Paul Makonda arejea nchini kimya kimya

Paul Makonda arejea nchini kimya kimya

kila nikiona jina la bashite nakumbuka ile video clip ya Msanii Mkali wenu-kwamba ameenda nyumbani kwa Daudi kumpelekea Vyeti vyake akijatambulisha kuwa ni Mwalimu kutoka Koromije!
Jamani Daudi umekuwa Mkubwa!
 
254e58139d3b1c5e5867112b451d62fc.jpg
Hahahah watu mna vituko
 
Tanzania ya viwonder tutaifikia kweli jinsi watu ukiwaambia agenda IPI kipaumbele viwanda au vyeti wanakomalia vyeti tena cha MTU mmoja ?
 
Ninasema kwa ujasiri na kwa Imani kubwa kubwa muda siyo mrwfu wanafiki wengi wataumbuka bila kujali ardhi waliosimama.

Wataumbuka ardhini hadi vilindi vya baharini Maneno yao mengi walioyanena kwa matumaini isiyihalali na kudhiirisha nia ovu mwisho wake ni uovu.

Tusubiri nguzo ziliizooza chini zimeanza kudondoka na halo ndipo nyumba imara itakapojengwa baada ya chakavu kudondoka
Hata mtoto mdogo anaweza ku solve quiz hii!! Bashite alikuwa south afrika anafanya maujanja ya kupata cheti!! Kesha kipata! Na soon ataonekana kwenye mimbari akitamba! Na. Usikute ana Baraka za mkuu!! Maana kwa huyu mzee rangi nyeupe Inaitwa bluu
 
Eti anatuhumiwa na kesi kuripoti polisi au kufungua mahakamani hamjaenda.

Kituko cha mwaka

Watanzania kajengeni viwanda pia, mwanya upo kama kawa

Makonda oyeeeeeeeee
 
Si kaja kwenye mkoa wake mkileta fyoko fyoko mnafukuzwa mtarudi na ndala tu
 
Back
Top Bottom