Dumelang
JF-Expert Member
- Aug 11, 2011
- 3,267
- 5,854
Ok yangu ipo njiani nomeambiwa ntaipata march sasa dada vua vizuri kama ulivofanya hapo juu siku nikiipata naanze ili niiwekee pesa na itagharimu? Io mojaHilo ndo lengo haswa pale walipoanzisha hii huduma.
Mkuu bila shaka ushawahi kuona kwenye website mbalimbali kuwa unaweza kulipia kwa Master card, Visa Card n.k, hivyo ukiwa Na Payoneer account utakua na Master card ya Payoneer, so utaweza kununua chochote mtandaoni Ni sawa na Kama ungekua na Master card ya Local bank.
Pia Seller wengi sasa nao wana Payoneer account, so unaweza kulipa/kununua direct toka kwa Payoneer account yako, kwenda kwa Payoneer account ya Seller.
Mbili nimeona kama wana ada ya mwaka dola 29 kama sikosei, inalipwa lini?