Augustine Moshi
JF-Expert Member
- Apr 22, 2006
- 2,556
- 1,393
Sio sasa. Utakapofika wakati muafaka kama akipenda atasimama agombee. Kwanini unampigia kampeni sasa? Sio wakati muafaka wa kubadilisha Katibu Mkuu.
Nakuunga mkono 100% ila tusiishie hapo tuende hadi kwenye nafasi ya Uenyekiti,Kitengo cha Habari na Kitengo cha Fedha pia.
Wale wale masalia na hoja zao...Hamna jipya..Chadema haichaguliwi kiongozi mitandaoni..
kwani hicho sio kikosi kazi? kwanza tangu lini mi'CCM ikapanga kikosi kazi chama cha CHADEMA?
Katika pitapita zangu mikoani na kuzungumza na makamanda wanaonesha wazi kuwa ni muda mwafaka kwa Dr Kitila kushika nafasi ya Dkt Slaa ktk nafasi ya Katibu Mkuu,
Sifa za Kitila Mkumbo hazina pingamizi kwa yeyote anaetaka mabadiliko;Kitila ni msomi anaetambua umuhimu wa mabadiliko,Hana makundi ndani ya chama,Kasaidia kutatua mizozo mingi ndani ya chama,Ni msema kweli daima,
Tukumbuke kuwa kitila amelimaliza kisiasa li Gaidi Mwigulu Nchemba uko iramba mpaka sasa halijafika iramba kwa hofu ya kuzomewa baada ya ziara nzito ya kitila mkumbo,Jesca kishoa na David Djumbe.
Tunatambua mchango mkubwa wa Dr Slaa ila kwa sasa tunahitaji mtu atakaepanga mipingo mikakati itakayotekelezeka bila kukigawa chama ktk makundi ili tuweze kuifikia salama nchi ya maziwa na asali.
VIVA MAKAMANDA,VIVA MABADILIKO.
ni maajabu sana, mijitu ipo CCM inapanga majukumu CHADEMA,
ki ukweli wewe nahisi umevurugwa misingi ya kilaghai mpaka tumechoka huna hoja ya maana cku zote ni ulaghai,, na dr salaa kila ckuu, una inproper disorder in your body.Kwanza andikeni katiba inayotokana na wanachama, sio katiba ya kukidhi mahitaji ya Mtei.
Mtei alimuandaa binti yake Lilian kuwa Mwenyekiti wa Chadema baada ya Mbowe. Binti huyo alipokataa ikabidi Mtei aagize kipengele cha kuweka ukomo wa mihula ya uongozi kiondolewe ili Mbowe aendelee kuwa Mwenyekiti.
Chadema ni chama kinachoendeshwa katika misingi ya kilaghai.
Sio Rahisi CHADEMA wampe wadhifa mkubwa hivyo Kitila Mkumbo , kuna mambo kadhaa inabidi yarekebishwe kwanza! likiwemo hili la ukabila!
Mtoa mada katoa mawazo yake,hapa hatufanyi uchaguzi,ila ni mjadala wa kupanua fikra.Acha kuwaita watu masalia kwa kuwa na mawazo mbadala,mwehu wewe.
Katika pitapita zangu mikoani na kuzungumza na makamanda wanaonesha wazi kuwa ni muda mwafaka kwa Dr Kitila kushika nafasi ya Dkt Slaa ktk nafasi ya Katibu Mkuu,
Sifa za Kitila Mkumbo hazina pingamizi kwa yeyote anaetaka mabadiliko;Kitila ni msomi anaetambua umuhimu wa mabadiliko,Hana makundi ndani ya chama,Kasaidia kutatua mizozo mingi ndani ya chama,Ni msema kweli daima,
Tukumbuke kuwa kitila amelimaliza kisiasa li Gaidi Mwigulu Nchemba uko iramba mpaka sasa halijafika iramba kwa hofu ya kuzomewa baada ya ziara nzito ya kitila mkumbo,Jesca kishoa na David Djumbe.
Tunatambua mchango mkubwa wa Dr Slaa ila kwa sasa tunahitaji mtu atakaepanga mipingo mikakati itakayotekelezeka bila kukigawa chama ktk makundi ili tuweze kuifikia salama nchi ya maziwa na asali.
VIVA MAKAMANDA,VIVA MABADILIKO.
Katika pitapita zangu mikoani na kuzungumza na makamanda wanaonesha wazi kuwa ni muda mwafaka kwa Dr Kitila kushika nafasi ya Dkt Slaa ktk nafasi ya Katibu Mkuu,
Sifa za Kitila Mkumbo hazina pingamizi kwa yeyote anaetaka mabadiliko;Kitila ni msomi anaetambua umuhimu wa mabadiliko,Hana makundi ndani ya chama,Kasaidia kutatua mizozo mingi ndani ya chama,Ni msema kweli daima,
Tukumbuke kuwa kitila amelimaliza kisiasa li Gaidi Mwigulu Nchemba uko iramba mpaka sasa halijafika iramba kwa hofu ya kuzomewa baada ya ziara nzito ya kitila mkumbo,Jesca kishoa na David Djumbe.
Tunatambua mchango mkubwa wa Dr Slaa ila kwa sasa tunahitaji mtu atakaepanga mipingo mikakati itakayotekelezeka bila kukigawa chama ktk makundi ili tuweze kuifikia salama nchi ya maziwa na asali.
VIVA MAKAMANDA,VIVA MABADILIKO.
nafasi ya Mbowe apewe zitto, na nafasi ya mnyika apewe yule mwenyekiti wa Arusha alovuliwa uongozi Mwigamba a.k.a maskini mkulima, na kamati kuu wateuliwe wale masalia waliofukuzwa uanachama, warudishwe wote kwa jina la mwenyekiti mpya zitto, nawataja kwa majina, Juliana Shonza, mtela mwapambo, david kafulila, habibu mchange mwizi wa simu, deogratius kisandu........ hii timu ikiwepo lazima ilete ushindi wa kimbunga 2015.
MwanaChadema ukiona umetoa wazo halafu likaungwa mkono na CCM kwa wingi fahamu wazi kwamba WAZO HILO NI LA KIPUMBAVU.