Payoneer ni mbadala halisi wa PayPal!

View attachment 469024 View attachment 469024 Mkuu! Hii ni screen shot ambayo inakuelekeza hatua kwa hatua namna ya ku activate card yako!

Kama ikiwa haionekani vizuri, nakuwekea link hapo chini ambayo itaku direct kwenye hiyo page Na utafata maelekezo Na Ku activate card yako bila tatizo.

How Do I Activate My Card?



View attachment 469026
Card yako ikiwa activated watakuletea message inbox ambayo itakua Kama hivyo!

Ukifanikiwa lete mrejesho, pia ukikwama lete mrejesho Ili nikuelekeze uwasiliane na live chat Yao kwa usaidizi wa papo kwa papo!
nimefanikiwa mkuu
 
Mkuu! Payoneer ilianzishwa kwa minajiri ya aina nyingi.
kubwa kwa ajiri ya kuwasaidia watu ambao hufanya biashara Mtandaoni, hivyo kurahisisha malipo mbalimbali kwa njia za mtandao!

Unapo miliki Payoneer account, automatically unakua na online Bank account yako America, toka kwa Bank ya Kimarekani inayoitwa 1st Century Bank, ambao ndo hujulikana Kama Payoneer!

Ukienda account setting kwenye Payoneer Account yako, utaona Bank Account yako, Ni Bank account Kama account yoyote unayoweza kuwa nayo kwenye local bank, so unaweza kuingiza pesa kutokea kwenye account yako Payoneer Kama vile unaweza Ku transfer pesa toka Account moja ya bank kwenda nyingine, ukishaingiza pesa utatumiwa email kukujulisha pesa iloingia!

So unaweza kuendelea Na process za manunuzi!
Mkuu bado sijakuelewa, hasa jinsi ya kuweka pesa!! Mfano nna laki moja ta tz nataka kuweka then niitumie kununua kitu alibaba au ebay!! Nafanyaje sijakupata hapo
 
Mkuu bado sijakuelewa, hasa jinsi ya kuweka pesa!! Mfano nna laki moja ta tz nataka kuweka then niitumie kununua kitu alibaba au ebay!! Nafanyaje sijakupata hapo
Mkuu! Lengo la Jamaa walioanzisha Payoneer ni kurahisisha malipo kwa Biashara za mtandaoni, kwa maana ya lets say uko Bongo na umeuza Asali Canada, sasa Client anapotaka kukulipa huwa wanachagua njia salama za malipo Ili wasije kupigwa, na hata wakipigwa ni rahisi Wao pesa Yao kurudi coz huduma hizi za kipesa za mtandaoni nyingi zina bima hivyo Wao huwa comfortable kutumia huduma Kama Payoneer au PayPal kufanya malipo!

Kwa lengo tajwa hapo juu, huduma hii inakupa options 2, punde unapolipwa pesa yako unaweza kui withdraw kwenye ATM yoyote inayo support Master card hii ni Worldwide! Means hata ukawa safarini lets say South Africa, unaweza kutoa pesa huko huko Si lazima uwe Bongo!

Nyingine unaweza kutoa pesa kutoka kwenye Payoneer account yako uka transfer kwenda kwa local bank ambapo Una account huko!

Kwa Maelezo hayo Ili kukujibu swala lako, ni rahisi Kama Una local bank account so utaweza Ku transfer pesa kwenda Payoneer then kupitia Payoneer ukafanya manunuzi!
 
Mkuu! Lengo la Jamaa walioanzisha Payoneer ni kurahisisha malipo kwa Biashara za mtandaoni, kwa maana ya lets say uko Bongo na umeuza Asali Canada, sasa Client anapotaka kukulipa huwa wanachagua njia salama za malipo Ili wasije kupigwa, na hata wakipigwa ni rahisi Wao pesa Yao kurudi coz huduma hizi za kipesa za mtandaoni nyingi zina bima hivyo Wao huwa comfortable kutumia huduma Kama Payoneer au PayPal kufanya malipo!

Kwa lengo tajwa hapo juu, huduma hii inakupa options 2, punde unapolipwa pesa yako unaweza kui withdraw kwenye ATM yoyote inayo support Master card hii ni Worldwide! Means hata ukawa safarini lets say South Africa, unaweza kutoa pesa huko huko Si lazima uwe Bongo!

Nyingine unaweza kutoa pesa kutoka kwenye Payoneer account yako uka transfer kwenda kwa local bank ambapo Una account huko!

Kwa Maelezo hayo Ili kukujibu swala lako, ni rahisi Kama Una local bank account so utaweza Ku transfer pesa kwenda Payoneer then kupitia Payoneer ukafanya manunuzi!
Shukrani sana mkuu!!
 
Kuna mdau kaniuliza kitu in box nikaona sio mbaya nikieleza pia hapa Ili wote tujifunze!

Kuna njia mbili unaweza kufanya malipo online.
1.Kupitia Payoneer account yako....
Kama tunavyofahamu websites nyingi ambako biashara ya mtandaoni hufanyika ukitaka kununua bidhaa utaambiwa uchague unataka kulipa kwa njia ipi!
utakuta PayPal, Payoneer n.k so utachagua Payoneer then utaendelea na process za malipo.

2. Master Card yako ya Payoneer...
Payoneer Master Card ni sawa na ATM Card yoyote unayoweza kuwa nayo, wengine wana Master card toka CRDB na bank nyingine, wewe na Wao ni sawa utofauti ni kuwa wewe uko na account international bank ambayo ipo registered USA.
Mara nyingi tukitaka kununua ukiacha kununua kwa PayPal au Payoneer pia huwa Kuna kulipia kwa Master card, Visa card n.k.

So kupitia Payoneer utaamua mwenyewe ama ununue kupitia Payoneer account yako au Master card yako!!!
 
Kwa hiyo mkuu, mimi binafsi siwezi kuweka pesa kwenye account yangu ya payoneer tofauti na kulipwa baada ya kuuza kitu? Let say nina laki tano cash nataka niiweke kwenye account yangu ya payoneer, je hii inawezekana??
 
Kwa hiyo mkuu, mimi binafsi siwezi kuweka pesa kwenye account yangu ya payoneer tofauti na kulipwa baada ya kuuza kitu? Let say nina laki tano cash nataka niiweke kwenye account yangu ya payoneer, je hii inawezekana??
Inawezekana Mkuu! Kwa Ku transfer hiyo 500,000 kwenda kwenye Payoneer account yako! Na ukafanya manunuzi mtandaoni!

Kumbuka Payoneer ni sawa na Bank account nyingine, utofauti ni kuwa hii ni online banking!

Na kwa vile ni free unaweza kufanya registration na uka apply card yako! Inaweza kutokea siku unahitaji kununua kitu mtandaoni ikakurahisishia!

Au uko na friend nje ya nchi akakutumia pesa kupitia Payoneer!
 
Inawezekana Mkuu! Kwa Ku transfer hiyo 500,000 kwenda kwenye Payoneer account yako! Na ukafanya manunuzi mtandaoni!

Kumbuka Payoneer ni sawa na Bank account nyingine, utofauti ni kuwa hii ni online banking!

Na kwa vile ni free unaweza kufanya registration na uka apply card yako! Inaweza kutokea siku unahitaji kununua kitu mtandaoni ikakurahisishia!

Au uko na friend nje ya nchi akakutumia pesa kupitia Payoneer!
Asante sana mkuu, ngoja nifanye application nw
 
mkuu hiyo online bank imeunganishwa na AdSense

na je endapo nitajiunga nitaipataje master card yao na gharama zao zikoje
 
Mkuu! Lengo la Jamaa walioanzisha Payoneer ni kurahisisha malipo kwa Biashara za mtandaoni, kwa maana ya lets say uko Bongo na umeuza Asali Canada, sasa Client anapotaka kukulipa huwa wanachagua njia salama za malipo Ili wasije kupigwa, na hata wakipigwa ni rahisi Wao pesa Yao kurudi coz huduma hizi za kipesa za mtandaoni nyingi zina bima hivyo Wao huwa comfortable kutumia huduma Kama Payoneer au PayPal kufanya malipo!

