Hii $29 kwa any amount.$5~9 Kama Una transfer pesa kwenda Local Bank, Kama Una withdraw kwa. ATM is about $29.
Tatizo huelewi swali hata trasfer vipi Atatuma Kwenye Ndege Pesa Mpaka Marekani Kwenye Benki Husika Ili Aweke Au Elezea kwa Ufasaha Anaenda wapi Au Benk gani Au anatumia system ipi Ku trasfer?Inawezekana Mkuu! Kwa Ku transfer hiyo 500,000 kwenda kwenye Payoneer account yako! Na ukafanya manunuzi mtandaoni!
Kumbuka Payoneer ni sawa na Bank account nyingine, utofauti ni kuwa hii ni online banking!
Na kwa vile ni free unaweza kufanya registration na uka apply card yako! Inaweza kutokea siku unahitaji kununua kitu mtandaoni ikakurahisishia!
Au uko na friend nje ya nchi akakutumia pesa kupitia Payoneer!
Wana refund pesa yako Mkuu! Ila kwa Websites ambazo Wao wana makubaliano nayo, zipo nyingi but pia hutegemea na issue yenyewe!Na kama ukinunua kitu online kupitia wao, bahati kitu hakijakufikia, wanaweza kuhakikisha pesa yako inarudi?
Tatizo la watu Kama wewe huwa hamfatilii comment, swali lako nimejibu Mara kadhaa huko juu!tatizo huelewi swali hata trasfer vipi Atatuma Kwenye Ndege Pesa Mpaka Marekani Kwenye Benki Husika Ili Aweke Au Elezea kwa Ufasaha Anaenda wapi Au Benk gani Au anatumia system ipi Ku trasfer?
Shukran mzeeAfter registration na ku appy Card, huchukua Week 2 mpaka 3 mpaka Card yako kufika, Wao wenyewe watakutumia email wakikwambia lini Card yako itafika.
Habari Wakuu!
Binafsi ni mtu ambaye niliathiliwa na kutokubaliwa kwa PayPal Tanzania, kwa wale wenzangu na Mimi ambao tumekua tukiuza kazi zetu online, watakubaliana nami kuwa Clients wengi wanajisikia salama wakilipa kwa PayPal, Clients wengi hawataki kusikia Western Union, Moneygrams na hata Bank Transfer.
Ilipelekea wengi kupata shida namna kupokea malipo Yao, hapa jf Kuna thread kadhaa za members wakitoa malalamiko Yao.
Kwa wale wote waliokua wanakwazwa na kutokuwepo PayPal, sasa wanaweza kutumia Payoneer Master Card, uta apply Card yako toka America na ndani ya week 2 au 3 utatumiwa Master card ya Payoneer ambayo itakuwezesha Ku withdraw pesa yako kwenye ATM yoyote inayo support Master card Worldwide, pia unaweza Kuhamisha pesa yako toka Payoneer kwenda kwenye account yako ya bank!
Binafsi Mimi ndo naitumia, mpaka sasa nimesha withdraw pesa zaidi ya Mara 3.
Nakuwekea link hapo chini, huduma zote ikiwemo Card ni bure.
Una swali au chochote Karibu.
https://share.payoneer.com/nav/1IYl...XyTobBfQIlfYwJKEZGoAAd7S9xVGy2c5HvirbrcC8syA2
Ku register na Ku apply card how much does it cost au ni bure???After registration na ku appy Card, huchukua Week 2 mpaka 3 mpaka Card yako kufika, Wao wenyewe watakutumia email wakikwambia lini Card yako itafika.
Nime apply io payoneer na wameshanbia wananitumia lakini naona ni tatizo katika matangazo na maelezo yao yote wanaeleza hio ni account ya kulipwa toka kwa wateja, sijaona popote wakisema na mimi naweza lipia bidhaa pengine.Karibu!
Hilo ndo lengo haswa pale walipoanzisha hii huduma.Nime apply io payoneer na wameshanbia wananitumia lakini naona ni tatizo katika matangazo na maelezo yao yote wanaeleza hio ni account ya kulipwa toka kwa wateja, sijaona popote wakisema na mimi naweza lipia bidhaa pengine. Ebu tupatie ufafanuzi maana inaonesha ipo tofauti na paypal. Paypal una shop, hii unapokea tu malipo ma kutoa