Pendekezo: Dkt Kitila Mkumbo awe mrithi wa Dkt Slaa

Pendekezo: Dkt Kitila Mkumbo awe mrithi wa Dkt Slaa

Status
Not open for further replies.
Hivi Dr W Kaburu alikuwa mchagga,vipi Marehemu Bob Makani alikuwa mchagga pengine Dr Slaa naye kabadili kabila siku hizi kawa mchagga ha ha ha ha ha ha ha ha ukabila hautupeleki popote.

Chadema wanasema katibu ajae lazima awe mchaga la sivyo kutachimbika aisee mangiii.
 
Mkuu kwa jinsi wale jamaa walivyo,mpaka kufika jioni watakuwa wamekupa likes za kumwaga wakidhani zumbemkuu kesha ingia king. Yaani JK kesha wastua kuhusu rushwa na 2015 lakini wao badala ya kujipanga wao wakilala wakiamka na mapendekezo ya uongozi Chadema.
kuna memba mmoja wa buku7FC kanisifia kwenye uzi wa mzee tupatupa wa Lumumba, dh, nilijiskia vibaya balaa, yaani ukiona buku 7FC wanakusifia jichunguze mara mbili mbili, hhahahah.
 
napitia thread hapa, nyingi zinatoka kwa magamba zikielekeza watu wa kuchaguliwa waingie ndani ya uongozi wa juu wa CDM, sidhani kama michango yao imelenga kuleta tija kwa Chadema na wakati CCM imeshawashinda!!
 
Mkuu huyo kijana aliyeanzisha thread kazi yake ni kutukana watu hasa baadhi ya viongozi huko Singida.Ana kazi maalumu.Anafahamika jina lake kamili.Ila pia ni mhanga wa matokeo ya kidato cha 4 mwaka jana ila badala ya kusaidiwa kitaaluma wanamtumia kwa kazi hii.Hayuko vizuri kisaikolojia ndiyo maana post na thread zake huwa sipendi kuziendekeza ila nilitaka kukutahadharisha tu usitumie muda wako vibaya kumjibu

Mabadiliko ni lazima kila siku mnahimiza ni muda wa ccm kukaa pembeni imechokwa ok hayo mabadiliko yaanzie kwenye chama wanachama wenu wanataka mabadiliko kwenye ngazi ya chama kwanza ili wawaamini na msipowasikiliza msiwalaumu 2015
 
Aisee mnenigusa vizuri, kichwa kimekuwa kinauma namna ya kupata makamanda wazuri, kumbe tunao. Dr. Kitila Mkumbo is perfect!
 
kwani hicho sio kikosi kazi? kwanza tangu lini mi'CCM ikapanga kikosi kazi chama cha CHADEMA?

Achana nao mkuu ukiona hivyo yameshakula buku 7 ndiyo maana yanajamba ovyo. Viongozi wa Chadema hawapendekezwi na JF ila vikao halali vya Chama. Mleta mada sijui amekaa kikao na nani na wapi? May be Lumumba ndiyo wamempendekezea kuiangamiza Chadema.
 
Thread ya Lumumba hii, haina maslahi kwa Taifa wala si chanzo cha kero za Watanzania. That is one of the devil's strategies to affect Chadema's effort in changing Tanzanian's mind.
 
Katika pitapita zangu mikoani na kuzungumza na makamanda wanaonesha wazi kuwa ni muda mwafaka kwa Dr Kitila kushika nafasi ya Dkt Slaa ktk nafasi ya Katibu Mkuu,

Sifa za Kitila Mkumbo hazina pingamizi kwa yeyote anaetaka mabadiliko;Kitila ni msomi anaetambua umuhimu wa mabadiliko,Hana makundi ndani ya chama,Kasaidia kutatua mizozo mingi ndani ya chama,Ni msema kweli daima,

Tukumbuke kuwa kitila amelimaliza kisiasa li Gaidi Mwigulu Nchemba uko iramba mpaka sasa halijafika iramba kwa hofu ya kuzomewa baada ya ziara nzito ya kitila mkumbo,Jesca kishoa na David Djumbe.

Tunatambua mchango mkubwa wa Dr Slaa ila kwa sasa tunahitaji mtu atakaepanga mipingo mikakati itakayotekelezeka bila kukigawa chama ktk makundi ili tuweze kuifikia salama nchi ya maziwa na asali.
VIVA MAKAMANDA,VIVA MABADILIKO.

- And then Mwanakijiji amrithi Mwenyekiti wa Chadema Taifa, he has done a great job ya kuipa meno Chadema lakini for the last one year toka kushindwa kuishikilia hoja ya ufisadi, Chadema imekuwa ikipigana yenyewe kwa yenyewe kwa kukosa hoja progressive kwa Taifa. Recently, amejizatiti sana kwenye violence ambayo it is even worse kwa sababu inaua public image ya Chadema kila siku ya Mungu,

- Kwanza walipomtukana Spika wa kwanza Mwanamke nchini, Walipompiga masikini wa Mungu Mkuu wa Wilaya ya Igunga, walipokosa ukweli wa bomu lililolipuliwa Arusha, walipowaita CUF ni mashoga na kujiunga nao tena, walipogoma bungeni kwa ajili ya muswaada ambao ulisainiwa na Rais anyways as opposed na walivyogomea huku wakienda Ikulu kukutana na Rais, walipopigana bungeni na kutolewa na polisi, sasa ya kupigana wenyewe kwa wenyewe tena mbele ya viongozi wao wakuu wa Taifa,

- I mean haya yote wanangojea nini kujiuzulu na kuwaachia wengine? Maana sasa kinachoendelea ni Self Destruction kunusuruni chama chenu waondoeni viongozi wote wa juu wekeni wapya wenye uwezo mkubwa wa kufikiri na kutengeneza mikakati, mlionao sasa wamechoka wapo wkenye political stress za kutisha,

Le Mutuz
 
Chadema tuna safari ndefu sana kama Chama endapo watu wenyewe tuna upeo wa kufikiri na kuchanganua mambo wa kiwango hiki!Sasa sijui katika Chama mnamuamini nani zaidi ya Mbowe na Slaa,Usikute hata nyinyi wenyewe humu JF hamuaminiani,Wakati wowote mnaweza kutuhumiana kuwa mmenunuliwa na CCM.Hizi fikra zenu ni hatari,Duuuuuuh!

nyie mapandikizi na wanafiki wakubwa
 
Namkubali Kitila sana .Ila nataka haya yote yafanyike baada ya Uchaguzi mkuu 2015 kwa sasa ni kujipanga na hakuna Uchaguzi ndani ya Chadema .Kwa sasa tuko bize na mambo ya Chama zaidi ya Uchaguzi na anaye ona Katiba imevunjwa aondoke aache wengine waendelee .
 
Katika pitapita zangu mikoani na kuzungumza na makamanda wanaonesha wazi kuwa ni muda mwafaka kwa Dr Kitila kushika nafasi ya Dkt Slaa ktk nafasi ya Katibu Mkuu,

Sifa za Kitila Mkumbo hazina pingamizi kwa yeyote anaetaka mabadiliko;Kitila ni msomi anaetambua umuhimu wa mabadiliko,Hana makundi ndani ya chama,Kasaidia kutatua mizozo mingi ndani ya chama,Ni msema kweli daima,

Tukumbuke kuwa kitila amelimaliza kisiasa li Gaidi Mwigulu Nchemba uko iramba mpaka sasa halijafika iramba kwa hofu ya kuzomewa baada ya ziara nzito ya kitila mkumbo,Jesca kishoa na David Djumbe.

Tunatambua mchango mkubwa wa Dr Slaa ila kwa sasa tunahitaji mtu atakaepanga mipingo mikakati itakayotekelezeka bila kukigawa chama ktk makundi ili tuweze kuifikia salama nchi ya maziwa na asali.
VIVA MAKAMANDA,VIVA MABADILIKO.

Nakuunga mkono Dr Mkumbo anastahili kucheza ligi kuu sasa; lakini bora akavaa viatu vya huyu Muhutu asiyeeleweka kama ni Embe au tikiti maji, wa baridi au wa moto Zitto Kabwe!! Dr achukue unaibu katibu mkuu walau kwa muda.
 
And then mzee John Malecela amrithi Jakaya Kikwete CCM Taifa

- Mtajibeba CCM tuna Viongozi wengi sana hatuna uhaba kama kwenu ndio maana kila baada ya miaka 10 tunabadilishana na ni chama cha wote huku,

- nyie huko ni mtu na aliyeoa dada yake na aliyeoa mtoto wake, kwanza Mwenyekiti alikuwa Mtei, and then akawa Bob Makani aliyeoa dada wa Mtei na sasa Mbowe aliyeoa mtoto wa Mtei, chama cha wenyewe hicho nyie mtaedelea kujidanganya tu!!

Le Mutuz
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom