Pendekezo la hii kodi linawafaa TRA?

Pendekezo la hii kodi linawafaa TRA?

Punguza jaziba. Yaani wewe kutokulipa kodi unaona ndio ushujaa au ujanja?

Kulipa kodi kila mtu analipa kutokana na huduma anayonufaika nayo kwa mazingira yake. Mfano asilia; Wewe huna Hotel au Hospital na hulipi kodi. Kaa kwa kutulia. Wenye Gari au chombo chochote cha moto atakayependa kwenye Mkoa mwingine atalipa sababu ni kupata hii huduma.

Asante.
Naona bado unaaendelea kutetea upumbavu.
 
Sasa nani kwambia hizo maintenance and service in general shoulde be served from tax revenues?!
Nimekupa kona moja tu ya namna Vyombo vya moto ni mnufaikaji wa huduma, nikataja habari za Barabara. Ujenzi wa Barabara gharama zake ni aghali sana na rejesho lake huchukua miaka isiyopungua 10 kwa 1 KM kurejesha faida halisia. Sasa ukiwa wewe unania ya kuzidi kuboresha huduma za barabara nchi nzima nje na njia ya kukusanya mapato kwa vyanzo vingine unahisi hii hoja yangu ni mbaya kiasi upate hamu ya kuona haifai?

Road Contruction Investment sio jambo la mchezo na kitoto hata kidogo. Leo hii watu wanalalamika tu huko oooh Deni la taifa lime panda wanahisi nchi inaendeshwa kitoto toto eti.
 
Wewe umeshawahi lini kusoma Bajeti ya Serikali yako?; nje na kupata habari kwa ufupi sana kuhusu Bajeti kupitia Vyombo vya habari na kidogo sana kwenye mitandao ya kijamii.

Hizo hoja za CAG unajua namna zinavyoundwa na kuandikwa. Hapa utagundua unahitaji elimu bora na nzuri. Sasa unahisi itapatikana vipi kama sio kwenye kodi rafiki.
Soma tena ulichoandika.
Kwahiyo kupata habari kwa ufupi inaondoa maana ama ukwel.
CAG ameleta ripoti BILIONI 200 zimepotea, ama zilitumika nje ya utaratibu, ama watu wamejilipa posho zaidi ya posho elekezi, hapo nahitaji maelezo gani mkuu?
 
Nahisi huyu ni madelu amekuja kwa id nyingine kutupima. Huwa wanaanza

Soma tena ulichoandika.
Kwahiyo kupata habari kwa ufupi inaondoa maana ama ukwel.
CAG ameleta ripoti BILIONI 200 zimepotea, ama zilitumika nje ya utaratibu, ama watu wamejilipa posho zaidi ya posho elekezi, hapo nahitaji maelezo gani mkuu?
Watanzania wenzangu nawajua sana. Wengi ni wasomi wa ufupisho tu. Uzuri mawazo yao sio mabaya.
 
Mimi nimekupa uhalisia wa kodi jinsi ulivyo. Ukiona unatozwa kodi jua ni aidha ni kipimo cha uaminifu wako (Faida/ Manufaa) au kuzuiliwa/ kikwazo/ katazo kwenye hiyo aidha huduma au bidhaa.

Wewe ni msomi rafiki. Mimi sijakupinga hata kidogo.
Hili hoja yako ieleweke vizuri ungesema tu serikali itafute vyanzo vingine vya mapato ili ku service huduma flani. Kutafuta mapato ya serikali kwenye kodi asa kodi itakayohusisha magari ni kufanya watu washindwe kuyanunua hayo magari coz gari zimekuwa imposed na kodi nyingi sana kama nilivyo zianisha alaf bado urudi ku introduce kodi mpya kwenye magari hayo hayo camoon watu watayakimbia hayo magari alaf serikali itakosa kabisa
 
Soma tena ulichoandika.
Kwahiyo kupata habari kwa ufupi inaondoa maana ama ukwel.
CAG ameleta ripoti BILIONI 200 zimepotea, ama zilitumika nje ya utaratibu, ama watu wamejilipa posho zaidi ya posho elekezi, hapo nahitaji maelezo gani mkuu?
Uliza wataalamu wa Auditing wakuambie uhalisia na namna ukaguzi unavyofanywa kutokana na hoja yako.
 
