Pendekezo: Dkt Kitila Mkumbo awe mrithi wa Dkt Slaa

Pendekezo: Dkt Kitila Mkumbo awe mrithi wa Dkt Slaa

Status
Not open for further replies.
kwanza huyu kitila nina?,xxxxxxxxx mimi nashangaa sn mambo haya yote yanatoka wapi?, timu za mpila zinapopoteza mchezo maneno yamekuwa haya . ooooo timu imefugwa kwa sababu walikuwa hawajazoeana, sasa basi sisi timu yetu , wamekaa pamoja kwa muda muda mrefu wakazoeana na hii ndiyo timu ya ushindi. hakuna zaidi ya dr slaa aendeleeeeeeeee anafaa mno. nani kama slaa?,

Acha upimbi wewe,Naona wengine siasa mmezivamia tu mnataka kuleta ushabiki wa simba na yanga.Siasa sio emotions kama mpira,Siasa ni facts na hoja,Siasa ni maisha.
 
Kinachonishangaza ni kuona miccm eti ndo inapendekeza nani awe m/kiti na katibu mkuu chadema.hebu pelekeni wehu wenu huo mbali na cdm
 
Acha upimbi wewe,Naona wengine siasa mmezivamia tu mnataka kuleta ushabiki wa simba na yanga.Siasa sio emotions kama mpira,Siasa ni facts na hoja,Siasa ni maisha.

Umeongea nini sasa kama sio wehu? wewe ni gamba mambo ya cdm hayakuhusu subiri wali,kofia,tshirt na buk 7 tu.nyambafu sana
 
Kitila anachukulia advantage ya kutofika ishu zake kwenye media....mkuu usikimbilie tu kusema unamkubali mtu kwa 100% jipe ata asilimia 60,,alafu uache 40 za kumfahamu zaidi..ni hayo tu kwa leo.

Kila la heri uchaguzi mkuu ndani ya chama chetu.Hii ndio demokrasia mtu anawekwa mezani halafu tunamchambua,kazi hii iendelee,hatimaye tutapata kiongozi anaetufaa.
 
Hivi utaandika ushuzi mpaka lini?
Kwanza andikeni katiba inayotokana na wanachama, sio katiba ya kukidhi mahitaji ya Mtei.

Mtei alimuandaa binti yake Lilian kuwa Mwenyekiti wa Chadema baada ya Mbowe. Binti huyo alipokataa ikabidi Mtei aagize kipengele cha kuweka ukomo wa mihula ya uongozi kiondolewe ili Mbowe aendelee kuwa Mwenyekiti.

Chadema ni chama kinachoendeshwa katika misingi ya kilaghai.
 
mbona watu wanashupalia sana chaguzi za Chadema?
ya chadema tuwaachie wenyewe
wanachama wataamua nani awe kiongozi wako
au mmetumwa kuwasemea ili mpate wa kuwahonga kwa vile mbowe na dr hawahongeki?
kama vijana tujadili umaskini wetu na jinsi ya kujikwamua na sio mambo ya chaguzi za vyama.
 
Duh........ .... !

nilidhani unakesha mitandaoni kukisaidia chama kumbe unatimiza lengo lako la kuwachafua watu wenye mitizamo na mbowe na slaa,Mkuu tutaheshiana tu,
VIVA CDM,VIVA MAKAMANDA
 
kinachonishangaza ni kuona miccm eti ndo inapendekeza nani awe m/kiti na katibu mkuu chadema.hebu pelekeni wehu wenu huo mbali na cdm

mkuu nitake radhi mi sio ccm na wala sitakuwa ccm milele
 
sina shaka na uwezo wake ila nahofia majukumu yake chuoni pale anaweza kujitoa kujenga chama kama dr slaa?

ataweza mkuu tumpe nafasi ya kumpokea mikoba kamanda wetu dkt slaa ili ajipange kuingia ikulu
 
zitto kabwe na dr kitila mkumbo ni marafiki wa muda mrefu.mwaka 2009 zitto alitaka kumvaa mbowe kabla wazee hawajamshauri ajitoe kwa (hiari?) katika mchakato huo dr kitila alimuunga mkono zitto waziwazi dhidi ya mbowe. Dr kitila alisema yeye ni mshauri wa kisiasa wa zitto. Wote walichemsha.

baada ya kifo cha shelembi.... Zitto alishirikiana na baadhi ya viongozi wa mkoa wa shinyanga kumteua shibuda chap chap ndani ya wiki kurithi nafasi ya marehemu (uenyekiti wa chadema mkoa wa shinyanga) hoja ikapelekwa kamati kuu. Zitto, mama zitto, dr kitila na shilungushela wa shinyanga wakawa ndo watu pekee waliomtetea shibuda abaki ktk nafasi hiyo. Wajumbe wengi wote wa kamati kuu walimpinga shibuda. Shibuda akagonga mwamba..

tafakari........

kwa hiyo tunatakiwa tusiwe na urafiki na zitto??
Kwa mtu akipingana na hoja slaa inakuwa tatizo??
 
Katika pitapita zangu mikoani na kuzungumza na makamanda wanaonesha wazi kuwa ni muda mwafaka kwa Dr Kitila kushika nafasi ya Dkt Slaa ktk nafasi ya Katibu Mkuu,

Sifa za Kitila Mkumbo hazina pingamizi kwa yeyote anaetaka mabadiliko;Kitila ni msomi anaetambua umuhimu wa mabadiliko,Hana makundi ndani ya chama,Kasaidia kutatua mizozo mingi ndani ya chama,Ni msema kweli daima,

Tukumbuke kuwa kitila amelimaliza kisiasa li Gaidi Mwigulu Nchemba uko iramba mpaka sasa halijafika iramba kwa hofu ya kuzomewa baada ya ziara nzito ya kitila mkumbo,Jesca kishoa na David Djumbe.

Tunatambua mchango mkubwa wa Dr Slaa ila kwa sasa tunahitaji mtu atakaepanga mipingo mikakati itakayotekelezeka bila kukigawa chama ktk makundi ili tuweze kuifikia salama nchi ya maziwa na asali.
VIVA MAKAMANDA,VIVA MABADILIKO.

Kamanda Umenena,Mwenyekiti Zitto,Chama kitakua na nguvu zaidi,2015 tunataka kupambana na CHADEMA HAI sio HOI,hatutaki kupambana na upinzani wenye majungu
"Vox popoli vox dei"
 
MIMI NAONA NI HERI AWE NAIBU KATIBU WA CHADEMA ILI APATE EXPOSURE KWANZA KWANI ZITO YUKO KI MASLAI ZAID, PIA ANAUKARIBU NA MAccm JAPO KWA SIRI

Hii naikubari pia ili ajulikane kwa wanachama wa chini zaidi wa vijijini zaidi ya ilamba alikotokea.
Maana zito kashapiteza mwelekeo na anaweweseka tu.
 
Naunga mkono hoja,hasa ikizingatiwa dk slaa atagombea uraisi,na kuna uwezekano mkubwa akawa raisi.

Wewe umerudi tena.....si unatafutwa na Benedict saa tisa....au mpaka utandikwe TOFALI ya kichwa ndio utajua yupo serious......
 
ataweza mkuu tumpe nafasi ya kumpokea mikoba kamanda wetu dkt slaa ili ajipange kuingia ikulu

Kwa mujibu wa katiba ya chadema,katibu mkuu hupendekezwa na mwenyekiti.Hivyo nafikiri issue hii ni utashi wa mwenyekiti zaidi.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom