Buti la mkoloni
JF-Expert Member
- Oct 20, 2019
- 328
- 887
Hahahah!!!! kwani hoja za CAG zinaundwaje?.... Anyway kwani mapato ya serikali lazima yote yatokane na kodi...ndio mana kuna tax revenue and non tax revenue. Serikali bado inauwezo wa kutafuta vyanzo vingine vya mapato visivyotokana na kodi. Sifa mojawapo ya kodi yani tax trait kodi haipaswi kuwa mzigoWewe umeshawahi lini kusoma Bajeti ya Serikali yako?; nje na kupata habari kwa ufupi sana kuhusu Bajeti kupitia Vyombo vya habari na kidogo sana kwenye mitandao ya kijamii.
Hizo hoja za CAG unajua namna zinavyoundwa na kuandikwa. Hapa utagundua unahitaji elimu bora na nzuri. Sasa unahisi itapatikana vipi kama sio kwenye kodi rafiki.