Payoneer ni mbadala halisi wa PayPal!

Payoneer ni mbadala halisi wa PayPal!

Reputatiom ya PayPal hainipi kuwa na wasiwasi. Na refunds nimeshapokea mara kadhaa na zinarudi kwenye local account (Stanbic) bila tatizo lolote.

Changamoto inaweza kuwa kwa baadhi ya benki ambazo hazina ease of acces kuruhusu imtegration ya PayPal.

Safe and reputable.

Sent using Jamii Forums mobile app


Kuhusu PAYPAL, sasa hivi watanzania tunachodai ni 'Payment' receipt & withdrawal iwezeshwe in PayPal Tanzania. 'Refund' pekee haina tija kwenye uchumi wa nchi yetu.

-Kaveli-
 
Reputatiom ya PayPal hainipi kuwa na wasiwasi. Na refunds nimeshapokea mara kadhaa na zinarudi kwenye local account (Stanbic) bila tatizo lolote.

Changamoto inaweza kuwa kwa baadhi ya benki ambazo hazina ease of acces kuruhusu imtegration ya PayPal.

Safe and reputable.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli kabisa. Unajua ukilink tu kadi yako na paypal huwa wanakata hela ili kuthibitisha kama ni account yako. Kwenye statement utakuta code ya paypal. Nlikuwa nawaambia tellers wantizamie code kutoka paypal kwenye starement walishindwa, mpaka nikawaambia wantolee physical starement. Unakuta benki hazijui paypal
 
Mkuu chilubi , nimepitia website ya Worldremit.com... wapo vizuri. Na kwenye reviews ipo rated poa sana!
Kwa kweli kupokea pesa, worldremit ipo mzuka.

Alafu nieleweshe... SENDER ndiye anayepaswa ku-sign up ili aweze kutuma pesa eeh? RECEIVER yeye does NOT sign-up kwenye site. Nipo sahihi?

-Kaveli-
Hujakosea mkuu, ni sender ndie anaetakiwa kusign up. Yeye atachagua pesa ikufikie vipi. Mfano akichagua tigo pesa, anaeka namba yako tu. Uzuri wa hii huduma, ni chap chap transaction inafanyika.
 
Screenshot_20170906-082935.png


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu swali la msingi hujajibu tunaomba utuelekeze.

Tunafahamu kuwa Payoneer inatumika kwa Online Banking, swali sasa linakuja nawekaje fedha kwenye akaunti yangu ya Payoneer? Ukijibu tuelekeze kama vile unamuelekeza mtu ambae yuko Kibondo
 
Inahusika na KUTUMA pesa.

Then MPOKEAJI atapokea pesa kwa njia 3:

-Pesa inaingia directly kwenye Mobile Money Account yako (Tigopesa, Mpesa, na EazyPesa); ama
-Kuchukua pesa kwenye worldremit agent/wakala (Kwa hapa Tanzania mawakala wao ni Diamond Trust Bank & People's Bank of Zanzibar); ama
-Pesa inaingia kwenye local bank account yako (only at The People's Bank of Zanzibar).

N.B: Transfer fees anakatwa mtumaji. Mpokeaji hukwati transfer fees, bali utakatwa tu gharama za kutolea pesa kwenye njia unayochagua kati ya hizo tatu. Mfano, kama mtakubaliana kwamba mtumaji akutumie moja kwa moja kwenye TigoPesa yako, mtumaji atakatwa gharama zote za kutuma. Wewe mpokeaji utakatwa gharama za kutolea tu by Tigopesa kulingana na kiasi cha pesa, yani local withdrawal fees za kama tu wanavyokukata kawaida unapoenda kutoa pesa.

-Kaveli-
Maximum amount unayoweza withdraw kwa siku ni kias gan mkuu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maximum amount unayoweza withdraw kwa siku ni kias gan mkuu?

Sent using Jamii Forums mobile app


Natumai unaulizia kuhusu Worldremit. Not Payoneer.

1. Kama mtakubaliana akutumie kwenye Bank Transfer yaani pesa iingie kwenye local bank account yako (at People's Bank of Zanzibar), ama akutumie kwenye Cash Pickup (yaani ukachukue pesa kwa worldremit agent/wakala ambaye ni Diamond Trust Bank), basi the maximum amount to send ni Tsh 7,000,000 (Million saba) per transfer/transaction.

2. Kama mtakubaliana akutumie kwenye Mobile Money Transfer (yaani pesa iingie kwenye TigoPesa ama M-Pesa ama EazyPesa), basi the maximum amount to send ni Tsh 3,000,000 (Million tatu) per transaction.

Hiyo ndiyo MAXIMUM AMOUNT ya kutuma kwa kila transaction , it means kwamba kwa siku anaweza akatuma transactions nyingi awezavyo.

Kujibu swali lako... ''what is the Maximum Amount to Withdraw kwa siku?'' :

Sasa hapa it depends ni njia gani uliyochagua upokelee pesa, kati ya hizo njia mbili hapo juu. Mfano kama unapokea pesa kwenye Bank, nadhani utaweza ku-withdraw hata Million Saba yote at once kwenye bank teller. Kama unapokea pesa kwenye Mobile Money (TigoPesa, M-Pesa, EazyPesa) pia utaweza ku-withdraw pesa nyingi as you want coz ni kwenda tu kwenye banda la tigopesa unavuta mpunga.

N.B: For the case of TigoPesa, there is a monthly limit of TZS 90,000,000 (Million Tisini).
TigoPesa also has a maximum balance of TZS 5,000,000 (Million Tano) that one of their customers can have at any one time.

Nadhania maelezo yangu yametosheleza swali lako. Otherwise mkuu chilubi anaweza kupolish zaidi kutokana na uzoefu wake kwenye worldremit money transfer.

-Kaveli-
 
Sasa Card inakuja kwa njia ya Posta, kama haujajaza inaweza vipi kufika?
Inabidi ujaze post code ambazo kila mkoa unazo binafs ninayo ila sijaanza kutumia sababu bongo utumaji wa pesa kwa kwenda nje ni process kubwa
4cffc09a20e40056c0188e8478da8de2.jpg


Na nimepata free kabisa

rap beast
 
Mkuu swali la msingi hujajibu tunaomba utuelekeze.

Tunafahamu kuwa Payoneer inatumika kwa Online Banking, swali sasa linakuja nawekaje fedha kwenye akaunti yangu ya Payoneer? Ukijibu tuelekeze kama vile unamuelekeza mtu ambae yuko Kibondo


Hili mbona ameshalijibu tayari, tena kwa ufasaha kabisa. Soma page zote vizuri kwenye uzi huu.

-Kaveli-
 
Hili mbona ameshalijibu tayari, tena kwa ufasaha kabisa. Soma page zote vizuri kwenye uzi huu.

-Kaveli-

Nimeangalia tena Mkuu jibu hakuna kama unafahamu tafadhali nisaidie
 
Inabidi ujaze post code ambazo kila mkoa unazo binafs ninayo ila sijaanza kutumia sababu bongo utumaji wa pesa kwa kwenda nje ni process kubwa
4cffc09a20e40056c0188e8478da8de2.jpg


Na nimepata free kabisa

rap beast
Kwa Dunia ya leo sio Complicated ki hivyo, coz unaweza ku transfer pesa toka Local Bank kwenda Payoneer online tu!
 
...

Kwa Maelezo hayo Ili kukujibu swala lako, ni rahisi Kama Una local bank account so utaweza Ku transfer pesa kwenda Payoneer then kupitia Payoneer ukafanya manunuzi!
Tatizo la watu Kama wewe huwa hamfatilii comment, swali lako nimejibu Mara kadhaa huko juu!
NI HIVI, UNATAKA KUNUNUA KWA PAYONEER AU MASTER CARD YA PAYONEER, NI LAZIMA UWE NA LOCAL BANK ACCOUNT, HIVYO UTATOA PESA TOKA LOCAL BANK KWENDA PAYONEER THEN UTAENDELEA NA MAMBO MENGINE.
Nami nimepata kadi. Jinsi ya kuingiza pesa ni rahs, unakuwa kama unaomba ulipwe na mtu. Waweza kuwa na kadi yako nyingine hapa tanzania ya mastercard au visa inayokubali malipo online basi unaingiza namba zake ili kulipa kadi mpya.

Pili kuna zile details za akaunti yako, bank 21century nk unaenda bank unajitumia pesa
Kama Una local bank account inayo support Master au Visa uhitaji kwenda Bank, Una transfer pesa tu online, Toka Local bank kwenda Payoneer then unafanya yako.


CC: Ben T , hebu pitia vizuri hizo comments hapo

-Kaveli-
 
Nina swali. Sasa hivi tunasubiria kuelimika kuhusu currency tra

Nina swali. Sasa hivi runasubiri kuelimika kuhusu currency trading. Tukifanikiwa ni wazi tutaanza nasi kuuza na kununua hela mtandaini, mwisho wa siku nasi kudraw faida. Sasa hapo kudraw ndio changamoto maana tumeambiwa kwa nchi zetu bado ni tatizo na hawataki tujue kuhusu forex. Sasa nauliza kama kwa njia hii tutaweza kuitumia kuchukulia fedha zetu toka kwa brokers kupitia payoneer bila kupitia benki zetu? Nadhani kwa hustle zako utakuwa unajua chichote kuhusu forex
Mkuu! Nafahamu kidogo kuhusu Forex. ...
Kuhusu Brokers kukulipa kupitia Payoneer inawezekana Mkuu, ila mwanzo sharti lilikua lazima Sender awe na Account ya Payoneer, japo sasa hata kama Sender hana Payoneer account anaweza kutuma pesa kwa receiver ambaye ana Payoneer account!

Ila receiver ndo anatuma Special request ya malipo kupitia Payoneer kwa Sender, na request inamfikia Sender kwa njia ya email.
 
Back
Top Bottom