paypal

  1. Blasio Kachuchu

    JamiiForums Tanzania Vodacom M-Pesa na PayPal Washirikiana kurahisisha malipo ya Kimataifa kwa Watanzania

    Na Mwandishi Wetu DAR ES SALAAM – Vodacom M-Pesa Tanzania imetangaza ushirikiano mpya na PayPal utakaowezesha wateja kufanya miamala kwa urahisi kati ya akaunti zao za PayPal na pochi za M-Pesa kupitia M-Pesa Super App, hatua inayolenga kupanua upatikanaji wa huduma za kifedha za kidijitali...
  2. mtoto wa kibopa

    JamiiForums Tanzania Paypal na Mpesa tanzania

    Wakuu katika pita zangu kwenye application ya Vodacom(Mpesa)nimeona kuna ku link account ya PayPal..Sasa naomba kujua kama inapokea..je mpesa wameingia partnership na PayPal???
  3. The introvert

    JamiiForums Tanzania PayPal Tanzania

    Wakuu habari za muda huu. Ni mwaka 2025, dunia inakimbia kwa kasi kwenye suala la teknolojia, lakini sisi bado tumekwama kwenye jambo dogo la huduma ya kifedha ya mtandaoni kama PayPal. Watanzania — hasa vijana wa kidigitali, wabunifu, wasanii, freelancers, na wafanyabiashara mtandaoni —...
  4. N

    JamiiForums Tanzania Msaada wa malipo ya Paypal kwenye software ya Gavana

    Wakuu bila salamu ningependa kuuliza/kuomba msaada wa maelekezo najua kwatanzania paypal inazingua kutoa hela ila sina uhakika ikiwa kama inazingua kwenye kuweka. swali langu ni kwamba je nawezaje kulipia program ya gavana kwa kutumia paypal na je inawezekana kuweka voda visa bila shida kwenye...
  5. SirAlfred006

    JamiiForums Tanzania PAYPAL HELP

    Karibu kwenye huduma kama hizi. Inbox asap
  6. SirAlfred006

    JamiiForums Tanzania PAYPAL WITHDRAWAL HELP

    Welcome all to PayPal withdrawal help. Inbox me asap.
  7. RICH-HARD

    JamiiForums Tanzania PAYPAL ZA UK

    Njoo nikutengenezee PayPal ya UNITED KINGDOM UK na utaweza kutoa pesa zako kwa mpesa tigo pesa na airtelmoney yako kirahisi zaidi PATA PAYPAL YAKO LEO KWA 40K TU .
  8. Mhaya

    JamiiForums Tanzania Nchi za Afrika zinazoshindwa kutoa pesa kwa Paypal

    Huduma za PayPal barani Afrika kwa ujumla ni chache katika nchi nyingi, haswa linapokuja suala la kutoa pesa. Hata hivyo, idadi kamili ya nchi za Kiafrika ambako PayPal inazuia utoaji wa pesa inaweza kubadilika muda unavyozidi kwenda kutokana na mabadiliko katika mazingira ya udhibiti, ubia na...
  9. Tzhacker 000

    JamiiForums Tanzania PAYPAL ACCOUNT

    Kwa wale wanaohitaji huduma ya PayPal #unataka KUTUMA au KUPOKEA pesa kupitia PayPal nipo hapa kukurahishia kazi, ni DM tu . TRUST.. 💯✅ Hii ni kwa wale ambao hawana kabisa akaunti PayPal na wanahitaji kufanya malipo ya bidhaa au kupokea pesa kutoka nje kupitia kwenye simu zao, M-pesa, tigo...
  10. YoyoTheDeveloper

    JamiiForums Tanzania Nahitaji Line Ya Safaricom kwa ajili ya kutumia Paypal

    Habari zenu wanajamvi.! Nipo Dar nahitaji line ya Safaricom ili niweze kufungua account paypal nipokee malipo mtandaoni. Kuna ambaye anauza hapa dar au wakala au namna yoyote ambayo mtu anafahamu anielekeze niweze kupata. Natanguliza Shukrani zangu. 🙏
  11. C

