Paul Makonda arejea nchini kimya kimya

Paul Makonda arejea nchini kimya kimya

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam mchapa kazi

Mchapa kazi na mbunifu.

Anayethubutu na asiyeogopa MTU kwa jina wala wadhifa wake

Mtetezi wa kizazi kinachopotea kwa madawa ya kulevya

Mbunifu wa ajira kwa vijana

Shujaa asiye tetereka

Mkuu wa Mkoa mwenye anayetaka mabadiliko

Mkuu wa Mkoa aliyetukanwa sana

Mkuu wa Mkoa asiyekataa tamaa

Mkuu wa mkoa atakayepiga vita mpaka mwisho madawa ya kulevya

Mkuu wa mkoa aliyetajwa sana kuliko wote toka Uhuru.

Mkuu wa mkoa wa kwanza kijana Dar

Mkuu wa mkoa asiyeangalia wala kujali unatoka chama gani anachotaka ni uwajibikaji tu.

Mkuu wa mkoa anayeaminika na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Mkuu wa mkoa anayeandamwa hata na wabunge vita ya Madawa ya kulevya ktk mkoa wake

Mkuu wa Mkoa aliyeanzisha vita ya madawa ya kulevya Dar es salaam na sasa imeenea nchi mzima.

Mkuu wa mkoa aliyetoka familia masikini kabisa baba hajasoma kabisa na mama ni darasa la saba lakini amepata shahada moja na kuwatumikia wanainchi vile inavyopaswa.

Mkuu wa mkoa ambaye amesababisha baadhi ya watanzania kushikiwa akili na baadhi ya watu na hatimaye kuwafuata kila wasemalo na kuliamini.

Mpaka Leo 12 March 2017 hakuna aliyetuwekea ushahidi wa vyeti zaidi ya episode za Mch Gwajima tu.
Umesahau mkuu wa mkoa wa aliyefoji vyeti na baada ya kutuhumiwa instead of presenting vyeti vyake kaamua kukuambia like a typical coward
 
Kuna watu mnawatafuta watu badala ya maisha yenu. Mbona mnahangaika sana na watu wakati yenu yamewashinda?
Mbona jibu ni rahisi saana..."Kwa sababu yao ni magumu kuliko ya wengine ambayo ni marahisi,kwa akili zao timamu wameamua kuyafuata hayo marahisi."
Mifano ipo mingi lakini itoshe weye kukubali huu msemo:"A short cut is always a wrong way"
 
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam mchapa kazi

Mchapa kazi na mbunifu.

Anayethubutu na asiyeogopa MTU kwa jina wala wadhifa wake

Mtetezi wa kizazi kinachopotea kwa madawa ya kulevya

Mbunifu wa ajira kwa vijana

Shujaa asiye tetereka

Mkuu wa Mkoa mwenye anayetaka mabadiliko

Mkuu wa Mkoa aliyetukanwa sana

Mkuu wa Mkoa asiyekataa tamaa

Mkuu wa mkoa atakayepiga vita mpaka mwisho madawa ya kulevya

Mkuu wa mkoa aliyetajwa sana kuliko wote toka Uhuru.

Mkuu wa mkoa wa kwanza kijana Dar

Mkuu wa mkoa asiyeangalia wala kujali unatoka chama gani anachotaka ni uwajibikaji tu.

Mkuu wa mkoa anayeaminika na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Mkuu wa mkoa anayeandamwa hata na wabunge vita ya Madawa ya kulevya ktk mkoa wake

Mkuu wa Mkoa aliyeanzisha vita ya madawa ya kulevya Dar es salaam na sasa imeenea nchi mzima.

Mkuu wa mkoa aliyetoka familia masikini kabisa baba hajasoma kabisa na mama ni darasa la saba lakini amepata shahada moja na kuwatumikia wanainchi vile inavyopaswa.

Mkuu wa mkoa ambaye amesababisha baadhi ya watanzania kushikiwa akili na baadhi ya watu na hatimaye kuwafuata kila wasemalo na kuliamini.

Mpaka Leo 12 March 2017 hakuna aliyetuwekea ushahidi wa vyeti zaidi ya episode za Mch Gwajima tu.
Kwan uhakiki wa vyeti vya watumishi,ni nani aliyepeleka kuonesha vyeti?Nakumbuka walitangaziwa watumishi wapeleke vyeti vikahakikiwe,basi na Makonda atoe vyeti vihakikiwe
 
Nchi hii haihitaji vyeti cha muhimu tunahitaji viongozi jasiri kama Makonda, mbona kabla ya vita vya madawa ya kulevya hatukusikia habari ya vyeti. Mheshimiwa wa Rais Magufuli mwache Mkuu wa Mkoa wa Dar aendelee kukusafishia Dar Es sallam iliyokuwa imekuwa jiji la kimafia. Jamani tulifika pabaya inakuwaje mfanyabiashara kama Manji anaitisha mkutano na waandishi wa habari na kutoa lugha za kifedhuli kwa serikali kwasababu ana pesa.
Watu wanadai Makonda ameharibu sifa Na brand zao je wanakumbuka mwaka 1983 katika vita dhidi ya ufisadi kuna watu waliwekwa ndani kwa muda mrefu kwa tuhuma nyingi.
Good, mwambie Rais wako Sasa ili akome kuangalia vyeti vya watumishi wote aangalie utendaji tu
 
Ivi eti ni kweli paulo makonda ndiye aliye mpiga mzee warioba maana mimi sielewagi
 
Alienda kutengeneza passport?maana ni kama phd ya kufoji mpaka mamlaza zimemnyamazia.
 
Jamani wapendwa. Hebu yaishe muwe na roho ya kusamehe. Msiwe watu wa visasi. Tumeshasema basi wapendwa. Hakuna alie safi ndugu zangu. Kisasi sio chetu ni kazi ya Mungu. Kibehe
 
Back
Top Bottom