Lunyungu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 8,873
- 1,919
- And then Mwanakijiji amrithi Mwenyekiti wa Chadema Taifa, he has done a great job ya kuipa meno Chadema lakini for the last one year toka kushindwa kuishikilia hoja ya ufisadi, Chadema imekuwa ikipigana yenyewe kwa yenyewe kwa kukosa hoja progressive kwa Taifa. Recently, amejizatiti sana kwenye violence ambayo it is even worse kwa sababu inaua public image ya Chadema kila siku ya Mungu,
- Kwanza walipomtukana Spika wa kwanza Mwanamke nchini, Walipompiga masikini wa Mungu Mkuu wa Wilaya ya Igunga, walipokosa ukweli wa bomu lililolipuliwa Arusha, walipowaita CUF ni mashoga na kujiunga nao tena, walipogoma bungeni kwa ajili ya muswaada ambao ulisainiwa na Rais anyways as opposed na walivyogomea huku wakienda Ikulu kukutana na Rais, walipopigana bungeni na kutolewa na polisi, sasa ya kupigana wenyewe kwa wenyewe tena mbele ya viongozi wao wakuu wa Taifa,
- I mean haya yote wanangojea nini kujiuzulu na kuwaachia wengine? Maana sasa kinachoendelea ni Self Destruction kunusuruni chama chenu waondoeni viongozi wote wa juu wekeni wapya wenye uwezo mkubwa wa kufikiri na kutengeneza mikakati, mlionao sasa wamechoka wapo wkenye political stress za kutisha,
Le Mutuz
You are sick in your head and you are a burden to CCM .Na naambiwa wanakujua .Wenzio makini wenye akili timamu hawana hamu na spee ya Chadema wewe mchuma tumbo unaleta ulaghai wa kijinga you are useless better a toilet paper can save a puropose than you .