Pendekezo la hii kodi linawafaa TRA?

Pendekezo la hii kodi linawafaa TRA?

Kuna magari mabovu barabarani yasiyostahili kupewa leseni hata ya kupita barabarani kuelekea sehemu ya vyuma chakavu.

Magari kama yake yanayobeba wanafunzi, magari ya mkaa na majitaka mabasi madogo yanayotoa huduma pembezoni mwa miji na vijijini, haya yote kwa wingi wake na madhara yanayotokana nayo, yanapaswa kutozwa kodi zaidi ya asilimia 50.

Hiki ni chanzo kizuri cha mapato ya Serikali hasa kule kwenye halmashauri za wilaya na miji midogo.
Eeeewa. Asante sana.
 
Easy brother; mbona wanaupdate to taarifa za mfumo na makazi ya mkoa wako ulipo/ asilia unakoishi. Huhitaji mambo mengi. Kuhusu kukujua tutaweka Barrier Check Point kila Mkoa wanascan Plate Number inasoma Full Details kukuhusu. Maisha yanaendelea
Huoni kwamba utaongeza urasimu na kucheleweshw kwa safari
 
Yaani ni aina ya kodi ambayo kila Chombo chochote cha Moto kinapotaka kuingia Mkoa mwingine usio wa asilia kitozwe tozo. Lengo hapa ni kuchochea tu maboresho ya huduma hasa hasa kwenye Vyombo vyenyewe.
mwanza dar utalipa kodi ngapi?
 
Yaani ni aina ya kodi ambayo kila Chombo chochote cha Moto kinapotaka kuingia Mkoa mwingine usio wa asilia kitozwe tozo. Lengo hapa ni kuchochea tu maboresho ya huduma hasa hasa kwenye Vyombo vyenyewe.
Vipi kuhusu mabasi .?
 
Yaani ni aina ya kodi ambayo kila Chombo chochote cha Moto kinapotaka kuingia Mkoa mwingine usio wa asilia kitozwe tozo. Lengo hapa ni kuchochea tu maboresho ya huduma hasa hasa kwenye Vyombo vyenyewe.
We ndugu una ufala sana🚮😁
 
Habari TRA !

Naomba kuuliza hii kodi eti inafaa hapa nchini?

"MOTOR VEHICLE CROSS REGION TAX"

Karibu.
Una habari kuwa kuna kodi mpya imependekezwa na huu mswada mpya wa fedha kwenye vyombo vya moto tayari kulingana na ukubwa wa engine!

Hata haijaanza rasmi na unapendekeza Kodi nyingine kwa mmiliki wa hicho chombo Cha moto Tena!
 
Najua. Huo ushuru wa 200 mpaka 500 najua kwa stand.

Mimi nilichoshauri hapa watozwe ndio kwa kuvuka Mkoa asilia. Ipo maana ndani yake. Mfano; Usalama, Afya, kudumu kwa miundombinu, kuboresha huduma za maendeleo nk
kodi inatozwa kwenye faida
 
Back
Top Bottom