!

Ninachokiañdika hapa, bila shaka ni hitaji la kila mfanyakazi,

Mimi nikiwa kama mkulima wa hapa nanjilinji, nimechoshwa na kukopwakopwa na wafanyakazi wa umma hasa mwishoni mwa mwaka

Mpaka naandika hivi, nimeanza kuwaonea huruma wafanya kazi wa serikali, maana kila inapofika mwisho wa mwaka, simu zinakuwa nyingi na kila mmoja akiomba mkopo kwa ajili ya kukimu mahitaji yake yanayokuwa yanalundikana kutokana na uhalisia wa mambo mwisho wa mwaka

Mshahara ni uleule, halafu unamlazimu kuugawa karibu mara nne kiasi ambacho haukidhi mahitaji hayo

Utakuta hapohapo kuna sikukuu mbili nazo ni mhimu kuzisherehekea kwa sababu ya umuhimu wake na maisha yetu yalivyo mafupi, haiwezekani kujinyima useme watoto wasile pilau!

Wakati huo huo, itabidi aweke salio lingine kwa ajili ya Ada za watoto na mahitaji yao ya lazima kuelekea shule kufunguliwa

Wakati huo huo tena, kuna kodi ya nyumba, na bila kisahau bajeti ya chakula cha mwezi huo!

Kwa sababu hiyo, ningependelea kuiomba serikali ione umhimu huo wa kila inapofika mwisho wa mwaka hasa mwezi wa December, serikali iwape wafanyakazi wake wote bonansi ya Tsh 100,000/ bila kujali vyeo na level ya elimu zao ili isaidie bajeti zinazotia ukichaa kwa mwezi huo! Hii itasaidia pia kwa wafanyakazi kuondokana na mikopo isiyo ya lazima


Tanzania ni ngombe wetu sote anayetupa maziwa, ni sisi kuamua maziwa hayo tuyanywe kwa namna gani
ccm ni sikio la kufa wamekula mpaka wamevimbiwa hakuna wanachojali
 
Wanajamvi na watanzania kwa ujumla, hasa wafanya kazi wa serikali!

Ninachokiañdika hapa, bila shaka ni hitaji la kila mfanyakazi,

Mimi nikiwa kama mkulima wa hapa nanjilinji, nimechoshwa na kukopwakopwa na wafanyakazi wa umma hasa mwishoni mwa mwaka

Mpaka naandika hivi, nimeanza kuwaonea huruma wafanya kazi wa serikali, maana kila inapofika mwisho wa mwaka, simu zinakuwa nyingi na kila mmoja akiomba mkopo kwa ajili ya kukimu mahitaji yake yanayokuwa yanalundikana kutokana na uhalisia wa mambo mwisho wa mwaka

Mshahara ni uleule, halafu unamlazimu kuugawa karibu mara nne kiasi ambacho haukidhi mahitaji hayo

Utakuta hapohapo kuna sikukuu mbili nazo ni mhimu kuzisherehekea kwa sababu ya umuhimu wake na maisha yetu yalivyo mafupi, haiwezekani kujinyima useme watoto wasile pilau!

Wakati huo huo, itabidi aweke salio lingine kwa ajili ya Ada za watoto na mahitaji yao ya lazima kuelekea shule kufunguliwa

Wakati huo huo tena, kuna kodi ya nyumba, na bila kisahau bajeti ya chakula cha mwezi huo!

Kwa sababu hiyo, ningependelea kuiomba serikali ione umhimu huo wa kila inapofika mwisho wa mwaka hasa mwezi wa December, serikali iwape wafanyakazi wake wote bonansi ya Tsh 100,000/ bila kujali vyeo na level ya elimu zao ili isaidie bajeti zinazotia ukichaa kwa mwezi huo! Hii itasaidia pia kwa wafanyakazi kuondokana na mikopo isiyo ya lazima


Tanzania ni ngombe wetu sote anayetupa maziwa, ni sisi kuamua maziwa hayo tuyanywe kwa namna gani
We una stress unatafuta namna ya kui-release
 
Wanajamvi na watanzania kwa ujumla, hasa wafanya kazi wa serikali!

Ninachokiañdika hapa, bila shaka ni hitaji la kila mfanyakazi,

Mimi nikiwa kama mkulima wa hapa nanjilinji, nimechoshwa na kukopwakopwa na wafanyakazi wa umma hasa mwishoni mwa mwaka

Mpaka naandika hivi, nimeanza kuwaonea huruma wafanya kazi wa serikali, maana kila inapofika mwisho wa mwaka, simu zinakuwa nyingi na kila mmoja akiomba mkopo kwa ajili ya kukimu mahitaji yake yanayokuwa yanalundikana kutokana na uhalisia wa mambo mwisho wa mwaka

Mshahara ni uleule, halafu unamlazimu kuugawa karibu mara nne kiasi ambacho haukidhi mahitaji hayo

Utakuta hapohapo kuna sikukuu mbili nazo ni mhimu kuzisherehekea kwa sababu ya umuhimu wake na maisha yetu yalivyo mafupi, haiwezekani kujinyima useme watoto wasile pilau!

Wakati huo huo, itabidi aweke salio lingine kwa ajili ya Ada za watoto na mahitaji yao ya lazima kuelekea shule kufunguliwa

Wakati huo huo tena, kuna kodi ya nyumba, na bila kisahau bajeti ya chakula cha mwezi huo!

Kwa sababu hiyo, ningependelea kuiomba serikali ione umhimu huo wa kila inapofika mwisho wa mwaka hasa mwezi wa December, serikali iwape wafanyakazi wake wote bonansi ya Tsh 100,000/ bila kujali vyeo na level ya elimu zao ili isaidie bajeti zinazotia ukichaa kwa mwezi huo! Hii itasaidia pia kwa wafanyakazi kuondokana na mikopo isiyo ya lazima


Tanzania ni ngombe wetu sote anayetupa maziwa, ni sisi kuamua maziwa hayo tuyanywe kwa namna gani
Watalewa ZAIDI mkuu.
Nidhamu ya matumizi ibaki hivyohivyo.
Hizo pesa ni heri wagawiwe kaya masikini zilizoorodheshwa TASAF.

KAMA MTU HAWEZI KUDHIBITI MSHAHARA WAKE, SHAURI YAKE
 
Waulize waliopo kweny taasisi za umma kuna kitu kinaitwa Festival allowance watu wanaramba mpaka 400k na hawal hawaringi...zile Top paying huku chini ni mateso tu..
 
Back
Top Bottom