Masalu Jacob
JF-Expert Member
- Jul 26, 2017
- 1,340
- 1,493
- Thread starter
- #41
HaaaaahaaaaaHuyo ndio mwigulu kwenyewe
HaaaaahaaaaaHuyo ndio mwigulu kwenyewe
Yaani kukatiza toks mkoa mmoja kwenda mwingine ni huduma pia wakati kuna utitiri wa makodi zinahusika kwa ajili ya hilo? Kimsingi serikali inataka kuvuna isichopanda boss.Ndio huduma zinavyoboreshwa sasa. Lazima ujenge nchi yako.
Wasiwasi wako uko wapi? Tulipie tu si tunajenga taifa letu pamoja.Yaani kukatiza toks mkoa mmoja kwenda mwingine ni huduma pia wakati kuna utitiri wa makodi zinahusika kwa ajili ya hilo? Kimsingi serikali inataka kuvuna isichopanda boss.
Waliiiifutaaaa. Ilikuwepo. Siyo wazo jipya sema wewe mtoto hujui.Kwako ni wazo la kijinga ila kwao sijawasikia bado. Hili bado ni wazo.
Haaaaahaaaaa Rasilimali moja wapo ndani ya Taifa letu ni uwepo pia wa Vyombo vya moto rafiki.Kama taifa tuna rasilimali lukuki,,hakuna haja ya kuwa na Kodi zisizo na mantiki.sisimamiwe ipasavo.
Sawa mzee wangu. Ila hoja yangu hapa ni "Charges per Cross Region" sio hayo mausajiri yenu ya Plate No. toka Enzi ya Mkapa kurudi nyuma huko.Waliiiifutaaaa. Ilikuwepo. Siyo wazo jipya sema wewe mtoto hujui.
Acha kukurupuka tafiti zinaonesha TRA wanakusanya only 30% capacity yao bado ipo chini sana kuna factors nyingi sana zinazopelekea hilo ikiwemo man power na bado kuna sectors nyingi bado hazijarasimishwa. Tukija kwenye kodi za magari..kumiliki tu gari lazima utalipa kodi either direct on indirect, gari inapoingia tu nchini lazima italipishwa import duty, vat, road license, excise duty, registration fee, railway dev levy na kama ikisajiliwa kama commercial italipia income tax. Ukinunua vipuri utakunata na 25% ya excise duty. Sasa uje uongeze na kodi nyingine?!!! Jitahidi kuacha kukurupuka itakusaidia kodi ni siyansiWapo TRA wenye mamlaka ya usimamizi wa kodi na hawajawahi kushindwa kusimamia mapato ya Taifa hili.
Pia hakuna hata cha mrundikano wa kodi zaidi kuna faida kubwa tofauti na hofu au wasiwasi unaoupata.
Wewe umeshawahi lini kusoma Bajeti ya Serikali yako?; nje na kupata habari kwa ufupi sana kuhusu Bajeti kupitia Vyombo vya habari na kidogo sana kwenye mitandao ya kijamii.Mleta mada acha UNGESE.
marundo ya kodi, mnamkamua mDANGANYIKA na pesa zenyewe zinaishia mifukoni mwa watu na kuitia hasara serikali
Rejea kusitishwa mradi wa DEGE ECO VILLAGE.
Sisi hatuna shida kulipa kodi, hata kuchangia bajeti ya taifa letu tunaweza, ila kikubwa uwazi, CAG analeta ripoti za ubadhirifu wa pesa mijitu inachekeana tu mamaaee...
Rasilimali mnagawa bure kwa mabeberu halafu pesa ya matumizi tutoe wavuja jasho!Wasiwasi wako uko wapi? Tulipie tu si tunajenga taifa letu pamoja.
Pole kwa hasira. Mimi ni raia kama wewe na hoja niliyoileta hapa jukwaani sio kwa faida yangu binafsi bali Taifa kwa ujumla.Acha kukurupuka tafiti zinaonesha TRA wanakusanya only 30% capacity yao bado ipo chini sana kuna factors nyingi sana zinazopelekea hilo ikiwemo man power na bado kuna sectors nyingi bado hazijarasimishwa. Tukija kwenye kodi za magari..kumiliki tu gari lazima utalipa kodi either direct on indirect, gari inapoingia tu nchini lazima italipishwa import duty, vat, road license, excise duty, registration fee, railway dev levy na kama ikisajiliwa kama commercial italipia income tax. Ukinunua vipuri utakunata na 25% ya excise duty. Sasa uje uongeze na kodi nyingine?!!! Jitahidi kuacha kukurupuka itakusaidia kodi ni siyansi
Hakuna nchi wanaishi bure.Rasilimali mnagawa bure kwa mabeberu halafu pesa ya matumizi tutoe wavuja jasho!
Hutaki kulipia hii kodi si unaliacha Gari au Chombo chako nyumbani unakwenda kupanda kwa wale wenye utayari wa kulipia hiyo Kodi. Sasa hapa shida iko wapi rafiki?Nchi ni moja kwnn aina hiyo ya kodi iwepo? Fain na pesa wanazo limwa road inatosha
uzeni bidhaa/huduma na nyie msipende vya bureHakuna nchi wanaishi bure.
TanzaniaKatumwa
Sawa sawa. Watafanya hivyo kama wazo lako lilivyo rafiki.uzeni bidhaa/huduma na nyie msipende vya bure