    JamiiForums Tanzania Watanzania na Paypal

    Mengi na wengi wameshazungumza sana na kuandika sana kuhusu umuhimu wa huduma ya Paypal kwa nchi yetu. Ajabu, kila kampuni mpya ya Fintech inakuja almost inafanya kama yule mwenzake hakuna aliyethubutu kwenda extra mile. Wanaigana na kuzunguka hapohapo kila siku. Hivi huwa wanasoma reviews na...
  12. McMahoon

    JamiiForums Tanzania Rais Samia, tunahitaji uruhusu nasi tupokee pesa kutoka Paypal kama wanavyofanya wakenya

    Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan, Pole na majukumu ya kuongoza nchi na pia hongera kwa kazi nzuri unayofanya kuifanya nchi yetu inakua kiuchumi na kuwa na amani. Kwa sasa dunia ni kijiji, unaweza kufanya kazi na mtu yoyote aliyeoko nje ya nchi. Tuna tatizo la ajira kwahiyo vijana wengi...
  13. NguoYaSikuKuu

    JamiiForums Tanzania Paypal Tanzania kuna shida gani?

    Wakuu salamu, Nimejaribu kununua bidhaa Ebay kwa kutumia Paypal nashindwa kabisa kulipia. Inaleta kitu kama hiki chini. Lakini siwezi kuproceed na Payment. Any idea kwa mtu aliyefanya manunuzi recently na Paypal?
  14. Lungutz1

    JamiiForums Tanzania Msaada: Naomba kusaidiwa kuhusu Paypal services (online money deposite and withdraw)

    Kuna fedha natakiwa kui withdraw kwenye moja ya site za malipo online, ambapo option yake kuu ya ku withdraw ni kupitia Paypal account. Imekuwa ni kikwazo kikubwa kwangu, maana nimejaribu kutengeneza hiyo account ila account bado haikufanikiwa kukidhi vigezo vya kutumika na kupokea malipo...
  15. ubongokid

    JamiiForums Tanzania Kuna Shida gani PAYPAL

    Najribu kufanya Malipo kupitia PAYPAL lakini naona kama kuna shida ambayo siielewi. Je kuna mwingine ambaye anapata shida kwenye kulipa kwa kutumia Paypal?
  16. U

    JamiiForums Tanzania Namna ya kufungua paypal akaunti yenye uwezo wa kupokea malipo Tanzania

    Imekuwa ni changamoto kwa watanzania Na baadhi ya watu kushindwa kupokea malipo yao kutokana Na PayPal ya Tanzania kushindwa kutoa fedha nchini. Sasa nmekuja Na hili jipya, ni kuwa unaweza kupokea fedha zako bila shida wala Shaka yoyote. Huhitaji kuwa Na laini za Kenya au laini za nje ili...
  17. U

    JamiiForums Tanzania Namna ya kupata paypal akaunti yenye uwezo wa kupokea fedha nje ya nchi

    Pengine ulikuwa unasumbuka namna ya kufungua akaunti yenye uwezo wa kupokea malipo nje ya nchi. Ila leo nmekuja na suluhisho. Hauhitaji kuwa na laini ya kenya au kitu kingine. Cha muhimu ni uwe na kitambulisho chako cha taifa. Unaweza ukapata fursa ya kufungua stripe akaunti pia. Taarifa zako...
  18. Moseskyey

    JamiiForums Tanzania The Best Paypal Alternatives for Personal Use 2023

    PayPal has been the go-to payment solution for personal use for many years, but there are now several alternatives available. These alternatives offer a variety of features, fees, and capabilities that can suit different users' needs. In this article, we'll take a look at the best PayPal...
  19. Suzy Elias

    JamiiForums Tanzania PayPal kusitisha malipo kutoka USA kwenda Ulaya kwa sababu ya thamani ya Euro kushuka

    Ni kuanzia tarehe 31 mwezi ujao wa Oktoba na sababu kubwa ni thamani ya euro kuendelea kuporomoka jambo ambalo linawapa wasiwasi. Baadhi ya wateja wa PayPal huko Ulaya wameanza kujulishwa kupitia jumbe na baadhi ya kadi zao zimeanza kufungwa. NB: Ni wazi sasa Putin anaelekea kushinda vita ya...
  20. MUTUYAMUNGU

    JamiiForums Tanzania Nape Nnauye saidia vijana paypal haikwepeki

Back
Top Bottom