Paypal na Mpesa tanzania

Paypal na Mpesa tanzania

Taaatibu, utawachanya walugaluga....
Jamani😃 nimeuliza tu, kuna kipindi nilimkodisha mzungu acc yangu ya linkedin akawa ananilipa kila mwezi kupitia binance! Sikuona ubaya nikawa naziuza kule wafanya biashara wako wengi si mchezo! Na ninatumiwa kwenye M-Pesa yangu!
 
Au kwanini msitumie binance?
Mkuu issue sio kutumia hizo kina binance,au kina skrill.the main pont ni hayo macompany ya ulaya ukiwafanyia kazi malipo yao mara nyingi ni PayPal..na hawana option nyingine..ni sawa na ww mkuu uwe mfanyakazi wa nmb unadhani mshahara wako watarecomend bank Gani kukulipa?
 
Jamani😃 nimeuliza tu, kuna kipindi nilimkodisha mzungu acc yangu ya linkedin akawa ananilipa kila mwezi kupitia binance! Sikuona ubaya nikawa naziuza kule wafanya biashara wako wengi si mchezo! Na ninatumiwa kwenye M-Pesa yangu!
Una bahati account Yako ya LinkedIn imerudi salama next time usifanye hivo Tena.
 
Jamani😃 nimeuliza tu, kuna kipindi nilimkodisha mzungu acc yangu ya linkedin akawa ananilipa kila mwezi kupitia binance! Sikuona ubaya nikawa naziuza kule wafanya biashara wako wengi si mchezo! Na ninatumiwa kwenye M-Pesa yangu!
Kumbe unamjua mpaka CZ...
Na huko linkedin sisi bodaboda tukafanye nini...
Uko mbele ya muda....
huku kwetu ni saa 7 usiku, kwenu itakuwa kumesha kuchwa
 
Mkuu issue sio kutumia hizo kina binance,au kina skrill.the main pont ni hayo macompany ya ulaya ukiwafanyia kazi malipo yao mara nyingi ni PayPal..na hawana option nyingine..ni sawa na ww mkuu uwe mfanyakazi wa nmb unadhani mshahara wako watarecomend bank Gani kukulipa?
Ohoo! Hapo sawa mkuu..
 
Kumbe unamjua mpaka CZ...
Na huko linkedin sisi bodaboda tukafanye nini...
Uko mbele ya muda....
huku kwetu ni saa 7 usiku, kwenu itakuwa kumesha kuchwa
Cz ndio nani mkuu? Halafu kule kila mtu anaingia inategemea tu unataka kufanya nini sio lazima uwe corporate bana!

Wewe ni saa 7 najua leo ni weekend ndiomaana bado niko macho!
 
Kaa kwa kutulia
Wakati wewe ndio unashtukia paypal leo , yeye anacheza na Binance na Worldremit, ungezijua hizo wala usingeshangilia paypal
Humu Jf kila mtu anajikuta mjuaji, badala tukae hapa kujifunza uhaya unataka kutake over! Unachokijua ww mwingine hakijui and vice versa! Watu sijui huwa wana shida gani aisee!😂
 
Wakuu katika pita zangu kwenye application ya Vodacom(Mpesa)nimeona kuna ku link account ya PayPal..Sasa naomba kujua kama inapokea..je mpesa wameingia partnership na PayPal???
 

Attachments

  • IMG_2946.png
    IMG_2946.png
    1.1 MB · Views: 7
Badili no Yako ya Siri ya mpesa...kwangu inafanya kazi nimebadili no ya Siri na nimerudia rudia kuingia PayPal Hadi umekubali ...naona mpesa wanashida kidogo kwa upande wa mpesa leo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom