mtoto wa kibopa
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 5,362
- 6,480
Yes unaweza mkuuUnaweza kupokea pesa kutoka nje?
Safi. Nikirudi bongo nitatafuta namba ya Voda nilink chap.Yes unaweza mkuu
Wanataka info gani hapo. Hawachelewi ku suspend account yako hao.Yes unaweza mkuu
Imekaa poa sana..Mimi kwa mara ya kwanza pesa kuingia PayPal walizuia wanataka niwape info zangu.nilivyowapa wakanifungulia ...kuna kiasi kikiwa kikubwa wazuia account Yako mpaka uwepa taarifa zako ulizosajilia kitambulisho chakoItakuwa jambo jema sana sana sana mazee
Ishanitokea mara mbili hii. Mara ya kwanza nilipata pesa yangu. Mara ya pili pesa yangu ilipotea maana nilijisahau line niliyokuwa ninatumia ya safaricom iliExpire.Imekaa poa sana..Mimi kwa mara ya kwanza pesa kuingia PayPal walizuia wanataka niwape info zangu.nilivyowapa wakanifungulia ...kuna kiasi kikiwa kikubwa wazuia account Yako mpaka uwepa taarifa zako ulizosajilia kitambulisho chako
Kitambulisho ulichosajilia na hiyo account ya mpesa zile no za Mastercard nilicharge wahakiki kama sio fraudi...unaweka pesa niliweka kama 5k wakaita then after 24hrs wakairudisha na account wakairuhusu.hapo walinilimit nisiwihdraw Wala kusend...ila kureceive tu ndio ilikuwa inafanya kazi.nilivyomalizana nao wakaiachia account yanguWanataka info gani hapo. Hawachelewi ku suspend account yako hao.
Hahahahaha😁😁😁😁Kwanza ninamshukuru sana Mola Muumba kwa hili. Kesho nitatoa sadaka mahali In'sha'Allah. Kisha nitaagiza ipikwe biriani home. Japo nina sukari Dessert ... Ice cream In'sha'Allah. Yaani nina furaha mno. Tumechoka kujiita majina ya kikikuyu na line za safaricom
Unapokea direct kutoka PayPal bila application??Hmm mimi huwa napikea directly kwenye mpesa yangu! Kwanini niunganishe paypal?
Nilifanya ukanjanja account yangu ikaishia kupigwa pini hadi leo.Kitambulisho ulichosajilia na hiyo account ya mpesa zile no za Mastercard nilicharge wahakiki kama sio fraudi...unaweka pesa niliweka kama 5k wakaita then after 24hrs wakairudisha na account wakairuhusu.hapo walinilimit nisiwihdraw Wala kusend...ila kureceive tu ndio ilikuwa inafanya kazi.nilivyomalizana nao wakaiachia account yangu
Kutoka kwa mtu nje bila PayPalUnapokea direct kutoka PayPal bila application??
Zamani bongo PayPal ilikuwa haireceive pesa zaidi ya kusend na kutumia tu mtandaoni kwa ajili ya kununua vitu.sahivi pesa unapokea na pesa unaiona kwenye account Yako ya mpesa ni ww tu kuwithdrawHmm mimi huwa napikea directly kwenye mpesa yangu! Kwanini niunganishe paypal?
Duuuh poleee aisee mambo ya safaricom hayoNilifanya ukanjanja account yangu ikaishia kupigwa pini hadi leo.