Payoneer ni mbadala halisi wa PayPal!

Payoneer ni mbadala halisi wa PayPal!

Nina CRDB master card, kujiunga payoneer natakiwa na hii ya CRDB ifanyiwe online activation.!?


Yes, ndiyo hivyo. Local Bank Account ili iweze kufanya any online transaction, ni lazima kwanza ifanyiwe 'activation' yaani 'iwezeshwe'.

So kama una Master/Visa Card, nenda kwenye local bank yako waambie kuwa unataka uwe unafanya online transactions, then card yako watai-activate.

Ikishakuwa tayari activated, sasa hapo upo huru kui-link na PayPal ama Payoneer, n.k ili kufanya online transactions ambazo ni Money Transfer (kutuma/kupokea pesa), Purchase (manunuzi na kulipa).

-Kaveli-
 
Mkuu hiyo unaipata katika hatua ipi hasa?
Ingekua vizuri kama ungesema ulikua unafanya moja mbili then ukakutana na moja mbili..

By the way operating system ya Payoneer ni ya Ki Bank ya US, na US wanatumia Routing number na sio Swift Code!

Ulikua una link Payoneer na Local account? Kama ndiyo basi inabidi uende kwa local Bank yako na uwaombe wakupe Swift Code number!


Mkuu, kama ni SWIFT CODE tu, basi anaweza kuipata kirahisi tu kwenye website ya Bank husika.

Mfano CRDB Tz... swift code is mentioned kwenye website yao:

Crdb Tz.JPG



Lakini pia siku hizi internet imerahisisha maisha. Kuna website nyingi tu zinaonesha SWIFT CODES za Banks zote all over the world. Mfano hii site: SWIFT Code for Banks in Tanzania ni kwa ajili ya Swift Codes za mabenki duniani kote including Tanzania.

Swift Codes.JPG



-Kaveli-
 
Yes, ndiyo hivyo. Local Bank Account ili iweze kufanya any online transaction, ni lazima kwanza ifanyiwe 'activation' yaani 'iwezeshwe'.

So kama una Master/Visa Card, nenda kwenye local bank yako waambie kuwa unataka uwe unafanya online transactions, then card yako watai-activate.

Ikishakuwa tayari activated, sasa hapo upo huru kui-link na PayPal ama Payoneer, n.k ili kufanya online transactions ambazo ni Money Transfer (kutuma/kupokea pesa), Purchase (manunuzi na kulipa).

-Kaveli-
Shukrani Mkuu.!
 
Wakuu "Fill the fields with Latin characters" Latin characters ndio inakuaje.!?
 
Wakuu "Fill the fields with Latin characters" Latin characters ndio inakuaje.!?


Mkuu, tumia alphabet A to Z, isipokuwa J U na W.

Yaani hizo characters tatu (J, U, W) usitumie.

NOTE: For Payoneer Password, nadhani you need to include any CAPITAL letter from A to Z (excluding J, U, and W). Yaani changanya na herufi kubwa.

Hebu jaribu hivyo afu lete mrejesho.

-Kaveli-
 
Mkuu, tumia alphabet A to Z, isipokuwa J U na W.

Yaani hizo characters tatu (J, U, W) usitumie.

NOTE: For Payoneer Password, nadhani you need to include any CAPITAL letter from A to Z (excluding J, U, and W). Yaani changanya na herufi kubwa.

Hebu jaribu hivyo afu lete mrejesho.

-Kaveli-
Nimefanikisha mkuu, wana review application wanadai, wamenitumia email
 
Habari Wakuu!
Binafsi ni mtu ambaye niliathiliwa na kutokubaliwa kwa PayPal Tanzania, kwa wale wenzangu na Mimi ambao tumekua tukiuza kazi zetu online, watakubaliana nami kuwa Clients wengi wanajisikia salama wakilipa kwa PayPal, Clients wengi hawataki kusikia Western Union, Moneygrams na hata Bank Transfer.

Ilipelekea wengi kupata shida namna kupokea malipo Yao, hapa jf Kuna thread kadhaa za members wakitoa malalamiko Yao.

Kwa wale wote waliokua wanakwazwa na kutokuwepo PayPal, sasa wanaweza kutumia Payoneer Master Card, uta apply Card yako toka America na ndani ya week 2 au 3 utatumiwa Master card ya Payoneer ambayo itakuwezesha Ku withdraw pesa yako kwenye ATM yoyote inayo support Master card Worldwide, pia unaweza Kuhamisha pesa yako toka Payoneer kwenda kwenye account yako ya bank!

