Wewe umerudi tena.....si unatafutwa na Benedict saa tisa....au mpaka utandikwe TOFALI ya kichwa ndio utajua yupo serious......
Sina ugomvi na ben,labda mwigamba.
Wewe umerudi tena.....si unatafutwa na Benedict saa tisa....au mpaka utandikwe TOFALI ya kichwa ndio utajua yupo serious......
Sina ugomvi na ben,labda mwigamba.
Katika pitapita zangu mikoani na kuzungumza na makamanda wanaonesha wazi kuwa ni muda mwafaka kwa Dr Kitila kushika nafasi ya Dkt Slaa ktk nafasi ya Katibu Mkuu,
Sifa za Kitila Mkumbo hazina pingamizi kwa yeyote anaetaka mabadiliko;Kitila ni msomi anaetambua umuhimu wa mabadiliko,Hana makundi ndani ya chama,Kasaidia kutatua mizozo mingi ndani ya chama,Ni msema kweli daima,
Tukumbuke kuwa kitila amelimaliza kisiasa li Gaidi Mwigulu Nchemba uko iramba mpaka sasa halijafika iramba kwa hofu ya kuzomewa baada ya ziara nzito ya kitila mkumbo,Jesca kishoa na David Djumbe.
Tunatambua mchango mkubwa wa Dr Slaa ila kwa sasa tunahitaji mtu atakaepanga mipingo mikakati itakayotekelezeka bila kukigawa chama ktk makundi ili tuweze kuifikia salama nchi ya maziwa na asali.
VIVA MAKAMANDA,VIVA MABADILIKO.
Katika pitapita zangu
mikoani na kuzungumza na makamanda wanaonesha wazi kuwa ni muda mwafaka
kwa Dr Kitila kushika nafasi ya Dkt Slaa ktk nafasi ya Katibu Mkuu,
Sifa za Kitila Mkumbo hazina pingamizi kwa yeyote anaetaka
mabadiliko;Kitila ni msomi anaetambua umuhimu wa mabadiliko,Hana makundi
ndani ya chama,Kasaidia kutatua mizozo mingi ndani ya chama,Ni msema
kweli daima,
Tukumbuke kuwa kitila amelimaliza kisiasa li Gaidi Mwigulu Nchemba uko
iramba mpaka sasa halijafika iramba kwa hofu ya kuzomewa baada ya ziara
nzito ya kitila mkumbo,Jesca kishoa na David Djumbe.
Tunatambua mchango mkubwa wa Dr Slaa ila kwa sasa tunahitaji mtu
atakaepanga mipingo mikakati itakayotekelezeka bila kukigawa chama ktk
makundi ili tuweze kuifikia salama nchi ya maziwa na asali.
VIVA MAKAMANDA,VIVA MABADILIKO.
Naunga hoja, slaa tayali tumeuona uwezo wako na inavyoonesha amefika upeo wake wa mwisho. Sasa ni muda wakufanya mabadiliko ili kukisongesha chama mbele. Kitila mkumbo anafaa nafasi ya katibu mkuu na mwenyekiti awe profesa baregu au zito, na naibu katibu mkuu awe mnyika na masuala ya propaganda na sera aachiwe tundu lissu. Ila uongozi wa sasa hauna budi kupumzika ili tuweze kusonga mbele