Kwa lengo tajwa hapo juu, huduma hii inakupa options 2, punde unapolipwa pesa yako unaweza kui withdraw kwenye ATM yoyote inayo support Master card hii ni Worldwide! Means hata ukawa safarini lets say South Africa, unaweza kutoa pesa huko huko Si lazima uwe Bongo!

Nyingine unaweza kutoa pesa kutoka kwenye Payoneer account yako uka transfer kwenda kwa local bank ambapo Una account huko!

Kwa Maelezo hayo Ili kukujibu swala lako, ni rahisi Kama Una local bank account so utaweza Ku transfer pesa kwenda Payoneer then kupitia Payoneer ukafanya manunuzi!
bro haujajibu swali la msingi la jamaa......

Swali ni kwamba ukiwa na hiyo akaunti ya payoneer , nje na kiitumia kulipwa unapopiga dili na watu wa nje, je, unaweza kuitumia kufanya malipo katika sites kama e-bay,alibaba, na amazon unaponunua vitu au bidhaa za kawaida kama sim....radio....tv.....begi.

Na kama ni inawezekana ....je hii huduma ipo popula duniani kiasi kwamba naweza kuachana na paypal ambayo kwa hapa bongo kuitengeneza inataka urasimu sana wakuunganisha sijui account ya CRDB mara sijui codes gani......mara sijui ufanye nini kitu.ambacho huwatia uvivu kujisajiri watz wengi ambao wanataka wanunue vitu nje ya nchi.
 
mkuu hiyo online bank imeunganishwa na AdSense

na je endapo nitajiunga nitaipataje master card yao na gharama zao zikoje
If your Google Adsense account does not have the option to withdraw to a US Bank Account, then itakua ngumu kwako.

Isipokua kwa wale raia wa US, UK na Germany ambao hupokea pesa zao za Adsense toka Google direct kwenye Payoneer account!

Kumbuka Payoneer ni System ya Ki bank ya Kimarekani!
Otherwise labda Kama kwenye Adnense account yako Kuna option ya Ku change resident country, Na kwenyewe utakwama pale wakitaka National ID!

Gharama za kujiunga ni bure Na wanakutumia Card bure, wataku charge pale account yako ikianza kupokea pesa!
 
bro haujajibu swali la msingi la jamaa......

Swali ni kwamba ukiwa na hiyo akaunti ya payoneer , nje na kiitumia kulipwa unapopiga dili na watu wa nje, je, unaweza kuitumia kufanya malipo katika sites kama e-bay,alibaba, na amazon unaponunua vitu au bidhaa za kawaida kama sim....radio....tv.....begi.

Na kama ni inawezekana ....je hii huduma ipo popula duniani kiasi kwamba naweza kuachana na paypal ambayo kwa hapa bongo kuitengeneza inataka urasimu sana wakuunganisha sijui account ya CRDB mara sijui codes gani......mara sijui ufanye nini kitu.ambacho huwatia uvivu kujisajiri watz wengi ambao wanataka wanunue vitu nje ya nchi.
Ungepitia post za juu kuna majibu Mkuu!

Unaweza kununua Chochote na popote mtandaoni, unaweza kununua direct kupitia Payoneer, au kupitia Master Card yako, Ni wewe mwnyewe Mkuu!

Kuhusu umaarufu jibu Ni ndiyo, ukiacha PayPal ambayo nchi nyingine hairuhusiwi hii haihitaji sijui CRDB wakuidhinishie nini, wewe unaenda kwenye ATM ya CRDB Na kutoa mpunga wako kiulaini!
 
One Step ahead.....

upload_2017-2-12_13-27-7.png


Powder
Nimetumia referal link yako. Thanks

upload_2017-2-12_13-47-42.png
 
Na kama ukinunua kitu online kupitia wao, bahati kitu hakijakufikia, wanaweza kuhakikisha pesa yako inarudi?
 
Back
Top Bottom