Binafsi Mimi ndo naitumia, mpaka sasa nimesha withdraw pesa zaidi ya Mara 3.

Nakuwekea link hapo chini, huduma zote ikiwemo Card ni bure.

Una swali au chochote Karibu.

https://share.payoneer.com/nav/1IYl...XyTobBfQIlfYwJKEZGoAAd7S9xVGy2c5HvirbrcC8syA2
Najazaje pesa kwenye hiyo acc
 
Najazaje pesa kwenye hiyo acc
Kama ungefatilia Comments zote hapo juu, ungekutana na jibu la swali lako Mkuu!

Na majibu ya maswali mengine ambayo ungekwenda kuuliza baadaye!
 
Yes, ndiyo hivyo. Local Bank Account ili iweze kufanya any online transaction, ni lazima kwanza ifanyiwe 'activation' yaani 'iwezeshwe'.

So kama una Master/Visa Card, nenda kwenye local bank yako waambie kuwa unataka uwe unafanya online transactions, then card yako watai-activate.

Ikishakuwa tayari activated, sasa hapo upo huru kui-link na PayPal ama Payoneer, n.k ili kufanya online transactions ambazo ni Money Transfer (kutuma/kupokea pesa), Purchase (manunuzi na kulipa).

-Kaveli-
Kaveli Upo boss, Sasa ni link ACC yangu ya local na Payooner hii itaniwezesha kutoa pesa from Payooner to Local bank ama? Fafanua kidogo
 
Yes, ndiyo hivyo. Local Bank Account ili iweze kufanya any online transaction, ni lazima kwanza ifanyiwe 'activation' yaani 'iwezeshwe'
So kama una Master/Visa Card, nenda kwenye local bank yako waambie kuwa unataka uwe unafanya online transactions, then card yako watai-activate.

Ikishakuwa tayari activated, sasa hapo upo huru kui-link na PayPal ama Payoneer, n.k ili kufanya online transactions ambazo ni Money Transfer (kutuma/kupokea pesa), Purchase (manunuzi na kulipa).

-Kaveli-
tatizo bei zao sasa...kuiactivate account yanga Diamond Trust waliniambia Tsh.150,000
 
Habari Wakuu!
Binafsi ni mtu ambaye niliathiliwa na kutokubaliwa kwa PayPal Tanzania, kwa wale wenzangu na Mimi ambao tumekua tukiuza kazi zetu online, watakubaliana nami kuwa Clients wengi wanajisikia salama wakilipa kwa PayPal, Clients wengi hawataki kusikia Western Union, Moneygrams na hata Bank Transfer.

Ilipelekea wengi kupata shida namna kupokea malipo Yao, hapa jf Kuna thread kadhaa za members wakitoa malalamiko Yao.

Kwa wale wote waliokua wanakwazwa na kutokuwepo PayPal, sasa wanaweza kutumia Payoneer Master Card, uta apply Card yako toka America na ndani ya week 2 au 3 utatumiwa Master card ya Payoneer ambayo itakuwezesha Ku withdraw pesa yako kwenye ATM yoyote inayo support Master card Worldwide, pia unaweza Kuhamisha pesa yako toka Payoneer kwenda kwenye account yako ya bank!

Binafsi Mimi ndo naitumia, mpaka sasa nimesha withdraw pesa zaidi ya Mara 3.

Nakuwekea link hapo chini, huduma zote ikiwemo Card ni bure.

Una swali au chochote Karibu.

https://share.payoneer.com/nav/1IYl...XyTobBfQIlfYwJKEZGoAAd7S9xVGy2c5HvirbrcC8syA2
Naweza kuendelea kuitumia hiyo Huduma kabla ya kadi kufika. Na je ukijisajiri kama individual utaweza pata Huduma ya kulipwa
 
Wakuu Powder na wengineo hivi naweza ku withdraw pesa kwa kutumia Local atm zinazo support Master card??? bei ikoje kwa kila muamala

Sent using Jamii Forums mobile app
Unaweza Mkuu, bila longolongo tena ukiwa popote pale, uwe Mpwapwike, Mwanza au China!

Gharama ni 1$ kila utapo withdraw.
 
Back
Top Bottom