The Puncher
Member
- Mar 5, 2019
- 31
- 33
Unapokea directly kwa mpesa yako kutoka wapi?Hmm mimi huwa napikea directly kwenye mpesa yangu! Kwanini niunganishe paypal?
Unapokea directly kwa mpesa yako kutoka wapi?Hmm mimi huwa napikea directly kwenye mpesa yangu! Kwanini niunganishe paypal?
Yes inawezekana but PayPal unatumika sana kwa watu wanaofanya kazi mtandaoni ambapo company nyingi zinalipa kwa PayPal,na bongo ilikuwa PayPal haifanyi kazi ya kureceive so wabongo wengi tukawa tunamtumia line za safaricom ili kulink na PayPal..bahati mbaya zaidi PayPal wakikushtukia walikuwa wanachoma account yako.pesa inapotea kwa vKutoka kwa mtu nje bila PayPal
Duhh poleni si mngetumia hata world remit?Yes inawezekana but PayPal unatumika sana kwa watu wanaofanya kazi mtandaoni ambapo company nyingi zinalipa kwa PayPal,na bongo ilikuwa PayPal haifanyi kazi ya kureceive so wabongo wengi tukawa tunamtumia line za safaricom ili kulink na PayPal..bahati mbaya zaidi PayPal wakikushtukia walikuwa wanachoma account yako.pesa inapotea kwa v
Yes inawezekana but PayPal unatumika sana kwa watu wanaofanya kazi mtandaoni ambapo company nyingi zinalipa kwa PayPal,na bongo ilikuwa PayPal haifanyi kazi ya kureceive so wabongo wengi tukawa tunamtumia line za safaricom ili kulink na PayPal..bahati mbaya zaidi PayPal wakikushtukia walikuwa wanachoma account yako.pesa inapotea kwa vileKutoka kwa mtu nje bila PayPal
Sio kweliiKutoka kwa mtu nje bila PayPal
Uingereza na marekaniUnapokea directly kwa mpesa yako kutoka wapi?
Kweli mkuu kwanini nikudanganye?Yes inawezekana but PayPal unatumika sana kwa watu wanaofanya kazi mtandaoni ambapo company nyingi zinalipa kwa PayPal,na bongo ilikuwa PayPal haifanyi kazi ya kureceive so wabongo wengi tukawa tunamtumia line za safaricom ili kulink na PayPal..bahati mbaya zaidi PayPal wakikushtukia walikuwa wanachoma account yako.pesa inapotea kwa vile
Sio kwelii
Iko hivi. Kuna baadhi ya kampuni Ulaya zinatumia njia za malipo kwa kutumia PayPal na Pioneer pekee. Sasa ili kupata malipo kutoka PayPal ilitulazima kumiliki line za safaricom kisha kucreate account ya PayPal kisha unailink na hiyo namba ya safaricom. Hapo tulikuwa tunapokea pesa kupitia namba ya safaricom kisha unaitransfer kwa namba yako ya bongo.Kutoka kwa mtu nje bila PayPal
Ooh hapo nimekuelewa aisee!Iko hivi. Kuna baadhi ya kampuni Ulaya zinatumia njia za malipo kwa kutumia PayPal na Pioneer pekee. Sasa ili kupata malipo kutoka PayPal ilitulazima kumiliki line za safaricom kisha kucreate account ya PayPal kisha unailink na hiyo namba ya safaricom. Hapo tulikuwa tunapokea pesa kupitia namba ya safaricom kisha unaitransfer kwa namba yako ya bongo.
Kuna sehem tulikuwa hatujaelewana nishakuelewa mkuu.tuko pamojaKweli mkuu kwanini nikudanganye?
Hio ni kwenu nyie madayasporaDuhh poleni si mngetumia hata world remit?
Si kweliHio ni kwenu nyie madayaspora
aah wewe sio wa hapa, pigo zako haziendani kabisa na sisi wamatumbi....Si kweli
Niko huku buzebazeba mkuu nina pigo zipi ngeni kwenu?aah wewe sio wa hapa, pigo zako haziendani kabisa na sisi wamatumbi....
Kuku mgeni hakosi kamba mguuni...Niko huku buzebazeba mkuu nina pigo zipi ngeni kwenu?
Hahahaha uzuri huamishi yaani wewe ni kuwithdraw tu kwa mpesa yako.ikingia tu kwenye account ya PayPal hapo hapo ukifungua application Yako ya mpesa unaokuta pesa yakoAugust nikitua JNIA hapo kituo cha kwanza ni voda shop kusajili line chap🤨
Sio kweli! Karibu kwetu..Kuku mgeni hakosi kamba mguuni...
Sema walugaluga hawajakushtukia, wanatiririka......
Acha dharau mkuu hao walugaluga ni akina nani?Kuku mgeni hakosi kamba mguuni...
Sema walugaluga hawajakushtukia, wanatiririka......
Au kwanini msitumie binance?Hahahaha uzuri huamishi yaani wewe ni kuwithdraw tu kwa mpesa yako.ikingia tu kwenye account ya PayPal hapo hapo ukifungua application Yako ya mpesa unaokuta pesa yako