mtoto wa kibopa
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 5,362
- 6,481
- Thread starter
- #61
Oy mbona mimi inangomea ku link PayPal na Mpesa. Check hiyo error. Mliolink tujuzeni kubabeki🤨😟
- New
- Add bookmark
- #60
Oy mbona mimi inangomea ku link PayPal na Mpesa. Check hiyo error. Mliolink tujuzeni kubabeki🤨😟
1. Tengeneza email accountKuna mtu anaweza elekeza jinsi ya kuumganisha .nilelewe Vizuri
Asante 🙏1. Tengeneza email account
2. Google PayPal kisha utatengeneza account yako mpya ya PayPal
3. Hakikisha unajaza exact details kama zilizopo ktk kitambulisho chako cha Nida.
4. Hakikisha copy ya kitambulisho chako cha Nida maana wakati mwingine wanaweza kukutaka uwatumie nakala ya kitambulisho chako ili wafanye verification.
5. Katika sehemu ya kujaza namba ya simu utajaza namba ya Voda.
6. Download app ya Voda then bofya PayPal fuata maelekezo
7. You are done
Baada ya miezi 6 (Siku 180) si huwa wanaruhusu kutoa hela yako... Vp au hii washaiondoa?Nilifanya ukanjanja account yangu ikaishia kupigwa pini hadi leo.
Baada ya miezi 6 (Siku 180) si huwa wanaruhusu kutoa hela yako... Vp au hii washaiondoa?
Sasa kilichomkuta mimi... Nilitumia pesa yangu fresh. Wakaiblock kutaka uthibitisho. Nikatuma uthibitisho fresh. Baada ya miezi 6 wakanitumia a very polite sms kuwa sasa unaweza kuchukua pesa yk. Kilichotokea sasa, si nilipitiwa kutop up safaricom number yangu. Nikakuta line imeshaexpire. Aisee niliumia sn sn
Namba mpya za Voda zinazoanza na 0725… hazitambuliwi na PayPal. Nililazimika kusajili namba yenye tarakimu za zamani 0762 … ikakubali. Sahivi napokea dolari 😊😊Badili no Yako ya Siri ya mpesa...kwangu inafanya kazi nimebadili no ya Siri na nimerudia rudia kuingia PayPal Hadi umekubali ...naona mpesa
UongoNamba mpya za Voda zinazoanza na 0725… hazitambuliwi na PayPal. Nililazimika kusajili namba yenye tarakimu za zamani 0762 … ikakubali. Sahivi napokea dolari 😊😊View attachment 3650501
Mi nilikuuliza nawezaje kulipa bill kwa paypal ukakaa kimyaNamba mpya za Voda zinazoanza na 0725… hazitambuliwi na PayPal. Nililazimika kusajili namba yenye tarakimu za zamani 0762 … ikakubali. Sahivi napokea dolari 😊😊View attachment 3650501
Nidanganye ili nipate nini?Uongo
Nielekeze basi mkuuNidanganye ili nipate nini?
Bili zipi?Mi nilikuuliza nawezaje kulipa bill kwa paypal ukakaa kimya
Kuna vitabu vinataka kulipia almost sh 2871Bili zipi?
Unamaanisha unataka kulipia hivyo vitabu kupitia PayPal?Kuna vitabu vinataka kulipia almost sh 2871
Ndiyo mkuuUnamaanisha unataka kulipia hivyo vitabu kupitia PayPal?
Link PayPal account yako na bank account yako. Ukifanya hivyo PayPal itakata kile kiasi unacholipa kutoka kwenye account yako ya benki. Ninafanya malipo kibao kwa PayPal tangu 2018. Niliunganisha PayPal yangu na CRDB account yangu. Ni rahisi na salama.Ndiyo mkuu
Hapo kwenye account ndo penyeweLink PayPal account yako na bank account yako. Ukifanya hivyo PayPal itakata kile kiasi unacholipa kutoka kwenye account yako ya benki. Ninafanya malipo kibao kwa PayPal tangu 2018. Niliunganisha PayPal yangu na CRDB account yangu. Ni rahisi na salama.