Hili hoja yako ieleweke vizuri ungesema tu serikali itafute vyanzo vingine vya mapato ili ku service huduma flani. Kutafuta mapato ya serikali kwenye kodi asa kodi itakayohusisha magari ni kufanya watu washindwe kuyanunua hayo magari coz gari zimekuwa imposed na kodi nyingi sana kama nilivyo zianisha alaf bado urudi ku introduce kodi mpya kwenye magari hayo hayo camoon watu watayakimbia hayo magari alaf serikali itakosa kabisa
Jiulize kwanini kodi inaelekezwa huko sana?

Unahisi kodi kwa vileo na vinywaji vya nishati kila mwaka vinatozwa unahisi hawapendi watanzania wapate raha? Kila jambo lina maana yake.

Leo hii vijana wengi chini ya miaka 35 wanasumbuliwa na ulevi uliopindukia, magonjwa ya moyo na ini yanaongezeka unahisi Serikali itafanya nini kwenye hilo?

Ulishawahi jiuliza ajari za barabarani zinasababishwa na nini ukiondoa ulevi kwa madereva, ubovu wa vyombo vya usafiri, na ubovu wa miundombinu?
 
Shida madesa ya darasani unakuja kuapply mtaani na huku unaishi kwa shemeji yako wakati huo huo wewe ni kula kulala. Out there things are hard bro 😔. Msururu wa kodi ndio maana wawekezaje potential wanaenda Nairobi na South Africa and other countries.
 
Watanzania wengi mkilipa sana kodi za magari haizidi 20m ukikaa ni kuwaza serikali iongeze kodi ila ungekua unaona wengine wanavyolipia kodi gari moja zaidi ya Tsh 40m usingekuja na mawazo ya namna hii ni vile wengi wenu sio walipa kodi ni wakwepa kodi watu tunatamani kodi ilipwe kwa GVM Nchi zingine ili tuweze kuweza kulipa kodi wewe mzala unakuja na mawazo ya kuongeza kodi kwenye kodi kubwa..
 
Yaani ni aina ya kodi ambayo kila Chombo chochote cha Moto kinapotaka kuingia Mkoa mwingine usio wa asilia kitozwe tozo. Lengo hapa ni kuchochea tu maboresho ya huduma hasa hasa kwenye Vyombo vyenyewe.
Acheni mawazo ya kiwaki namna hii, waambie hao viongozi wako walipe kodi mara tatu kila wanapoagiza hayo mashangingi yap uone watakavyokujibu.


Kila kitu mnawaza kutoza kwenye magari tuu, hivi kumiliki gari Tanzania imekuwa nongwa eeh?

Ushuru pekee wa kuingiza gari unazidi bei ya kununulia gari na bado unaona ni sawa hiyo?

Haitoshi na unataka kumshawishi madelu afanye mkakati wa kodi ya kimkoa kila gari inapokatiza?


Haujui kuwa kila halmashauri kwa sasa kuna ushuru unalipiwa kila gari (basi) linapopita stand au ikipaki tuu kwa malori?
 
Yaani ni aina ya kodi ambayo kila Chombo chochote cha Moto kinapotaka kuingia Mkoa mwingine usio wa asilia kitozwe tozo. Lengo hapa ni kuchochea tu maboresho ya huduma hasa hasa kwenye Vyombo vyenyewe.
Utajuaje asilia ya chombo, ( chombo kama chombo) manake sikuhizi usajili upo kitaifa.
Labda zamani ambapo magari yalikuwa yanasajiliwa kimkoa ingeleta mantiki.
Any way kwa Tanzania Mr Tozo ambaye kila akikaa akiamka anaweza kujitungia kodi yake kadri anavyojisikia anaweza kufanyia kazi ushauri wako
 
Back
Top Bottom